Rais Samia apunguza gharama za matibabu ya figo kwa 66% kutoka TZS 300K mpaka 100K || Tanzania kununua mashine 7,000 kwaajili ya dialysis
===
Dialysis ni kitendo cha kuondoa Sumu,Uchafu na ziada...
Bila shaka sote tu wazima wa afya.
Tutakumbuka siku mbili tatu zilizopita John Heche alifanya ziara katika Jimbo la Mtama.
Alipokuwa huko alitoa hotuba zenye msisimko kuhusu madudu yanayofanywa...
Sasa chaguzi zinafutwa hovyo
=====
Chama cha Mapinduzi (CCM), kimefuta chaguzi tano za Umoja wa Vijana wa chama hicho (UVCCM) kutokana na kukiuka Katiba, Kanuni na taratibu za uchaguzi.
Hayo...
Vyama vya upinzani vitaendelea kuvuna makada wa CCM wenye vyeo, wabunge , makatibu wakuu -sababu kubwa Serikali ya CCM haina mfumo wa kumsaidia mwanadamu kujikomboa.
Mawaziri wengi wa serikali ya...
Hii video imepostiwa na kada wa CHADEMA James Mbowe ikimuonyesha kijana Chacha Heche akimfanyia kitendo cha kibaguzi mzee anayeonekana kavaa shati la chama pendwa CCM. Kupitia maandishi yake...
Ukipenda kuhisi 2015 kilitokea nini angalia 2020 mambo yaliendaje
Sisi tuliosoma shule ya msingi zamani tunajua kwenda sekondari ilikuwa Unachaguliwa Siyo kwamba unakuwa umefaulu . Ndio utaona...
Kwa mtazamo wangu, Mzee Warioba aliekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, ndio anastahili kupewa Shahada ya Udaktari wa Heshima kwa kufanya kazi iliyokubaliwa karibu na makundi yote ya...
Katika yale mahojiano ya The Big Agenda mh Heche alionekana kumzidi uwezo kwa mbali Dkt. Mollel hali iliyopelekea mbunge wa Geita Dkt. Mollel kuomba kipindi wiki iliyofuatia.
Katika mahojiano...
Tumeonya mara kadhaa humu kwamba nguvu ya CHADEMA siyo Mchezo, ziara ya siku mbili tu ya Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama hicho, John Heche kwenye Jimbo la Mtama, Imemfanya Nape Nnauye aliyekimbia...
Sisi Umoja wa Wanawake wa Chama cha Mapinduzi, CCM (UWT) tumepokea kwa furaha kubwa kitendo cha Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kumtunuku Shahada ya Udaktari wa Heshima Rais na Mwenyekiti wa Chama...
Chuo Kikuu cha Dar es salaam kimemtunuku shahada ya heshima ya Udaktari Rais Samia Suluhu Moja Kati ya sababu iliyokifanya kumtunuku PhD Rais Samia ni juhudi zake za kukuza uchumi wa Tanzania na...
Na WyEST
Mwanza
Mapitio ya Sera ya Elimu na Mafunzo ya Mwaka 2014 na Mitaala ya Elimu Msingi yamekamilika na yanasubiri mchakato wa ndani ya Serikali ili kupata ridhaa ya rasimu zilizoandaliwa...
Karamagi wa TICTS' ahaha kwa wahariri, wabunge
* Ni baada ya mkataba wao kufutwa bandari ya Dar es Salaam
* Kampuni ya PR ya Capital Plus yapewa kazi kuisafisha TICTS
* Wapanga uhujumu wa...
Ghana imeonyesha baada ya kufikiri kwa kina.
Dhahabu ni fedha ya kigeni.
Kama una dhahabu ya kutosha, unalipa madeni yako kwa reserves za dhahabu hiyo.
Mwigulu and co., hebu lifikirieni hilo kwa...
“Unapoona watu wanashangaashangaa sana ni kwa sababu hawakuzoea haya. Na walifikiri nitakuwa part of them (sehemu yao), never (haitatokea), not me (si mimi).
“Ni mara 10 nisiwe rais, nikachunge...
WanaCCM wana matatizo sana, Mzee Wasira akihojiwa TBC amesema haya...
''Wapinzani wanasema wanataka katiba ya Warioba, Warioba hana katiba, kazi yake ilikuwa ni kukusanya maoni na sheria ya...
Ndugu zangu hayo ni mapendekezo yangu binafsi baada ya kuwa nimekaa kwa muda mrefu nikifuatilia utendaji kazi wa mh Rais Samia na kufikiria namna mh Rais wetu mpendwa alivyoipokea na kukabidhiwa...
Ujenzi bwawa la Nyerere (JNHPP-MW2115) unagharimu Sh6.5 trilioni. CAG alipokwenda kukagua alikuta ujenzi umechelewa kwa 46.5%. Ujenzi ulitakiwa kukamilika June 2022, hadi sasa ujenzi upo 67%...
Na Mwandishi wetu
Serikali kupitia Wizara ya Maji imeikabidhi Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) mradi wa kusambaza maji kwa wakazi wa Wilaya ya Mwanga Same na...
Kama ni Katiba ya Wananchi mbona sasa katika huo Msafara wenu hakuna Mwananchi wa kawaida hata mmoja?
Hata Bawacha tu siwaoni Msafarani!
Hao Wazungu wanaaminije kama Watanzania wanahitaji Katiba...