Suzy Elias
JF-Expert Member
- Nov 9, 2021
- 1,067
- 6,193
"Nilifurahi mno siku alipoapishwa Samia kuwa Rais na niliamini nchi ilipata mwarobaini wa yote mabaya yaliyopata kufanywa na mtangulizi wake. Na hali ile ilifanya nimpigie simu mstaafu mmoja na kumweleza ninataka kurudi nyumbani."
"Lakini kwa yanayoendelea sasa ndani ya utawala wa Samia ni ya hovyo kuzidi hata ya Magufuli na hiyo inaleta maana ya utawala wa Magufuli ni bora kuliko wa Samia jambo ambalo halikutarajiwa kabisa!"
Godbless Lema.
"Lakini kwa yanayoendelea sasa ndani ya utawala wa Samia ni ya hovyo kuzidi hata ya Magufuli na hiyo inaleta maana ya utawala wa Magufuli ni bora kuliko wa Samia jambo ambalo halikutarajiwa kabisa!"
Godbless Lema.