Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,087
- 6,568
Kwa nini watawala wasio na nia njema na CCM hawataki mradi wa JNHP ukamilike na kutatua kero ya umeme hapa nchini?
Kisingizio kinakuwa hali ya hewa.
Tangu mlete miradi ya na majenereta ya mafuta na gas tukawa tunaibiwa na Dowans Aggrekoz, Iptl na utapeli wa Richmond nyie CCM vibaka mbona hamna huruma?
Mnataka kuamisha umma kuwa Kinyerezi 1,2,3, mpaka 10 ndio suluhu?
Mbona wachina wanakomaa zaidi na Hydropower? Ndio kusema tunaibiwa kupitia gas na mafuta?
Kisingizio kinakuwa hali ya hewa.
Tangu mlete miradi ya na majenereta ya mafuta na gas tukawa tunaibiwa na Dowans Aggrekoz, Iptl na utapeli wa Richmond nyie CCM vibaka mbona hamna huruma?
Mnataka kuamisha umma kuwa Kinyerezi 1,2,3, mpaka 10 ndio suluhu?
Mbona wachina wanakomaa zaidi na Hydropower? Ndio kusema tunaibiwa kupitia gas na mafuta?