Karamagi wa TICTS' ahaha kwa wahariri, wabunge

Warofo

Member
Mar 15, 2011
81
79
Karamagi wa TICTS' ahaha kwa wahariri, wabunge

* Ni baada ya mkataba wao kufutwa bandari ya Dar es Salaam

* Kampuni ya PR ya Capital Plus yapewa kazi kuisafisha TICTS

* Wapanga uhujumu wa huduma za makontena bandarini baada ya kuenguliwa

WAZIRI mstaafu Nazir Karamagi na mfanyabiashara Yogesh Manek wameanza kampeni mahsusi kwa wahariri na wabunge kujaribu kuikwamua kampuni yao ya TICTS ambayo imefutiwa mkataba wa kuendesha eneo la makontena kwenye bandari ya Dar es Salaam.

TICTS wamefutiwa mkataba huo baada ya kushindwa kuonesha ufanisi kwa zaidi ya miaka 20 sasa.

"Karamagi na Yogesh wanahaha kila kona kujaribu kushawishi wahariri, wabunge na maafisa waandamizi wa serikali wairejeshee mkataba huo," alisema mfanyakazi mmoja wa kampuni ya uchukuzi.

"Wanataka kuwaweka sawa wahariri ili waanze kampeni kwenye vyombo vya habari ya kuitetea TICTS irejeshewe mkataba"

Taarifa zinasema kuwa TICTS wameajiri kampuni ya PR ya Capital Plus kufanya kazi ya kuwasafisha kwenye vyombo vya habari."

Vyanzo vyetu vya habari vinasema kuwa baadhi ya watumishi wa TICTS wanapanga kufanya hujuma kwenye huduma za makontena bandari ya Dar es Salaam baada ya mkataba wao kwa hasira ya kusitishiwa mkataba.

"Huenda tukasikia huduma za makontena bandari ya Dar es Salaam zimesimama ghafla kwa hujuma baada ya TICTS kufutiwa mkataba kabla mwekezaji mpya hajaja," alisema.
 
Kuna tetesi zinaenea kuwa kampuni ya kimataifa ya kuhudumia makontena (TICTS) imeanza operesheni maalumu ya kuichafua serikali ya Tanzania ndani ya nje ya Tanzania kupitia vyombo mbalimbali vya habari. Hatua hii ya TICTS inatokana na serikali kuamua kuvunja mkataba wa TICTS na Serikali kuhudumia makontena kwenda bandari ya Dar. Serikali imesema mkataba huo uliodumu kwa miaka 22 umevunjwa baada ya TICTS kushindwa kufanya marekebisho ya kiutendaji waliyokuwa wakipewa na serikali kuanzia mwaka 2013.

Serikali imesema kushindwa kwa TICTS kufanya kazi kwa ufanisi kumechangia Tanzania kurudi nyuma kibiashara ukilinganisha na bandari nyingine za nchi jirani kama Mombasa Kenya. Imeongeza kuwa mkataba huo umevunjwa kunusuru bandari, uchumi wa Tanzania na ajira za wananchi wanaotegemea bandari.

Hata hivyo vyanzo vya ndani vinaeleza TICTS wamepokea uamuzi huo kwa shingo upande na wameapa kupambana na serikali. TICTS ina wabia wawili wakubwa Tanzania mmoja ni Nazir Karamagi (Waziri wa zamani mwenye kashfa ya kuwahi kusaini mikataba ya madini ya migodi ya Tanzania hotelini nchini Uingereza) na Yogesh Manek (mfanyabiashara mwenye benki ya Exim Tanzania). Wawili hao wana ubia na kampuni ya Hutchison Port Holdings Limited ya Hong Kong.

Chanzo cha habari kimeonesha orodha ya vyombo 9 vya habari Tanzania ambavyo TICTS wanajaribu kuvinunua katika kazi hiyo ikiwemo gazeti la Mwananchi. Shauku ya wadau wengi ni kuona namna gani TICTS wataweza kuishinda serikali katika vita hiyo waliyoamua kuitangaza.
 
