Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Kwema Ndugu zangu, Hii sasa ni ya pata nusu mwaka, kila nikipiga namba zilizopo kwenye tovuti ya Rais Samia (www.ikulu.go.tz) hazipokelewi kabisa. Zinakua zinaita tu bila kupokelewa. Ina maana...
22 Reactions
94 Replies
5K Views
Kama analolisema huyu Mbunge ni kweli basi Spika wa Bunge jiuzulu tafadhali. Soma >> Mkataba wa Bandari: Mbunge Aida Khenani akiri kupelekwa Dubai, lakini mpaka wanarudi hakujua walikwenda...
25 Reactions
75 Replies
7K Views
Wakili Fatma Karume aliyebobea kwenye sheria za Uwekezaji amesema Waziri Mbarawa hawezi kusaini Mkataba wowote bila Idhini ya Mwanasheria Mkuu wa Serikal Jaji Feleshi ambaye ni Mtanganyika na...
15 Reactions
141 Replies
13K Views
Ndugu zangu Watanzania, Ifahamike ya kuwa ukiwekeza kwa vijana Ni sawa na kwamba umewekeza kwa Taifa ,umewekeza kwenye amani, utulivu na usalama wa Taifa,ukiwapa kipaombele vijana Ni sawa na...
3 Reactions
33 Replies
2K Views
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imefungua rasmi Ubalozi wake Jijini Jakarta nchini Indonesia. Akizungumza katika hafla ya uzinduzi wa Ubalozi huo, Waziri wa Mambo ya Nje na...
1 Reactions
1 Replies
841 Views
Hakuna mtu anakataa kwamba spika wetu anajua sheria lakini hafanyi kazi nzuri kusaidia serikali. Mfano kwenye huu mkataba angetakiwa kushauri kubadilisha hii MOU kwenye sehemu hizi 1. MOU iwe ya...
1 Reactions
1 Replies
564 Views
ammlaka ya Bandari Tanzania (TPA) imesema wakati ikiweka lengo la kuhudumia tani milioni 1.5 kwa bandari ya Mtwara ifikapo 2028, lengo hilo limefikiwa mapema, miaka mitano kabla kama...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hii ndiyo Taarifa mpya inayosambaa kwa kasi kwa muda huu, kwamba serikali imekubali kufuta Tozo zote ili kuitikia kilio cha wananchi. Chanzo: Raia Mwema Swali: Zile hela zetu walizotukata tangu...
20 Reactions
66 Replies
7K Views
Fuatilia yanayojiri kwenye Bunge la 12, Mkutano wa 11, Kikao cha 53 leo Juni 22, 2023 Mbunge wa Ukonga Mhe. Jerry Slaa amesema Serikali ipokee mawazo mazuri ya wananchi lakini isikubali...
2 Reactions
32 Replies
3K Views
Wakuu, Hili sakata la bandari limechora mstari, kwa leo naomba nimpe maua mama yetu mpenzi Prof Anna Tibaijuka! Amechora mstari ambao wengi kwa umri wake na nafasi walizopitia wasingeweza...
40 Reactions
72 Replies
6K Views
Kipengele kimojawapo cha mkataba wa bandari kinasema hivi yaani maana yake ni kwamba, haturuhusiwi kwa namna yoyote ile KUJITOA katika mkataba huo hata kama tutagundua BAYA la UKUBWA wa kiwango...
26 Reactions
114 Replies
7K Views
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA ELIMU, SAYANSI NA TEKNOLOJIA MUHTASARI WA HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU, SAYANSI NA TEKNOLOJIA PROF. ADOLF F. MKENDA (MB), KUHUSU MAKADIRIO YA MAPATO NA...
1 Reactions
9 Replies
11K Views
"Rushwa bandarini ndiyo imesababisha bandari ifanywe inachofanyiwa. Wakishapeana rushwa, serikali inakosa mapato, mizigo inachelewa, inapotea, na bandari limekuwa pango la majizi. Swali ni je...
20 Reactions
32 Replies
3K Views
wasalam, Natafakari juu ya mbadala wa Serikali Tanzania, yaani upinzani sipati majibu. Kuna umuhimu wa kua na upinzani kweli? Umuhimu wake uko wapi? Ikiwa kila Jambo linakuja na linapita kama...
3 Reactions
36 Replies
2K Views
GWAJIMA KAZI KAZI Mbunge wa Jimbo la Kawe Askofu Dkt Josephat Gwajima (MNEC) Leo amemaliza kilio Cha wakazi wa Msasani Mtaa wa Bonde la Mpunga Kwa kuzibua mitaro yote na kuiongezea urefu na...
6 Reactions
30 Replies
3K Views
Hata nikiamshwa usingizini na nikaulizwa ni mambo yapi yamtambeba Rais Samia au mgombea yeyote wa CCM kwenye uchaguzi mkuu ujao kabla ya kupepesa jicho nitakuambia yafuatayo: Kwanza, furaha na...
4 Reactions
4 Replies
984 Views
Kampuni ya China National Offshore Oil Corporation (CNOOC) na Shirika la TPDCTZ kushirikiana katika uwekezaji katika sekta ya gesi nchini. Aidha, Kampuni ya CNOOC imeahidi kuendelea kushirikiana...
4 Reactions
29 Replies
2K Views
Mimi sikusomea sheria lakini kazi zangu kwenye multinational companies, imenifanya kuwa mjuzi wa mikataba ya uwekezaji na biashara, kwa kiasi fulani kuwazidi baadhi ya wanasheria. Mara nyingi...
16 Reactions
28 Replies
2K Views
Maamuzi yaliyofanywa ya KUUZA BANDARI YETU YA DARESALAAMU kwa siku na miaka isiyokuwa na ukomo (vizazi na vizazi/milele na milele),Yanaondoa uvumilivu,yanaleta jazba na Hali ya kutowaamini kabisa...
4 Reactions
19 Replies
1K Views
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Shinyanga, Janeth Magomi amedai kuwa mwanafunzi aliyehitimu kidato cha nne mwaka jana ambaye wazazi wake waliamua kumuoza alilipiwa mahari ya ng'ombe 15. Akizungumza na...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…