Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,166
- 4,581
Haeleki kabisa
Mbona mimi nimemuelewa!...Yaani mfano mzuri ni huu let say deni la nyumba x=Sh 15 mpangaji namba 1 sh 5,mpangaji namba 2 ni sh 10,kila mpangaji atalipa deni linalomuhusu mwenyewe bila ya kujumlisha deni la mwenzie yaani ndio kama hivyo Serikali italipa deni lake na sekta binafsi italipa deni lake kwahiyo jumla ndio deni la taifa(deni la nchi ya Tz )Haeleki kabisaView attachment 2443196
Huwezi kuwaelewa mkuu wakiona unawabana wanakuchanganya zaidi.Duh aisee yako mengi siyajui kumbe...sasa nauliza wenyewe wakikopa wanaweka nini bondi au ndo vitu walivyowekeza?ebu wataalam wa masuala ya uchumi tutoeni tongotongo
Deni la mwenye nyumba linajumlishwa na la mpangaji? Wakati kila mtu ana deni lake?Mbona mimi nimemuelewa!...Yaani mfano mzuri ni huu let say deni la nyumba x=Sh 15 mpangaji namba 1 sh 5,mpangaji namba 2 ni sh 10,kila mpangaji atalipa deni linalomuhusu mwenyewe bila ya kujumlisha deni la mwenzie yaani ndio kama hivyo Serikali italipa deni lake na sekta binafsi italipa deni lake kwahiyo jumla ndio deni la taifa(deni la nchi ya Tz )
Mfano wangu unaeleweka acha ligi!! Hitimisho la hapo ni kwamba kila mtu atalipa deni linalomuhusu bila kujali jumla iliyojumlishwa kwa woteDeni la mwenye nyumba linajumlishwa na la mpangaji? Wakati kila mtu ana deni lake?
Sisi tunataka kujua deni la serikali ya Tanzania ni sh ngapi ? Usituletee upumbavuMfano wangu unaeleweka acha ligi!! Hitimisho la hapo ni kwamba kila mtu atalipa deni linalomuhusu bila kujali jumla iliyojumlishwa kwa wote
Haeleki kabisaView attachment 2443196
Leo wamesema behewa ni za treni ya kawaida sio SGR,Huwezi kuwaelewa mkuu wakiona unawabana wanakuchanganya zaidi.
Tulianza tutanunua behewa used mpya zitakuja 2023.
Ikaja behewa ni used
Ikaja behewa zimenunuliwa bei juu.
Ikaja behewa hizi ni mpya
Tukamaliza anayepotosha kuwa behewa si uswd atachukuliwa hatua.
Yani full kutuchanganya
Mkibanwa sana mtakuja na formula za uchumi utadhani deni la Taifa limeanzia kwa Mama enu.Mkuu Kama shule ilikupiga kusho huwezi elewa chochote. Hii ni lecture ya mwaka wa pili wanaodoma B.A economics au finance.
National debt= public debt + private companies' debts.
Hivyo alichosema mwigulu ndoshule yenyewe.
Mimi mfano wako siukubali. Twende taratibu. Mr. & Mrs. X wamekopa millioni mia nane benki kujenga nyumba za kupangisha. Wamewapangisha watu 20, na katika hao tuseme wote hawajalipa kodi ya miezi miwili na wanadaiwa millioni 6. Deni la millioni 6 ni la wapangaji wanaodaiwa na mwenye nyumba. Hili deni haliwezi kuongezwa katika deni la mwenye nyumba alilokopa benki. Ila linaweza kuongeza deni kama mwenye nyumba atashindwa kulipa pesa aliyotakiwa kulipa benki mwezi huo, na benki ikampiga faini ya 0.9% ya pesa aliyotakiwa kulipa.Mfano wangu unaeleweka acha ligi!! Hitimisho la hapo ni kwamba kila mtu atalipa deni linalomuhusu bila kujali jumla iliyojumlishwa kwa wote
😄😄😄 Haki hii nchi ni ya kipekee sidhani hata kama utawala wa Equitorial Guinea una madharau kama haya. Sisi kwao panya tu wanatwambia chochoteLeo wamesema behewa ni za treni ya kawaida sio SGR,
Ndiyo akina Chavda wa kitambo hikiDuh aisee yako mengi siyajui kumbe...sasa nauliza wenyewe wakikopa wanaweka nini bondi au ndo vitu walivyowekeza?ebu wataalam wa masuala ya uchumi tutoeni tongotongo
Ndivyo ilivyo kwenye deni la taifa na madeni ya sector binafsi yanachukuliwa kama deni la taifaHaeleki kabisaView attachment 2443196