Kuna tetesi zinaenea kuwa kampuni ya kimataifa ya kuhudumia makontena (TICTS) imeanza operesheni maalumu ya kuichafua serikali ya Tanzania ndani ya nje ya Tanzania kupitia vyombo mbalimbali vya habari. Hatua hii ya TICTS inatokana na serikali kuamua kuvunja mkataba wa TICTS na Serikali kuhudumia makontena kwenda bandari ya Dar. Serikali imesema mkataba huo uliodumu kwa miaka 22 umevunjwa baada ya TICTS kushindwa kufanya marekebisho ya kiutendaji waliyokuwa wakipewa na serikali kuanzia mwaka 2013.

Serikali imesema kushindwa kwa TICTS kufanya kazi kwa ufanisi kumechangia Tanzania kurudi nyuma kibiashara ukilinganisha na bandari nyingine za nchi jirani kama Mombasa Kenya. Imeongeza kuwa mkataba huo umevunjwa kunusuru bandari, uchumi wa Tanzania na ajira za wananchi wanaotegemea bandari.

Hata hivyo vyanzo vya ndani vinaeleza TICTS wamepokea uamuzi huo kwa shingo upande na wameapa kupambana na serikali. TICTS ina wabia wawili wakubwa Tanzania mmoja ni Nazir Karamagi (Waziri wa zamani mwenye kashfa ya kuwahi kusaini mikataba ya madini ya migodi ya Tanzania hotelini nchini Uingereza) na Yogesh Manek (mfanyabiashara mwenye benki ya Exim Tanzania). Wawili hao wana ubia na kampuni ya Hutchison Port Holdings Limited ya Hong Kong.

Chanzo cha habari kimeonesha orodha ya vyombo 9 vya habari Tanzania ambavyo TICTS wanajaribu kuvinunua katika kazi hiyo ikiwemo gazeti la Mwananchi. Shauku ya wadau wengi ni kuona namna gani TICTS wataweza kuishinda serikali katika vita hiyo waliyoamua kuitangaza.
Ngoja tuone!!
 
TAIFA LINAANGAMIA KWA KASI YA AJABU.

"ole wake Tanzania tusipoisadia nifanyalo nimeweza kishauri na kuonya zaidi nifanye nini.
Allah jaalia Tanzania".....

IRP JULIUS NYERERE
 
Kuna tetesi zinaenea kuwa kampuni ya kimataifa ya kuhudumia makontena (TICTS) imeanza operesheni maalumu ya kuichafua serikali ya Tanzania ndani ya nje ya Tanzania kupitia vyombo mbalimbali vya habari. Hatua hii ya TICTS inatokana na serikali kuamua kuvunja mkataba wa TICTS na Serikali kuhudumia makontena kwenda bandari ya Dar. Serikali imesema mkataba huo uliodumu kwa miaka 22 umevunjwa baada ya TICTS kushindwa kufanya marekebisho ya kiutendaji waliyokuwa wakipewa na serikali kuanzia mwaka 2013.

Serikali imesema kushindwa kwa TICTS kufanya kazi kwa ufanisi kumechangia Tanzania kurudi nyuma kibiashara ukilinganisha na bandari nyingine za nchi jirani kama Mombasa Kenya. Imeongeza kuwa mkataba huo umevunjwa kunusuru bandari, uchumi wa Tanzania na ajira za wananchi wanaotegemea bandari.

Hata hivyo vyanzo vya ndani vinaeleza TICTS wamepokea uamuzi huo kwa shingo upande na wameapa kupambana na serikali. TICTS ina wabia wawili wakubwa Tanzania mmoja ni Nazir Karamagi (Waziri wa zamani mwenye kashfa ya kuwahi kusaini mikataba ya madini ya migodi ya Tanzania hotelini nchini Uingereza) na Yogesh Manek (mfanyabiashara mwenye benki ya Exim Tanzania). Wawili hao wana ubia na kampuni ya Hutchison Port Holdings Limited ya Hong Kong.

Chanzo cha habari kimeonesha orodha ya vyombo 9 vya habari Tanzania ambavyo TICTS wanajaribu kuvinunua katika kazi hiyo ikiwemo gazeti la Mwananchi. Shauku ya wadau wengi ni kuona namna gani TICTS wataweza kuishinda serikali katika vita hiyo waliyoamua kuitangaza.
 

