Pumzika kwa amani Hayati Magufuli

Pumzika kwa amani Hayati Magufuli

passioner255

JF-Expert Member
Joined
Apr 22, 2019
Posts
6,803
Reaction score
13,034
Kwa haya mambo yanayoendelea katika nchi yetu yanaendelea kuonesha kwanini mafisadi, wala rushwa na wafanya magendo walifurahi baada ya kifo cha Magufuli.

Walijua kuwa wamepata mwanya wa kufanya wanayoyataka kama kuuza asset zote za nchi kwa wabia wao. Nchi inauzwa waziwazi.

Mambo yanayoendelea kwenye nchi hii kuanzia ufisadi mkubwa kwenye miradi mbalimbali mpaka kuanza kuuzwa kwa mali za Nchi kama mbuga za wanyama na kadhalika inaonesha nchi yetu imeyumba na kuelekea pabaya.

RIP Magufuli, RIP Tanzania.
 
Hivi una Tanzania yako isiyo hii?!!!

Huna unalojua....

Nchi imeuzwa ndotoni mwako baada ya kulewa kangara?!!!

Magufuli ndiye mzalendo kushinda wengine??!?[emoji15][emoji15][emoji15]

Huna unalojua zaidi ya kusimamia hisia zinazoufurahisha moyo wako(subjectively)....

#SiempreJMT[emoji120]
 
Am still trying to figure out kwann Mungu aliruhusu Kifo Cha JPM?? Why JPM Afariki na akautuachia hizi shida za Sasa.
Unajitia aibu...

Unaitia aibu fani yako....kweli daktari ambaye amefundishwa nini maana ya tofauti ya SYMPATHY na EMPATHIC UNDERSTANDING anaweza kuongea hivi ?!!!![emoji15][emoji15][emoji15][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Afrika hii wasomi wake banaaa.....daaaah [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hivi una Tanzania yako isiyo hii?!!!

Huna unalojua....

Nchi imeuzwa ndotoni mwako baada ya kulewa kangara?!!!

Magufuli ndiye mzalendo kushinda wengine??!?[emoji15][emoji15][emoji15]

Huna unalojua zaidi ya kusimamia hisia zinazoufurahisha moyo wako(subjectively)....

#SiempreJMT[emoji120]
Mwache yeye aamini kuwa JPM alikuwa hivyo na wew endelea kuamini unachoamini
 
Mwache yeye aamini kuwa JPM alikuwa hivyo na wew endelea kuamini unachoamini
Unajitia hakimu ambaye anasawazisha kila jambo kwa busara za kiungwana tu bila ya kurejea vifungu vya sheria?!!![emoji1787]

Mimi sijaandika ninaamini lipi kuhusu Magufuli.....why generalization?!!![emoji1787]
 
Kwa kifupi nchi yetu ipo chini ya walanguzi kuanzia ikulu.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Huna ujualo....una USONJI?!!!!

Nchi iko salama kabla ya hayati Magufuli....ilikuwa salama chini yake....na itaendelea kuwa salama tu.....

Fikra zako juu ya usalama wa nchi zinaishia mwisho wa ncha ya pua yako....[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

#SiempreJMT[emoji120]
 
Watu kama nyie wasapoti mafisadi mnakiwa kupigwa risasi kama china wanavyofanya mafisadi.
Kimaandiko umeshaniua kwa kuwa tu tumetofautiana fikra.....[emoji1787][emoji1787]

Umelewa "smart gin" ama ni hizi shengena za vibandani?!!!

UFISADI ni nini ?!!!

Fisadi ni nani?!!!!

Uko Tanzania unaongelea China...huoni huo ni uchizi na "wishful thinking"?!!!

Taifa lilikuwa salama chini ya JPM na linaendelea kuwa salama chini ya mh.Rais SSH......

NEVER GIVE WISDOM TO UNWORTHY BECAUSE ITS UNFAIR TO THE KNOWLEDGEABLE
 
Wameuza bandari zote,wameuza mbuga za wanyama,wameuza madini.watu kama nyie wasapoti mafisadi mnatakiwa kupigwa risasi tu.
Kwa uzalendo gani ulio nao unipige risasi?!!!

Kwa sheria ipi uliyonayo unitwange risasi ?!!![emoji1787]

Would it be an extra judicial killing?!!![emoji1787]

Njoo usiku huu hapa mtaa wa Regency Mikocheni tutafune "kangeta".....halafu unipige risasi [emoji1787][emoji1787]

Huna ujualo SAKALA mwenye KUKARIRI kutokana na "DELUSION"......

JPM si Tanzania AMESHAPITA....

Mama naye atapita.... Tanzania itabaki.......

#SiempreJMT[emoji120]
 
Acha watu waone hasara ya nchi kuwa chini ya walanguzi
Watu wenyewe wa kuona ni nani ?!!!

Labda wewe mjinga na wenzako wachache..... watanzania walio wengi wanaufurahia uongozi wa mh.SSH kila hatua.....

Zunguka vijiwe vya kahawa hapa Dar....yanazungumzwa mema tu ya mama.....

Leo kule Ludewa wamemuambia nyimbo za kumpongeza baada ya wakazi wa MCHUCHUMA na LIGANGA kuahidiwa kupewa fedha za fidia yao ndani ya siku 5.....unabwabwaja wewe sakala tu usiojua lolote.....

Karibu hapa Regency tugonge mvinyo na kutafuna kangeta.....[emoji1787]

#SiempreJMT[emoji120]
 
Kwa haya mambo yanayoendelea katika nchi yetu yanaendelea kuonesha kwanini mafisadi, wala rushwa na wafanya magendo walifurahi baada ya kifo cha Magufuli...
Majizi yanawezaje kupumzika kwa amani wew pimbi. Tatizo hii nchi ujinga ndio mtaji wa ccm. Huyo ni jambazi kama wengine na ndio maana aliogopa kuendeleza mchakato wa katiba mpya kwa kuwa alijua yeye ni mchafuu na hawezi kuchagulika kwa uchaguzi huru.
 
Watu wenyewe wa kuona ni nani ?!!!

Labda wewe mjinga na wenzako wachache..... watanzania walio wengi wanaufurahia uongozi wa mh.SSH kila hatua....
Dalali wa Walanguzi utamjua tu, hata hajifichi,mradi Kesha ingiza chake cha udalali akili zake zinawaza ifike tu Jioni aende zake kwenye vijiwe vya pombe aka pombeke tu huku akibwabwaja "Mama anaupiga Mwingi"!!
 
Hivi una Tanzania yako isiyo hii?!!!

Huna unalojua....

Nchi imeuzwa ndotoni mwako baada ya kulewa kangara?!!!

Magufuli ndiye mzalendo kushinda wengine??!?[emoji15][emoji15][emoji15]

Huna unalojua zaidi ya kusimamia hisia zinazoufurahisha moyo wako(subjectively)....

#SiempreJMT[emoji120]
Ona hii mbulukenge
 
Back
Top Bottom