Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Imenibidi niulize tena swali hili, ambalo watu wengi wameamini tu kwa kusikia/kuambiwa kwamba ni "vyombo vya dola" vinahusika na mauaji hayo. Hivi vyombo vinavyojulikana ni polisi, Jeshi, au hata...
0 Reactions
4 Replies
258 Views
Mama Samia kasema na kumwomba Ruto awashughulikie wapinzani huko Kenya kama yeye anvyowashughulikia huku Tanzania. Hii kauli si tu kuwa ni undiplomatic lakini ni kuingilia mambo ya ndani ya nchi...
4 Reactions
24 Replies
677 Views
Wakuu, Jana, Rais Samia amefanya mabadiliko na teuzi mbalimbali, na moja ya teuzi zilizovuta hisia za wadau wengi ni ile ya Dkt. Evaline Munisi kuwa Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi...
0 Reactions
5 Replies
288 Views
Guys guys Wakati samia aliongea kwa jaziba, Muhemko na chuki huku akihamasisha uonevu juu ya raia. Ruto kajibu kwa akili kubwa kwamba hao GenZ wala siyo tatizo. The big challenge ni "umaskini...
42 Reactions
51 Replies
1K Views
  • Redirect
Tume ilipata ushahidi mkubwa kutoka kwa wananchi wa kawaida ambao walikuwa karibu na matukio. Walifichua kwa uwazi matukio ya kabla, wakati na baada ya uchaguzi na kutoa picha halisi ya...
0 Reactions
Replies
Views
Jaji Mkuu Mstaafu Mohamed Othman Chande Tume ya Kuchunguza Matukio ya Uvunjifu wa Amani wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, (Maarufu tume ya Jaji Chande) inatarajiwa kuwasilisha...
14 Reactions
336 Replies
8K Views
Yaani eti Samia ndiye anataka kumshauri Rutto aanze kuwateka Gen Z bila kujua wenyewe ndiyo kizazi kijacho. Wenzetu wana katiba nzuri, bunge na mahakama ambazo sio za machawa. utamaduni gani wa...
10 Reactions
23 Replies
691 Views
  • Redirect
https://youtu.be/IwqpF3RcnDQ?si=1zvg40qWNAEird-_
0 Reactions
Replies
Views
Watu ambao hukabiliwa na msongo wa mawazo na wanaohofia au kujua jambo baya linalokaribia kuwakuta kwa kawaida ni waongeaji sana, wabwatukaji sana. Hata kama unauguza mgonjwa, siku ukiona anaongea...
8 Reactions
14 Replies
471 Views
Moja ya hoja iliyoibuliwa na CHADEMA wakichambua ripoti ya Tume haramu ya Othman Chande na wazee wenzake walioamua kuuza utu wao kwa kuamua kuwa "wazee wa kutunga uongo" ni suala la wao kujigeuza...
14 Reactions
16 Replies
523 Views
  • Featured
Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Angellah Kairuki akiwasilisha taarifa ya sekta hiyo bungeni leo Aprili 30, 2026, amebainisha kuwa sekta hiyo imeendelea kupanuka kwa kasi, huku...
3 Reactions
26 Replies
1K Views
Nadhani wote mmemsikiliza Wakili Msomi Tundu Lissu Mahakamani alipokuwa anamtetea Mwenyekiti wa Chama chake aliyesingiziwa kesi ya Uongo ya Uhaini ili CCM ipite bila kupingwa. Kumbe Mwanzilishi...
8 Reactions
64 Replies
3K Views
Mojawapo ya utopolo wa hali ya ujuu uliotamkwa wakati wa hotuba ya Samia kwenye ziara ya Ruto ni hili suala la kusema wanaharakati wachapwe, wakiwa Kenya au Tanzania. Sasa wakati wasikilizaji...
11 Reactions
38 Replies
1K Views
Rais wa TLS, Wakili Boniface Mwabukusi amesema hayo tarehe 30 Aprili 2026 wakati wa ufunguzi wa Mkutano Mkuu wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) kwenye Ukumbi wa AICC jijini Arusha.
5 Reactions
23 Replies
408 Views
Baada ya ukimya wa siku kadhaa na madai pia waliotoa kutaka kutekwa! Sasa wale Watangazaji wa Radio 47 ya Kenya akiongozwa na Billy Miya leo waimeibuka na jambo jipya la kusema Rais wa Tanzania...
6 Reactions
29 Replies
754 Views
  • Redirect
"Utawala wa Trump ulikuwa sahihi kuanzisha mapitio ya uhusiano kati ya Marekani na Tanzania. Ukandamizaji unaoendelea dhidi ya Wakristo unapaswa kukabiliwa na hatua
0 Reactions
Replies
Views
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam imemfutia kesi na kumwachia huru dereva taksi Mousa Twaleb aliyekuwa akituhumiwa kuhusika na tukio la kutekwa kwa mfanyabiashara maarufu...
3 Reactions
47 Replies
6K Views
Kuna hizi habari kwamba Mfanyabiashara Mohamed Dewji ametekwa leo asubuhi maeneo ya Collosium Gym , Oysterbay alipokuwa ameenda kufanya mazoezi.. Mwenye habari kamili atujuze. ====== UPDATES...
87 Reactions
3K Replies
539K Views
Ziara ya Drogba na Rais Ruto ina umuhimu gani kwa maisha ya mtanzania amabae anaishi kijihini ambapo maji na umeme ni tatizo kubwa. Mpaka sasa Watanzania wengi wanaoishi vijijini na hata miji...
8 Reactions
18 Replies
349 Views
  • Redirect
Serikali ya Tanzania imechukua hatua ya kulinda wananchi dhidi ya ongezeko la bei ya mafuta duniani kwa kutoa ruzuku ya takribani shilingi 259 kwa kila lita ya dizeli. Kwa mujibu wa taarifa ya...
0 Reactions
Replies
Views
Back
Top Bottom