Attachments

  • C00A1884-04F2-461D-AD9F-90271B3EEB96.jpeg
    C00A1884-04F2-461D-AD9F-90271B3EEB96.jpeg
    121 KB · Views: 9
Karamagi wa TICTS' ahaha kwa wahariri, wabunge

* Ni baada ya mkataba wao kufutwa bandari ya Dar es Salaam

* Kampuni ya PR ya Capital Plus yapewa kazi kuisafisha TICTS

* Wapanga uhujumu wa huduma za makontena bandarini baada ya kuenguliwa

WAZIRI mstaafu Nazir Karamagi na mfanyabiashara Yogesh Manek wameanza kampeni mahsusi kwa wahariri na wabunge kujaribu kuikwamua kampuni yao ya TICTS ambayo imefutiwa mkataba wa kuendesha eneo la makontena kwenye bandari ya Dar es Salaam.

TICTS wamefutiwa mkataba huo baada ya kushindwa kuonesha ufanisi kwa zaidi ya miaka 20 sasa.

"Karamagi na Yogesh wanahaha kila kona kujaribu kushawishi wahariri, wabunge na maafisa waandamizi wa serikali wairejeshee mkataba huo," alisema mfanyakazi mmoja wa kampuni ya uchukuzi.

"Wanataka kuwaweka sawa wahariri ili waanze kampeni kwenye vyombo vya habari ya kuitetea TICTS irejeshewe mkataba"

Taarifa zinasema kuwa TICTS wameajiri kampuni ya PR ya Capital Plus kufanya kazi ya kuwasafisha kwenye vyombo vya habari."

Vyanzo vyetu vya habari vinasema kuwa baadhi ya watumishi wa TICTS wanapanga kufanya hujuma kwenye huduma za makontena bandari ya Dar es Salaam baada ya mkataba wao kwa hasira ya kusitishiwa mkataba.

"Huenda tukasikia huduma za makontena bandari ya Dar es Salaam zimesimama ghafla kwa hujuma baada ya TICTS kufutiwa mkataba kabla mwekezaji mpya hajaja," alisema.
KARAMAGI kesha kuwa Mwenyekiti wa CCM MKOA hakuna SHIDA Atarudishiwa KAMPUNI YAKE Ukiwa CCM Hakuna kinachoshindikana CCM inaweza Kumzuia hata Mwanachama wake KUFA
 
Karamagi wa TICTS' ahaha kwa wahariri, wabunge

* Ni baada ya mkataba wao kufutwa bandari ya Dar es Salaam

* Kampuni ya PR ya Capital Plus yapewa kazi kuisafisha TICTS

* Wapanga uhujumu wa huduma za makontena bandarini baada ya kuenguliwa

WAZIRI mstaafu Nazir Karamagi na mfanyabiashara Yogesh Manek wameanza kampeni mahsusi kwa wahariri na wabunge kujaribu kuikwamua kampuni yao ya TICTS ambayo imefutiwa mkataba wa kuendesha eneo la makontena kwenye bandari ya Dar es Salaam.

TICTS wamefutiwa mkataba huo baada ya kushindwa kuonesha ufanisi kwa zaidi ya miaka 20 sasa.

"Karamagi na Yogesh wanahaha kila kona kujaribu kushawishi wahariri, wabunge na maafisa waandamizi wa serikali wairejeshee mkataba huo," alisema mfanyakazi mmoja wa kampuni ya uchukuzi.

"Wanataka kuwaweka sawa wahariri ili waanze kampeni kwenye vyombo vya habari ya kuitetea TICTS irejeshewe mkataba"

Taarifa zinasema kuwa TICTS wameajiri kampuni ya PR ya Capital Plus kufanya kazi ya kuwasafisha kwenye vyombo vya habari."

Vyanzo vyetu vya habari vinasema kuwa baadhi ya watumishi wa TICTS wanapanga kufanya hujuma kwenye huduma za makontena bandari ya Dar es Salaam baada ya mkataba wao kwa hasira ya kusitishiwa mkataba.

"Huenda tukasikia huduma za makontena bandari ya Dar es Salaam zimesimama ghafla kwa hujuma baada ya TICTS kufutiwa mkataba kabla mwekezaji mpya hajaja," alisema.
Mkataba umevunjwa au ume expire? Naomba ufafanuzi kwa anayejua.
 
Back
Top Bottom