Waziri wa Ujenzi una wizara kubwa mno, sina hakika kama unaimudu. Enzi hizo wizara hiyo ndiyo ilimtoa Hayati Magufuli mpaka kufikia kujulikana utendajikazi wake kwa Watanzania.
Wizara yako...
Ndugu zangu Ikumbukwe kuwa CCM ndio iliyounda serikali na siyo serikali iliyo unda CCM, CCM ndio iliyotangulia ndio ikafuata serikali, CCM ndio iliyoomba kura kwa wananchi na ndio iliyosimama...
Mjukuu wa Baba wa taifa la Zanzibar mh Fatma Karume amesema ubaguzi wa kisiasa waliasisi CCM Kule Zanzibar na alipowaambia walimwita Msaliti
Karume amewataka CCM waruhusu mikutano ya Siasa na...
Kwa kilio kile lazima alizidiwa kutoa rushwa na wenzake kwa wajumbe.
Ila chama hicho jamani, da!
Ajabu yanarekodiana bila hata haya !
Siku si nyingi hawa watakuja kuuana kwa mambo ya...
Heshima sana,
Tanzania ya Mwl. ilikuwa juu sana katika siasa za kimataifa. Tanzania ilikuwa kinara katika siasa za ukombozi Kusini mwa Afrika. Mwl. alikuwa Mwenyekiti wa nchi zilizo mstari wa...
25 November 2022
January Makamba - Kitalu cha gesi Ruvuma Mtwara, serikali kuvuna 75% ya mapato ghafi
Video courtesy of Millard ayo
Hayo yamebainisha na waziri wa nishati Mh. January Makamba...
Kwa nini watawala wasio na nia njema na CCM hawataki mradi wa JNHP ukamilike na kutatua kero ya umeme hapa nchini?
Kisingizio kinakuwa hali ya hewa.
Tangu mlete miradi ya na majenereta ya mafuta...
Gazeti la Raia Mwemba, leo Novemba 28, 2022 limetawaliwa na habari kubwa kuhusu mwanasiasa Mrisho Gambo kudaiw akupora Tsh. Milioni 400 za madereva bodaboda.
======
Hali si shwari ndani ya...
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dkt. Stergomena Tax akizungumza wakati wa Uzinduzi wa mfumo wa taarifa kwa wawekezeji, mfumo umezinduliwa Novemba 30, 2022 jijini Dar es...
Tatizo la Law School si dogo ambalo ati kila Tom, Dick au Harry anaweza kuwa na ufumbuzi au ushauri.
Kwa sampuli hii:
1. Profesa Cyriacus Binamungu (Mzumbe): anasema kuna shida kwa walimu katika...
Rais Samia apunguza gharama za matibabu ya figo kwa 66% kutoka TZS 300K mpaka 100K || Tanzania kununua mashine 7,000 kwaajili ya dialysis
===
Dialysis ni kitendo cha kuondoa Sumu,Uchafu na ziada...
Bila shaka sote tu wazima wa afya.
Tutakumbuka siku mbili tatu zilizopita John Heche alifanya ziara katika Jimbo la Mtama.
Alipokuwa huko alitoa hotuba zenye msisimko kuhusu madudu yanayofanywa...
Sasa chaguzi zinafutwa hovyo
=====
Chama cha Mapinduzi (CCM), kimefuta chaguzi tano za Umoja wa Vijana wa chama hicho (UVCCM) kutokana na kukiuka Katiba, Kanuni na taratibu za uchaguzi.
Hayo...
Vyama vya upinzani vitaendelea kuvuna makada wa CCM wenye vyeo, wabunge , makatibu wakuu -sababu kubwa Serikali ya CCM haina mfumo wa kumsaidia mwanadamu kujikomboa.
Mawaziri wengi wa serikali ya...
Hii video imepostiwa na kada wa CHADEMA James Mbowe ikimuonyesha kijana Chacha Heche akimfanyia kitendo cha kibaguzi mzee anayeonekana kavaa shati la chama pendwa CCM. Kupitia maandishi yake...
Ukipenda kuhisi 2015 kilitokea nini angalia 2020 mambo yaliendaje
Sisi tuliosoma shule ya msingi zamani tunajua kwenda sekondari ilikuwa Unachaguliwa Siyo kwamba unakuwa umefaulu . Ndio utaona...
Kwa mtazamo wangu, Mzee Warioba aliekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, ndio anastahili kupewa Shahada ya Udaktari wa Heshima kwa kufanya kazi iliyokubaliwa karibu na makundi yote ya...
Katika yale mahojiano ya The Big Agenda mh Heche alionekana kumzidi uwezo kwa mbali Dkt. Mollel hali iliyopelekea mbunge wa Geita Dkt. Mollel kuomba kipindi wiki iliyofuatia.
Katika mahojiano...
Tumeonya mara kadhaa humu kwamba nguvu ya CHADEMA siyo Mchezo, ziara ya siku mbili tu ya Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama hicho, John Heche kwenye Jimbo la Mtama, Imemfanya Nape Nnauye aliyekimbia...
Sisi Umoja wa Wanawake wa Chama cha Mapinduzi, CCM (UWT) tumepokea kwa furaha kubwa kitendo cha Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kumtunuku Shahada ya Udaktari wa Heshima Rais na Mwenyekiti wa Chama...