Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Kila viongozi wakifanya safari huko mikoani na kukutana na makando kando basi utasikia TAKUKURU waagizwa wachunguze, yaani wao wako stand bay kungoja waagizwe tofauti na hapo hakuna wanacho weza...
6 Reactions
20 Replies
2K Views
Msikilize hapa, Siku maaskofu wamegeuza kibao sijui Bitozo atakimbilia nchi gani. Kikwete anawajua vizuri sana hawa bwana. bila busara zao na kuwa karibu na pengo Kikwete awamu ya pili...
21 Reactions
51 Replies
4K Views
Nimetafakari kwa kina matokeo ya NEC nikaona umeme, maji na tozo ndio sababu kuu zilizotuletea matokeo hayo. Nawashukuru wajumbe kwa matokeo mazuri sana! Wahusika wajitafakari kwa mstakabali wa...
3 Reactions
7 Replies
1K Views
Yaani mjenge ofisi Iringa huku bado mmepanga Ufipa .👇
4 Reactions
62 Replies
3K Views
Dr. Slaa akihojiwa na Radio five ya Arusha jioni hii nini maoni yake kuhusu uteuzi wa Magufuli kuwania Urais. Ameongelea mengi lakini amesema iwapo UKAWA wakimpa nafasi na Watanzania wakampa kura...
38 Reactions
405 Replies
58K Views
Habari saa wanachama wenza wa website hii ya jamii forums katika jukwaa la siasa. Nilikuwa na machache ambayo ningeli penda kuzungumza na wanachama na wafuasi wa vyama vya siasa vya hapa nchini...
2 Reactions
7 Replies
938 Views
Kiukweli nimeshangazwa sana na kitendo cha Rais wa Zanzibar kushiriki uzinduzi wa kilichoitwa Studio za Wasafi FM huko Zanzibar. Zanzibar inayojitambulisha kama nchi, inao mawaziri walioteuliwa...
6 Reactions
51 Replies
2K Views
Nawasalimu wanajamvi, Mh. Rais hongera sana kwa kazi nzuri. Ni kweli sisi watanzania(ingawa sio wote) tunajua kwamba JKT haiajiri bali huwajengea ukakamavu na uzalendo vijana kwa nchi yao. Kuna...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Waziri wa Katiba na Sheria, Profesa Palagamba Kabudi amesema Serikali haijazuia maandamano na mikutano ya kisiasa isipokuwa wanaandaa utaratibu rafiki utakaotumika pasipo kuvunja sheria za nchi...
4 Reactions
59 Replies
47K Views
Taifa letu la Tanzania ni taifa la mfumo wa vyama vingi toka 1992 mpaka sasa. Kuna machache nataka kufahamu kutoka kwa wanachama, mashabiki na wafuasi wa baadhi ya vyama vya kisiasa vikubwa vya...
1 Reactions
5 Replies
648 Views
Habari kwamba Rais Magufuli ni dikteta ilianza kusemwa na Tundu Lissu ingali bado Magufuli akiwa hai. Magufuli akaviteka vyombo vyote vya habari, vyombo vya dola, bunge na mahakama. Nchi ikawa...
12 Reactions
39 Replies
2K Views
Rais wa JMT Dkt Samia ameshinda tuzo ya ku promote utalii iliyotolewa nchini India. Waandaaji wa tuzo hiyo wametambua mchano wake wa kuugangaza utalii wa Tanzania kupitia filamu maafufi ya The...
2 Reactions
30 Replies
1K Views
Mwenyekiti wa CHADEMA Freemen Mbowe katika mkutano wa CHADEMA alisema kuwa aliandika barua kumuomba Rais Samia Suluhu kufanya maridhiano ya kitaifa wakiamini ni njia sahihi ya kufanya kazi na...
0 Reactions
14 Replies
859 Views
Kwa wanaofuatilia mambo I hope mmefuatilia hotuba ya Mbowe akiongea na Diaspora huko Marekani. Kwa haraharaka ukiangalia hotuba ile utaona muda mwingi Mbowe katumia kutetea uamuzi wa CHADEMA...
19 Reactions
77 Replies
3K Views
Akijibu swali la mwanachama wa Chadema kutoka Philladelphia lililotaka, kujua Mikakati ya Chadema kuelimisha wananchii, Mbowe amefunguka vizuri sana na kudai kwamba, kitendo cha kuzuia harakati na...
10 Reactions
64 Replies
3K Views
Huyu mbunge wangu mstaafu mchungaji Msigwa ndiyo naweza kusema ana spirit ya Upinzani na hana bei Fikiria namna alivyomkatalia Rais wa awamu ya 5 Shujaa Magufuli aka Jiwe asimlipie Faini na...
0 Reactions
2 Replies
580 Views
Anayeandika hapa ni YEYE BRITANICCA Wavivu wa Fikra wanadhani Imekuwa Ngumu ACT na Chadema Kuungana kisa uchu wa madaraka nani agombee, sasa nawafungua Bongo zenu Hakuna ugumu kuna mbinu NEC...
25 Reactions
57 Replies
5K Views
Kuna jambo watu hawajaligundua, ni kwamba CCM inawaweka pembeni baadhi ya watu kisayansi sana Njia ziko mbili na zimefanya kazi, ya Tatu ya Mheshimiwa wa soko lake Dodoma ndo iliniacha hoi, 1...
7 Reactions
26 Replies
3K Views
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amezindua kiwanda cha kuchakata maziwa cha MSS kilichopo Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo, Mkoani Katavi ambacho kina uwezo wa kusindika wastani wa lita 10,000 kwa saa...
0 Reactions
1 Replies
708 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…