RWANDES
JF-Expert Member
- Jun 12, 2019
- 1,615
- 3,909
Kufuatia kwa ndege yetu kukamatwa, tutambue kwamba hizo pesa zitatoka mfukoni mwetu badala ya fedha kuwekwa kwenye miundo mbinu ya umeme, maji n.k, tujiandae kulipa.
Sasa hivi wale vijana wa CCM wenye matamko naona wamekaa kimya. Mikataba mibovu ya madini n.k, ni kazi ya ccm. Wizi wa mali za umma ni kazi ya CCM.
Hayupo kiongozi wa sasa wa CCM ambaye yupo kwa ajili ya Watanzania, wengi wao wapo kwa ajili ya kutengeneza vizazi vyao tu. Juzijuzi Symbion kalipwa kimyakimya mabilioni ya fedha na hata deni la ndege lipeni tu.
Kinachouma kwa sasa huduma yoyote kwenye ofisi za umma ukitaka kufanikisha ni connection.
Sasa hivi wale vijana wa CCM wenye matamko naona wamekaa kimya. Mikataba mibovu ya madini n.k, ni kazi ya ccm. Wizi wa mali za umma ni kazi ya CCM.
Hayupo kiongozi wa sasa wa CCM ambaye yupo kwa ajili ya Watanzania, wengi wao wapo kwa ajili ya kutengeneza vizazi vyao tu. Juzijuzi Symbion kalipwa kimyakimya mabilioni ya fedha na hata deni la ndege lipeni tu.
Kinachouma kwa sasa huduma yoyote kwenye ofisi za umma ukitaka kufanikisha ni connection.