Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Wakati ule Shehe Issa Ponda anapambana ili Waislam wawe na Taasisi huru ya kutetea maslahi yao, Kamishna Kova ndiye aliyekuwa RPC wa Dar es Salaam. Kwa Maelezo ya Shehe Ponda, Kova ndiye RPC...
36 Reactions
126 Replies
6K Views
KIHONGOSI:CCM TUNAAMINI KATIKA MARIDHIANO,TUNATOA RAI KWA MAKUNDI YOTE KUSHIRIKI Katibu wa Idikadi,Uenezi,Siasa na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) Kenan Kihongosi amesema Chama hicho...
0 Reactions
3 Replies
206 Views
Mbunge wa Lahn-Dill nchini Ujerumani, Mheshimiwa Johannes Volkmann wa chama cha CDU ameihoji Serikali ya nchi hiyo kwamba, inachukua hatua gani kwa Tanzania kutokana na mauaji ya raia katika...
17 Reactions
51 Replies
870 Views
Alianza kama utani ila kwa ilipofikia hali ni mbaya. Ni kama watu wamehalalisha kutukana hili tusi linalopendwa sana na Sugu ambaye pia ni mnufaika wa michango huko CHADEMA. Ilikuwa kila akiandika...
5 Reactions
85 Replies
2K Views
ONGEZEKO LA BAJETI YA WIZARA YA MAJI Serikali ya Awamu ya Sita imeendelea kuipa kipaumbele sekta ya maji kwa kuongeza bajeti ya Wizara ya Maji kutoka Shilingi bilioni 898.28 mwaka 2025/2026 hadi...
0 Reactions
2 Replies
121 Views
Sheikh Ponda Issa Ponda akizungumza na Wanahabari, Kinondoni Jijini Dar es Salaam, Mei 6, 2026. https://www.youtube.com/watch?v=1fog9mpal5Q UTANGULIZI Baada ya Tume ya Jaji Mohamed Othman...
4 Reactions
6 Replies
421 Views
Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia yaomba jumla ya Tsh Trilioni 2,398,290,822,000 kwa ajili ya kutekeleza majukumu ya wizara kwa mwaka wa fedha 2026/2027 Fungu 46 : Maombi ya Fedha 2026/2027...
0 Reactions
0 Replies
207 Views
Akizungumza Mei 7, 2026 Bungeni jijini Dodoma Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba alisema Serikali itaendelea kusimamia sera, sheria na miongozo inayohusu afya na lishe ili kuhakikisha elimu...
1 Reactions
1 Replies
118 Views
https://m.youtube.com/watch?v=sYN-FCrYapU Watoa waraka mzito kulaani matamshi ya hivi karibuni kuhusu kuwashughulikia raia wa Afrika ya Mashariki watakaotumia uhuru wao kupinga tawala Hii...
4 Reactions
23 Replies
370 Views
NB: Table hii haihusiani na bei mpya iliyotangazwa leo. Imetumika tu kujenga hoja. Jumla ya tozo ambazo zipo kwenye bidhaa ya mafuta ya Petrol na Dizeli kwa kila lita moja ni kama 30% ya bei...
11 Reactions
76 Replies
1K Views
Pamoja na ubaya mkubwa wa ufisadi katika maendeleo ya nchi kwa nini hakuna nchi hata moja ya Africa iliyoweka adhabu ya kifo kama China kuthibitisha dhamira kubwa ya kupambana na ufisadi?
1 Reactions
1 Replies
110 Views
Kosa kuu la Yule aliyetumbuliwa ni kuropoka kwamba Nchi ina Akiba ya Mafuta kwa miezi 3 Hakusoma alama za Matapeli Wanamtandao Sasa Leo imethibitika! Hakuna nchi nyingine zaidi ya Koloni la...
5 Reactions
13 Replies
298 Views
Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) taifa imemteua Dkt. Asha Rose Migiro kuwa Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) akichukua nafasi ya Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi ambaye ni...
10 Reactions
94 Replies
8K Views
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimesikitishwa na kauli ya ndugu Samia Suluhu Hassan aliyoitoa hivi karibuni kwa Rais wa Jamhuri ya Kenya, Mheshimiwa William Samoei Ruto. Ndugu Samia...
4 Reactions
11 Replies
361 Views
Ndugu zangu Watanzania, Ukisikia Kiongozi Mwenye kufanya maamuzi Magumu na makini basi hakuna wa kumfikia Rais Samia katika Bara la Afrika. Ni kiongozi jasiri na mwenye uthubutu Mkubwa sana...
1 Reactions
30 Replies
314 Views
Shura ya Maimamu yajaa na sababu nzito za kuwa Tume ya Jaji Chande imejengwa nje ya misingi. Na Shura ya Maimamu imetoa waraka mzito wa kurasa 12 wenye mapendekezo manne. La kwanza ni rais aitoe...
3 Reactions
11 Replies
353 Views
Wakuu, Rais alishatuchamba tume ni yake, na ripoti ni yake, na sisi wala hatuna hiyana tumemwachia ripoti yake, maana haituhusu wananchi, ameshakabidhiwa, sasa Chande anakuja kujieleza kwetu ili...
39 Reactions
60 Replies
1K Views
Imenibidi niulize tena swali hili, ambalo watu wengi wameamini tu kwa kusikia/kuambiwa kwamba ni "vyombo vya dola" vinahusika na mauaji hayo. Hivi vyombo vinavyojulikana ni polisi, Jeshi, au hata...
0 Reactions
4 Replies
258 Views
Mama Samia kasema na kumwomba Ruto awashughulikie wapinzani huko Kenya kama yeye anvyowashughulikia huku Tanzania. Hii kauli si tu kuwa ni undiplomatic lakini ni kuingilia mambo ya ndani ya nchi...
4 Reactions
24 Replies
677 Views
Wakuu, Jana, Rais Samia amefanya mabadiliko na teuzi mbalimbali, na moja ya teuzi zilizovuta hisia za wadau wengi ni ile ya Dkt. Evaline Munisi kuwa Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi...
0 Reactions
5 Replies
288 Views
Back
Top Bottom