Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Waziri wa Ujenzi una wizara kubwa mno, sina hakika kama unaimudu. Enzi hizo wizara hiyo ndiyo ilimtoa Hayati Magufuli mpaka kufikia kujulikana utendajikazi wake kwa Watanzania. Wizara yako...
2 Reactions
4 Replies
628 Views
Ndugu zangu Ikumbukwe kuwa CCM ndio iliyounda serikali na siyo serikali iliyo unda CCM, CCM ndio iliyotangulia ndio ikafuata serikali, CCM ndio iliyoomba kura kwa wananchi na ndio iliyosimama...
0 Reactions
33 Replies
1K Views
Mjukuu wa Baba wa taifa la Zanzibar mh Fatma Karume amesema ubaguzi wa kisiasa waliasisi CCM Kule Zanzibar na alipowaambia walimwita Msaliti Karume amewataka CCM waruhusu mikutano ya Siasa na...
1 Reactions
22 Replies
2K Views
Kwa kilio kile lazima alizidiwa kutoa rushwa na wenzake kwa wajumbe. Ila chama hicho jamani, da! Ajabu yanarekodiana bila hata haya ! Siku si nyingi hawa watakuja kuuana kwa mambo ya...
13 Reactions
39 Replies
3K Views
Heshima sana, Tanzania ya Mwl. ilikuwa juu sana katika siasa za kimataifa. Tanzania ilikuwa kinara katika siasa za ukombozi Kusini mwa Afrika. Mwl. alikuwa Mwenyekiti wa nchi zilizo mstari wa...
2 Reactions
9 Replies
690 Views
25 November 2022 January Makamba - Kitalu cha gesi Ruvuma Mtwara, serikali kuvuna 75% ya mapato ghafi Video courtesy of Millard ayo Hayo yamebainisha na waziri wa nishati Mh. January Makamba...
4 Reactions
33 Replies
3K Views
Kwa nini watawala wasio na nia njema na CCM hawataki mradi wa JNHP ukamilike na kutatua kero ya umeme hapa nchini? Kisingizio kinakuwa hali ya hewa. Tangu mlete miradi ya na majenereta ya mafuta...
2 Reactions
6 Replies
810 Views
Gazeti la Raia Mwemba, leo Novemba 28, 2022 limetawaliwa na habari kubwa kuhusu mwanasiasa Mrisho Gambo kudaiw akupora Tsh. Milioni 400 za madereva bodaboda. ====== Hali si shwari ndani ya...
2 Reactions
29 Replies
4K Views
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dkt. Stergomena Tax akizungumza wakati wa Uzinduzi wa mfumo wa taarifa kwa wawekezeji, mfumo umezinduliwa Novemba 30, 2022 jijini Dar es...
0 Reactions
0 Replies
619 Views
Tatizo la Law School si dogo ambalo ati kila Tom, Dick au Harry anaweza kuwa na ufumbuzi au ushauri. Kwa sampuli hii: 1. Profesa Cyriacus Binamungu (Mzumbe): anasema kuna shida kwa walimu katika...
13 Reactions
107 Replies
10K Views
Rais Samia apunguza gharama za matibabu ya figo kwa 66% kutoka TZS 300K mpaka 100K || Tanzania kununua mashine 7,000 kwaajili ya dialysis === Dialysis ni kitendo cha kuondoa Sumu,Uchafu na ziada...
27 Reactions
308 Replies
27K Views
Bila shaka sote tu wazima wa afya. Tutakumbuka siku mbili tatu zilizopita John Heche alifanya ziara katika Jimbo la Mtama. Alipokuwa huko alitoa hotuba zenye msisimko kuhusu madudu yanayofanywa...
2 Reactions
2 Replies
1K Views
Sasa chaguzi zinafutwa hovyo ===== Chama cha Mapinduzi (CCM), kimefuta chaguzi tano za Umoja wa Vijana wa chama hicho (UVCCM) kutokana na kukiuka Katiba, Kanuni na taratibu za uchaguzi. Hayo...
1 Reactions
14 Replies
1K Views
Vyama vya upinzani vitaendelea kuvuna makada wa CCM wenye vyeo, wabunge , makatibu wakuu -sababu kubwa Serikali ya CCM haina mfumo wa kumsaidia mwanadamu kujikomboa. Mawaziri wengi wa serikali ya...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Hii video imepostiwa na kada wa CHADEMA James Mbowe ikimuonyesha kijana Chacha Heche akimfanyia kitendo cha kibaguzi mzee anayeonekana kavaa shati la chama pendwa CCM. Kupitia maandishi yake...
10 Reactions
119 Replies
7K Views
Ukipenda kuhisi 2015 kilitokea nini angalia 2020 mambo yaliendaje Sisi tuliosoma shule ya msingi zamani tunajua kwenda sekondari ilikuwa Unachaguliwa Siyo kwamba unakuwa umefaulu . Ndio utaona...
4 Reactions
11 Replies
977 Views
Kwa mtazamo wangu, Mzee Warioba aliekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, ndio anastahili kupewa Shahada ya Udaktari wa Heshima kwa kufanya kazi iliyokubaliwa karibu na makundi yote ya...
4 Reactions
20 Replies
1K Views
Katika yale mahojiano ya The Big Agenda mh Heche alionekana kumzidi uwezo kwa mbali Dkt. Mollel hali iliyopelekea mbunge wa Geita Dkt. Mollel kuomba kipindi wiki iliyofuatia. Katika mahojiano...
7 Reactions
13 Replies
1K Views
Tumeonya mara kadhaa humu kwamba nguvu ya CHADEMA siyo Mchezo, ziara ya siku mbili tu ya Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama hicho, John Heche kwenye Jimbo la Mtama, Imemfanya Nape Nnauye aliyekimbia...
15 Reactions
28 Replies
3K Views
Sisi Umoja wa Wanawake wa Chama cha Mapinduzi, CCM (UWT) tumepokea kwa furaha kubwa kitendo cha Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kumtunuku Shahada ya Udaktari wa Heshima Rais na Mwenyekiti wa Chama...
1 Reactions
23 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…