Special salute! Profesa Anna Tibaijuka!

MTAZAMO

JF-Expert Member
Feb 8, 2011
19,643
33,439
Wakuu,

Hili sakata la bandari limechora mstari, kwa leo naomba nimpe maua mama yetu mpenzi Prof Anna Tibaijuka! Amechora mstari ambao wengi kwa umri wake na nafasi walizopitia wasingeweza kusimama bila woga.

Prof Anna Tibaijuka tunakupa maua yako ukiwa hai mama. Umesimama kizalendo na kutumia vizuri elimu na exposure yako kukataa mkataba huu wa bandari.

Mama Tibaijuka kagusa maeneo muhimu, National pride, historia, uzoefu wa kibunge na kiserikali, kisheria na kiuchumi!

Haya ni maua special kwa mama T tu ila mapambano yanaendelea na maua tunatoa!

Tanzania kwanza
 
Wakuu,

Hili sakata la bandari limechora mstari, kwa leo naomba nimpe maua mama yetu mpenzi Prof Anna Tibaijuka! Amechora mstari ambao wengi kwa umri wake na nafasi walizopitia wasingeweza kusimama bila woga.

Prof Anna Tibaijuka tunakupa maua yako ukiwa hai mama. Umesimama kizalendo na kutumia vizuri elimu na exposure yako kukataa mkataba huu wa bandari.

Mama Tibaijuka kagusa maeneo muhimu, National pride, historia, uzoefu wa kibunge na kiserikali, kisheria na kiuchumi!

Haya ni maua special kwa mama T tu ila mapambano yanaendelea na maua tunatoa!

Tanzania kwanza
Hamna kitu hapo
 
Wakuu,

Hili sakata la bandari limechora mstari, kwa leo naomba nimpe maua mama yetu mpenzi Prof Anna Tibaijuka! Amechora mstari ambao wengi kwa umri wake na nafasi walizopitia wasingeweza kusimama bila woga.

Prof Anna Tibaijuka tunakupa maua yako ukiwa hai mama. Umesimama kizalendo na kutumia vizuri elimu na exposure yako kukataa mkataba huu wa bandari.

Mama Tibaijuka kagusa maeneo muhimu, National pride, historia, uzoefu wa kibunge na kiserikali, kisheria na kiuchumi!

Haya ni maua special kwa mama T tu ila mapambano yanaendelea na maua tunatoa!

Tanzania kwanza
Mjinga mkubwa huyo anaumia kwa sababu fisadi mwenzake na muhaya kufurushwa bandarini? Fisadi huyo
 
Wakuu,

Hili sakata la bandari limechora mstari, kwa leo naomba nimpe maua mama yetu mpenzi Prof Anna Tibaijuka! Amechora mstari ambao wengi kwa umri wake na nafasi walizopitia wasingeweza kusimama bila woga.

Prof Anna Tibaijuka tunakupa maua yako ukiwa hai mama. Umesimama kizalendo na kutumia vizuri elimu na exposure yako kukataa mkataba huu wa bandari.

Mama Tibaijuka kagusa maeneo muhimu, National pride, historia, uzoefu wa kibunge na kiserikali, kisheria na kiuchumi!

Haya ni maua special kwa mama T tu ila mapambano yanaendelea na maua tunatoa!

Tanzania kwanza
Viva Prof Anna Tibaijuka.
Ameonyesha kuwa ni kichwa na bila woga ameuraua mkataba hadi viongozi walioingia kichwa kichwa kwenye mkababa wa bandari WANAONA SONI.
 
mabilion aliyowekewaga kwenye akaunti yake kupitia lile sakata la escrow aliyaludisha? tuanzie hapo kwanza
 
Wakuu,

Hili sakata la bandari limechora mstari, kwa leo naomba nimpe maua mama yetu mpenzi Prof Anna Tibaijuka! Amechora mstari ambao wengi kwa umri wake na nafasi walizopitia wasingeweza kusimama bila woga.

Prof Anna Tibaijuka tunakupa maua yako ukiwa hai mama. Umesimama kizalendo na kutumia vizuri elimu na exposure yako kukataa mkataba huu wa bandari.

Mama Tibaijuka kagusa maeneo muhimu, National pride, historia, uzoefu wa kibunge na kiserikali, kisheria na kiuchumi!

Haya ni maua special kwa mama T tu ila mapambano yanaendelea na maua tunatoa!

Tanzania kwanza
Kuna huyu pia



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu,

Hili sakata la bandari limechora mstari, kwa leo naomba nimpe maua mama yetu mpenzi Prof Anna Tibaijuka! Amechora mstari ambao wengi kwa umri wake na nafasi walizopitia wasingeweza kusimama bila woga.

Prof Anna Tibaijuka tunakupa maua yako ukiwa hai mama. Umesimama kizalendo na kutumia vizuri elimu na exposure yako kukataa mkataba huu wa bandari.

Mama Tibaijuka kagusa maeneo muhimu, National pride, historia, uzoefu wa kibunge na kiserikali, kisheria na kiuchumi!

Haya ni maua special kwa mama T tu ila mapambano yanaendelea na maua tunatoa!

Tanzania kwanza
Mh 🤔! Ngoja tuone kuna nn behind maan hawa wanaccm hawaeleweki mkuu!!
 
Back
Top Bottom