Kuchekelea na kufurahia anapokufa mtu hata kama huyo mtu alikuwa adui yako, bado ni ujinga!
Kauli ya wazuri hawafi, ilikuwa ni kauli moja Wapo kutoka kwa mtu mjinga aliyesahau kuwa naye iko siku na wakati asioujua atakufa!
Mbingu ni ya kila mtu na ingawa inawahusu wanyoofu wa moyo, na ili mtu afike huko, Sherti afe
Narudia tena, kufurahia kifo cha adui yako ni kuonyesha jinsi wewe ulivyoadui mkubwa zaidi yake na huna tofauti yoyote na unayedai kuwa alikuwa adui yako, yaani mtu unakuwa adui mpaka na mtu asiyeongea? Ujinga
Tumefunzwa hivi! Uadui ni ule mtu bado yuko hai, akifa, msamehe ili wewe usihukumiwe!
Afapo mtu, hukumu za wapi atakwenda na kwa nini, zibaki kwake yeye Maulana! Zaidi ya hapo, mwanadamu hana mamlaka juu ya uumbaji wa Mungu!
R.I.P kachero Membe
Bwana atoa na sasa ametwaa, jina lake lihimidiwe
Kauli ya wazuri hawafi, ilikuwa ni kauli moja Wapo kutoka kwa mtu mjinga aliyesahau kuwa naye iko siku na wakati asioujua atakufa!
Mbingu ni ya kila mtu na ingawa inawahusu wanyoofu wa moyo, na ili mtu afike huko, Sherti afe
Narudia tena, kufurahia kifo cha adui yako ni kuonyesha jinsi wewe ulivyoadui mkubwa zaidi yake na huna tofauti yoyote na unayedai kuwa alikuwa adui yako, yaani mtu unakuwa adui mpaka na mtu asiyeongea? Ujinga
Tumefunzwa hivi! Uadui ni ule mtu bado yuko hai, akifa, msamehe ili wewe usihukumiwe!
Afapo mtu, hukumu za wapi atakwenda na kwa nini, zibaki kwake yeye Maulana! Zaidi ya hapo, mwanadamu hana mamlaka juu ya uumbaji wa Mungu!
R.I.P kachero Membe
Bwana atoa na sasa ametwaa, jina lake lihimidiwe