MHE. SANGA AHOJI MATUMIZI YA MKOPO WA BILLION 350 BAJETI YA WIZARA YA ARDHI
Mbunge wa Jimbo la Makete Festo Sanga ameishauri Serikali kuacha kutenga fedha za dharula badala yake fedha hizo za...
Kwa hili natoa kongole nyingi kwa Halima Mdee..
Ni aibu Nchi imejaa Migogoro ya Ardhi na Ujenzi holela harafu Tume ya Ardhi inatengewa pesa kiduchu na Wanasiasa wanatengeana mabilioni ya posho...
Uongozi Institute Kwa Kushirikiana na AFCFTA Secretariat Wameandaa Jukwaa la Uongozi yaani African Leades Forum ambalo litajadili Mambo ya Biashara Huria Africa na Miongoni Mwa Viongozi...
..CCM walitoa tangu kwamba wanakubali mchakato wa Katiba Mpya uanze.
..Lakini tangu chama kitoe tamko hilo sijawasikia makada wa CCM wakitoa maoni au mapendekezo kuhusu nini wanachokitaka ktk...
-Jamii yashauriwa kuacha mila na desturi potofu juu ya masuala ya hedhi.
Na. WAF - Dodoma
Wito umetolewa kwa jamii kuwa na uelewa kuwa hedhi sio balaa, ugonjwa wala sio laana bali ni mabadiliko...
Hapa nchini Tanzania, kumekuwa na changamoto za hapa na pale hususani katika chaguzi kuu za kitaifa ikiwemo ushindi wenye mashaka kwa baadhi ya viongozi na yote hiyo ikichangizwa na mfumo mbovu wa...
Yakemeeni magazeti haya uchwara msiyape nafasi bila kukanusha upuuzi kama huu.
Content za mikutano yenu yote, Sauti mnazopiza kuhusu Katiba Mpya, wameona hili ndilo la kuwataarifu wananchi...
Tulionya Mapema sana kwamba tukipewa nafasi ya kupanda kwenye majukwaa kwenye mikutano ya hadhara na kuongea na wananchi, tuna uwezo wa kuteketeza ccm kwa muda wa siku 7 tu na sasa imedhihirika...
Kwa mjibu wa tamko la kiongozi wa shughuri za bunge letu Sipika Dr Aksoni Tulia kwamba, bunge la kushughurikia wezi waliotajwa kutoka katika wizara mbalimbalu na mkaguzi wa hesabu za serikali CAG...
Hello!!
Nimetafakari kiasi ni kwa namna gani mikutano ya hadhara ya vyama vya siasa inavyoweza kuinua uchumi na molari wa kujituma katika upambanaji hasa endapo viongozi wanasiasa kwenye mikutano...
Bandugu uzembe unao tokea Tanzania Mimi siamini lazima tuwalaumu ccm hakika haifai kulaumiwa kamwe.
Ccm ni chama Cha siasa tu kama vingine na kazi yake ni porojo kama zilivyo za vyama vingine...
Iko hivi wakati wa awamu ya nne sina uhakika na awamu ya 3.Ila kwa awamua ya 4 hii tabia ilikuwepo sana, kulikuwa na utamaduni kwa wale wanao tuhumiwa na ufisadi hasa Wakurugenzi wa Halmashauri na...
Zipo picha nyingi za ikulu ile ya awamu ya kwanza. Huwa zinatukumbusha mambo mengi, yakiwemo mazuri na mabaya pia. Ni kumbukumbu zinazotunzwa ili angalau ziwaonyesha watoto na wajukuu ule...
Ndugu zangu Watanzania,
Nimeona nitumie jukwaa hili kwa upendo,Heshima na unyenyekevu mkubwa Sana kuishauri serikali yangu kuhakikisha kuwa katika mpango wake wa kila mwaka wa kununua chakula na...
1. FAMILIA ZENYE NGUVU.
Kivipi?
Ili uwe na taifa lenye nguvu lazima lianzie kwenye familia ndogo hadi taifa lenyewe.
Hivyo ni lazima kuweka sheria kanuni taratibu na muongozo mzuri wa kulinda...
Nimesikiliza hizi za Harmonize (Kwangalu ya Magufuli) na Zuchu (Tanzania ya Sasa Mama) ni nyimbo za karne.
Naamini kabisa vizazi vijavyo vitamuenzi sana Magufuli kuliko hata sasa.
Mwamba...
Kitendo cha rais kutowachukulia hatua wezi waliotajwa na CAG, Bunge kupiga dana dana kuzijadili, huko tuendako ripoti za CAG zitakuwa na muhuri wa SIRI na hivyo kutakuwa for public consumption...
Huyu Waziri namshangaa, anaacha " ombwe" la taarifa kwa nini? Anashindwa kuwaeleza wabunge mchanganuo wa posho hizo? Mpaka Benki ya Dunia wanazikubali, ni mchakato mrefu, na uchanganuzi wa wazi...
Teuzi za raisi samia zinavyoakisi dhamira njema aliyonayo kwa Watanzania.
Kassim mpingi
Rufiji -pwani
Duniani kote teuzi za kisiasa huwa na kazi kuu mbili, kazi ya...