Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,730
- 218,294
Tumeonya mara kadhaa humu kwamba nguvu ya CHADEMA siyo Mchezo, ziara ya siku mbili tu ya Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama hicho, John Heche kwenye Jimbo la Mtama, Imemfanya Nape Nnauye aliyekimbia kwao muda mrefu kurejea.
Bali haifahamiki ameenda kufanya nini, lakini ameonekana mitaani akikusanya Vijana wasio na kazi (wazurulaji) na kushirikiana nao kudeki barabara, huku akitaja jina la Rais Samia, bado haijajulikana kudeki barabara na kutaja jina la Rais kulikuwa na maana gani .
Bali haifahamiki ameenda kufanya nini, lakini ameonekana mitaani akikusanya Vijana wasio na kazi (wazurulaji) na kushirikiana nao kudeki barabara, huku akitaja jina la Rais Samia, bado haijajulikana kudeki barabara na kutaja jina la Rais kulikuwa na maana gani .