Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 24,045
- 71,289
Bado naendelea kujiuliza, Kwanini mambo Yako hivi?.
Rais Wetu, hao wanaokuletea majina, wamekupa nini??
Mbona wanakugombanisha na watu?.
Ni kweli ,huenda umehakikishiwa Urais Kwa namna yoyote, huenda pia umeona ufunike kombe umalize ungwe yako, ila yote Kwa yote ya Mungu Mengi.
Nikajua Kiongozi anayeonekana kufanya vizuri, anakua Motivated zaidi Ili aendelee kufanya Mazuri na kua mtu wa mfano.
Teuzi zimejaa majungu, wivu, Kujuana na Kila aina ya takataka !!.
Unatupatia hasira Ile ya miaka 2005--2015.
Mbaya zaidi , pakumulia hamna, Pesa mtaani haipo, watu wanakula mlo Mmoja, sijakaa sawa , Nchi inauzwa , matukio ya ujambazi yanakithiri, Ufisadi unakithiri, kweli???
Haya yote chini yako ??? Kweli ??? Mbona Kwa JPM hayakuonekana ??.
Mungu kwanini ulimchukua JPM angalia bado anahitajika katika Taifa hili ??.
Rais Wetu, hao wanaokuletea majina, wamekupa nini??
Mbona wanakugombanisha na watu?.
Ni kweli ,huenda umehakikishiwa Urais Kwa namna yoyote, huenda pia umeona ufunike kombe umalize ungwe yako, ila yote Kwa yote ya Mungu Mengi.
Nikajua Kiongozi anayeonekana kufanya vizuri, anakua Motivated zaidi Ili aendelee kufanya Mazuri na kua mtu wa mfano.
Teuzi zimejaa majungu, wivu, Kujuana na Kila aina ya takataka !!.
Unatupatia hasira Ile ya miaka 2005--2015.
Mbaya zaidi , pakumulia hamna, Pesa mtaani haipo, watu wanakula mlo Mmoja, sijakaa sawa , Nchi inauzwa , matukio ya ujambazi yanakithiri, Ufisadi unakithiri, kweli???
Haya yote chini yako ??? Kweli ??? Mbona Kwa JPM hayakuonekana ??.
Mungu kwanini ulimchukua JPM angalia bado anahitajika katika Taifa hili ??.