12STONE
JF-Expert Member
- Mar 16, 2013
- 1,190
- 409
Maamuzi yaliyofanywa ya KUUZA BANDARI YETU YA DARESALAAMU kwa siku na miaka isiyokuwa na ukomo (vizazi na vizazi/milele na milele),Yanaondoa uvumilivu,yanaleta jazba na Hali ya kutowaamini kabisa Viongozi wenye Kufanya maamuzi hayo.
Mnauza Bandari/LANGO KUU LA NCHI {TANZANIA} Kwa makusudi,Kisha mnajipanga kuwaweka sawa Wabunge watetee uovu huu Kana kwamba Ni jambo Njema Saana.
Inakera Sana, inasikitisha,inaumiza kuona watu wenye dhamana ya KUILINDA NCHI NA RASILIMALI ZAKE ili zizidi kutunufaisha SISI na Vizazi vyote vya Vitukuu wetu.Ni aibu kuona Mambo Kama yasiyo na hata chembe ya UZALENDO hata kidogo na aliyehusika moja kwa moja Ni Kiongozi wenye ngazi ya juu kabisa (RAIS NA TIMU YAKO YA KARIBU),Hii Ni aibu kubwa ya Milenium (miaka 1000).
RAIS na watu wake tuseme Nini Sasa?
Hakuna mtu mwenye Hekima au mliziba masikio mistake kusikia? Mmejipanga watoto wetu wawe watumwa wa WAARABU Tena,Je! Watoto WENU watahamia UARABUNI?
Kama sivyo, Usalama wa watoto wetu na WENU pia uko wapi kwa mazingira haya ya KUUZA BANDARI?
Kuwa kwenye nafasi yoyote ile ya Uongozi Haina maana hao tunaowaongoza hawajui chochote au lolote.Uongozi Ni Dhamana tu,Inapaswa itumie ipasavyo na kwa halali Tena kwa manufaa ya Wananchi na sio kujinufaisha watu wachache.
Itapendeza Sana Maonii ya Wananchi yasipuuzwe kwa namna yeyote ile.Hakuna haha ya kutumia NGUVU kubwa ya ushawishi wa Wabunge, Vyombo vya HABARI na Baadhi ya Viongozi wa Serikali kuendelea kulisemea suala Hilo OVU Kama vile Ni takatifu kweli kweli.
NASHAURI MKATABA HUU UTUPILIWE MBALI ILI WATANZANIA TUBAKIE KUWA WAMOJA NA WENYE AMANI.NJE NA PALE Endapo mtang'ang'ania na kulazimishia BANDARI IENDE KWA WAARABU,Sishangai kuona itakuwa rahisi Sana Wananchi Kushawishiwa na kushawishika KUANDAMANA NCHI NZIMA MOAKA IKULU.
Kama Hamtawalimda wao na RASILIMALI za nchi,Watatafuta namna ya wao kuwa salama na RASILIMALI zao.
Ni wakati wa kuwa Malini kwa Viongozi kuliko wakati wowote ili TAIFA LISIIINGIE KWENYE MACHAFUKO YASIYO YA LAZIMA.
HEKIMA NA BUSARA ZITUMIKE.
Mnauza Bandari/LANGO KUU LA NCHI {TANZANIA} Kwa makusudi,Kisha mnajipanga kuwaweka sawa Wabunge watetee uovu huu Kana kwamba Ni jambo Njema Saana.
Inakera Sana, inasikitisha,inaumiza kuona watu wenye dhamana ya KUILINDA NCHI NA RASILIMALI ZAKE ili zizidi kutunufaisha SISI na Vizazi vyote vya Vitukuu wetu.Ni aibu kuona Mambo Kama yasiyo na hata chembe ya UZALENDO hata kidogo na aliyehusika moja kwa moja Ni Kiongozi wenye ngazi ya juu kabisa (RAIS NA TIMU YAKO YA KARIBU),Hii Ni aibu kubwa ya Milenium (miaka 1000).
RAIS na watu wake tuseme Nini Sasa?
Hakuna mtu mwenye Hekima au mliziba masikio mistake kusikia? Mmejipanga watoto wetu wawe watumwa wa WAARABU Tena,Je! Watoto WENU watahamia UARABUNI?
Kama sivyo, Usalama wa watoto wetu na WENU pia uko wapi kwa mazingira haya ya KUUZA BANDARI?
Kuwa kwenye nafasi yoyote ile ya Uongozi Haina maana hao tunaowaongoza hawajui chochote au lolote.Uongozi Ni Dhamana tu,Inapaswa itumie ipasavyo na kwa halali Tena kwa manufaa ya Wananchi na sio kujinufaisha watu wachache.
Itapendeza Sana Maonii ya Wananchi yasipuuzwe kwa namna yeyote ile.Hakuna haha ya kutumia NGUVU kubwa ya ushawishi wa Wabunge, Vyombo vya HABARI na Baadhi ya Viongozi wa Serikali kuendelea kulisemea suala Hilo OVU Kama vile Ni takatifu kweli kweli.
NASHAURI MKATABA HUU UTUPILIWE MBALI ILI WATANZANIA TUBAKIE KUWA WAMOJA NA WENYE AMANI.NJE NA PALE Endapo mtang'ang'ania na kulazimishia BANDARI IENDE KWA WAARABU,Sishangai kuona itakuwa rahisi Sana Wananchi Kushawishiwa na kushawishika KUANDAMANA NCHI NZIMA MOAKA IKULU.
Kama Hamtawalimda wao na RASILIMALI za nchi,Watatafuta namna ya wao kuwa salama na RASILIMALI zao.
Ni wakati wa kuwa Malini kwa Viongozi kuliko wakati wowote ili TAIFA LISIIINGIE KWENYE MACHAFUKO YASIYO YA LAZIMA.
HEKIMA NA BUSARA ZITUMIKE.