Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Kwa haya mambo yanayoendelea katika nchi yetu yanaendelea kuonesha kwanini mafisadi, wala rushwa na wafanya magendo walifurahi baada ya kifo cha Magufuli. Walijua kuwa wamepata mwanya wa kufanya...
22 Reactions
90 Replies
4K Views
Bunge limepitisha Muswada wa Sheria ya Tume ya Mipango wa mwaka 2023 huku ikiondolewa Wizara ya Fedha na Mipango na kupelekwa kwa Ofisi ya Rais. Muswada huo umewasilishwa na Waziri wa Nchi katika...
0 Reactions
0 Replies
740 Views
Suala la bandari, tatizo sio DP World, tatizo ni sisi wenyewe. Tatizo namna ya viongozi wa bandari wanavyopatikana. Mkurugenzi, bodi na menegement nzima unachaguliwa na Rais, hapo hakutakuwa na...
3 Reactions
13 Replies
1K Views
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndugu Daniel Chongolo, amewataka vijana wa Afrika, hususan kutoka Kusini mwa Afrika, kujitambua na kuwa tayari kuzitumikia nchi zao kwa weledi, uwezo na...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Bado naendelea kujiuliza, Kwanini mambo Yako hivi?. Rais Wetu, hao wanaokuletea majina, wamekupa nini?? Mbona wanakugombanisha na watu?. Ni kweli ,huenda umehakikishiwa Urais Kwa namna yoyote...
2 Reactions
9 Replies
1K Views
Kufuatia gazeti la Nipashe kuandika taarifa kuwa bunge limepitisha mkataba wa bandari na waarabu wa Dubai, Spika Tulia Akson ametoa onyo aliloliita la tatu na la mwisho Kwa wanahabari ngumbalu...
4 Reactions
84 Replies
8K Views
Swali la msingi ni kwenye kuridhia mikataba ya kimataifa, Bunge linauwezo wa kuukataa mkataba ambao umekwisha sainiwa na serikali? Na Je, Bunge likiukataa huo mkataba Nini kitatokea? Naomba...
2 Reactions
1 Replies
861 Views
Unapoona Mwanasheria mkuu wa Serikali mstaafu au Mwanasheria mkuu wa Chama Kikuu cha Upinzani kila apatapo tatizo anaajiri Mawakili kutoka Ulaya basi ujue Wanasheria wetu ni Vimeo humu ndani...
0 Reactions
2 Replies
892 Views
Kifupi huo ndio ushauri wangu. Tufanye nini? Najua shida yetu kubwa katika kila kitu hapa nchini ni uendeshaji mmbaya na sio kukosekana kwa fedha. Tumewahi kupokea fedha nyingi za misaada lakini...
2 Reactions
7 Replies
764 Views
Mnamo mwezi wa Desemba mwaka wa 1966, Rais wa Tanzania Mwalimu Julius Nyerere alizindua kiwanda cha kusafisha mafuta ghafi ya petroli jijini Dar es Salaam. Hatua hii ilikuwa ni miongoni mwa...
2 Reactions
13 Replies
2K Views
Nimemsikiliza mkulima aliefungua kesi dhidi ya mawaziri na watendaji kadhaa wa serikali kuhusu tuhuma za ripoti ya CAG, ameongea mengi na kutaja wengi lakini kwangu mimi nimegundua jambo, ametaja...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Halo JF. Rais Magufuli ktk moja ya vikao vya ndani ya chama cha CCM, amemlaumu Naibu waziri wa zamani wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, na aliyewahi kuwa pia RC Tabora ndugu Ludovick Mwananzila kwa...
14 Reactions
130 Replies
30K Views
"Kukopa arusi kulipa matanga." "Uuzaji" wa bandari yetu si kwa sababu nyingine, si kwa sababu ya ufisadi au blah blah za kuongeza ufanisi. Ni sababu ya kuelemewa na madeni na hali ngumu ya uchumi...
0 Reactions
1 Replies
803 Views
Naandika hii si kwa ubaya, nia yangu ni njema kabisa. Zipo taarifa kwamba Ole Sabaya ameachiwa huru baada ya kukiri makosa, katika uleule mpango tulioutilia mashaka wa Plea bargain, Sabaya...
27 Reactions
101 Replies
7K Views
Niliwahi kusema, hata kama baadhi yetu tutamchukia JPM, kuna siku tutamkumbuka tu. Kwa madudu yanayoendelea sasa hapa Nchini, bila shaka JPM asingeweza kufanya hivyo hata kidogo. Ikumbukwe ni...
1 Reactions
7 Replies
613 Views
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Kanda ya Kaskazini ambaye pia ni Mbunge wa zamani wa Arusha Mjini, Godbless Lema “Nitaweka presha kubwa kila mahali waliofanya makosa...
22 Reactions
64 Replies
6K Views
Je, unafahamu nini kuhusu dira ya Maendeleo ya Tanzania? Je, ni upi umuhimu wa kuwa na Dira ya Maendeleo ya Taifa inayotekelezeka kwa wakati na kwa kuzingatia rasilimali zilizopo? Je, Dira ya...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Maneno yamekuwa mengi ila sijafanikiwa kuona mtu anatuwekea huo mkataba tajwa humu au kokote ukiachilia mbali ya amakubaliano ya awali. Kwa aliyenao ingependeza akaupandisha hapa ili tuanzne...
0 Reactions
1 Replies
977 Views
Ratiba za bunge zinaonesha kuwa tarehe 10/6/2023 bunge la jamhuri ya muungano wa Tanzania litakaa na kujadili mkataba wa bandari na kampuni ya Daubai kifungu Kwa kifungu. Kwa wale wanaotaka...
6 Reactions
58 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…