Katibu Mkuu wa Chadema, John Mnyika amesema chama hicho hakitashiriki uchaguzi wa kuwapata wabunge watakaoiwakilisha Tanzania kwenye Bunge la Jumuiya ya Afrika ya Mashiriki (Eala).
Uchaguzi huo...
Nitataja mambo kadhaa
1. Kwanini mchakato wa katiba mpya awamu ya pili ya Mh Jakaya utumie mabilioni ya pesa kisha uwe abandoned kirahisi tu hivi????. Hizo fedha zingesaidia kumaliza tatizo la...
02 December 2022
Sumbawanga, Rukwa
Mbunge pekee wa CHADEMA Mh Aida Khenan aelezea mbinu alizotumia mpaka kushinda ubunge katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2020
Hali ilikuwa mbaya baada ya CCM...
Siku ya watu wenye ulemavu; Tuondoe vikwazo.
Utangulizi
Leo tarehe 3 Disemba, Duniani kote wadau mbalimbali wanaadhimisha siku ya watu wenye ulemavu. Siku hii hutumika kutathimini jitihada za...
Katiba ni nini? Tunaweza kusema Katiba ni dira ya taifa au mwongozo mama wa taratifu na miongozo itumikayo kuliongoza taifa.
Kuna mambo muhimu sana mengi ambayo ni ya msingi katika mustakabali...
Langu ni hilo!
Vyeti feki, ni wahujumu nchi kama ilivyo Kwa mafisadi na wezi wengine!
Wameisababishia Serikali hasara kubwa, Kwa elimu yao ndogo, wamesababisha vifo vya wananchi Kwa kutoa huduma...
Hii tabia ya kuivua nguo nchi yako kwenye MAJUKWAA ya kimataifa inasaidia kivipi kushika DOLA kwa mtu, hapa afrika Kila mpinzani aliwaunda serikali alitumia MAJUKWAA ya kimataifa KUISEMA vibaya...
Hii miccm imevunja morali ya watanzania kuipenda nchi yao kwasabb ya uongozi mbovu na usio na dira wala mwelekeo.
Kila zama na awamu wamekuwa wakija na ahadi za kijanjajanja na ulaghai za...
Hii ndiyo taarifa mpya kuhusiana na ziara ya viongozi wa CHADEMA inayoendelea barani Ulaya.
Tayari viongozi hao wanaoongozwa na Makamu Mwenyekiti wao Tundu Lissu wamekutana na kufanya mazungumzo...
Pamoja na kwamba Rais wa Tanzania ni Rais wa wananchi wote, lakini ziara zake nchini Tanzania zinakuwa ni ziara za Mwenyekiti wa CCM, ukiacha hotuba labda na matukio ambayo ndiyo huwa ya kitaifa...
Yes mimi ni mwanaccm damu. Lakini nikimsikiliza Dkt. Bashiru akikosoa wanaomsifia mama napata kichefu chefu.
Huyu ndo katibu mkuu wa kwanza wa CCM kufanya biashara ya kununua wapinzani kwa pesa...
Sikumbuki ni mwaka gani lakini nakumbuka kwenye moja ya bajeti zake aliitekeleza kwa ufanisi Kwa kiwango ambacho hata Mbowe na wenzie walikosa kabisa cha kukosoa wakaishia kusifia tu.
Kwa jinsi...
"Nilifurahi mno siku alipoapishwa Samia kuwa Rais na niliamini nchi ilipata mwarobaini wa yote mabaya yaliyopata kufanywa na mtangulizi wake. Na hali ile ilifanya nimpigie simu mstaafu mmoja na...
Kufuatia sakata kushikiliwa kwa Ndege aina ya Airbus A220 ya Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL) Nchini Uholanzi, Wakili Harold Sungusia amesema kichoendelea kinatokana na Serikali kujenga mifumo...
Tazameni matendo ya hovyo kwenye chaguzi zinazo endelea ndani ya uvccm.
Hii ni aibu kubwa sana kwa taifa la watu waliostaarabika.
Takukuru fanyeni kazi yenu bila kuangaliana itikadi.
Gazeti la Nipashe kesho tarehe November 03, linareport kulipwa wenye vyeti feki.
Ahukumiwa jela kwa kutumia cheti cha mtu mwingine kujiunga chuo.
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imemhukumu Elina...
Mbunge wa Mbeya Mjini Mhe. Joseph Mbilinyi a.k.a Sugu, leo amemwaga cheche bungeni kwa kuiwakia serikali kuhusu vurugu za wamachinga Mbeya hivyo kutaka tume huru iundwe ili kuchunguza kadhia hiyo...
Kufuatia kwa ndege yetu kukamatwa, tutambue kwamba hizo pesa zitatoka mfukoni mwetu badala ya fedha kuwekwa kwenye miundo mbinu ya umeme, maji n.k, tujiandae kulipa.
Sasa hivi wale vijana wa CCM...
Nianze kwa kunukuu maneno ya Nabii na Mtume Josefat Mwingira.
" He is a victor' you can not conquer a Victor"
Tundu ni Mshindi, ona anavyopendwa na kushangiliwa na watu wengi akiwa hana hata...