MzeeKipusa
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 2,705
- 4,978
Kwema Ndugu zangu,
Hii sasa ni ya pata nusu mwaka, kila nikipiga namba zilizopo kwenye tovuti ya Rais Samia (www.ikulu.go.tz) hazipokelewi kabisa. Zinakua zinaita tu bila kupokelewa.
Ina maana ofisi ya Rais haina maPS? Na je kwanini namba hizo huwekwa kwenye nyaraka za Serikali ( Barua )?
Kwani kupokea simu inachukua muda gani Ndugu zangu wa hapo Chamwino Ikulu? Mbona mnaringa sana nyie watu? Mbona mnajisikia sana asee? Tutawapataje sasa, kama kupokea simu za ofisi hamtaki?
Kuna umaana gani sasa wa kuweka hizi namba za simu kwenye barua zenu kama kupokea simu inakua shida, asee hebu kuweni na utu hata kidogo basi.
Hizo ni ofisi tu Ndugu zangu na mtaziacha, msifikiri mtakaa humo milele. Utaratibu wa hovyo sana huo. Yaani watu wanawapigia simu, nyie mnakua mnaziangalia tu huku mkipiga story ofisini.
NAMBA ZA SIMU HIZI: 0262961500 na 0262961501 HAZIPOKELEWI KABISA HAPO CHAMWINO IKULU DODOMA.
Hii sasa ni ya pata nusu mwaka, kila nikipiga namba zilizopo kwenye tovuti ya Rais Samia (www.ikulu.go.tz) hazipokelewi kabisa. Zinakua zinaita tu bila kupokelewa.
Ina maana ofisi ya Rais haina maPS? Na je kwanini namba hizo huwekwa kwenye nyaraka za Serikali ( Barua )?
Kwani kupokea simu inachukua muda gani Ndugu zangu wa hapo Chamwino Ikulu? Mbona mnaringa sana nyie watu? Mbona mnajisikia sana asee? Tutawapataje sasa, kama kupokea simu za ofisi hamtaki?
Kuna umaana gani sasa wa kuweka hizi namba za simu kwenye barua zenu kama kupokea simu inakua shida, asee hebu kuweni na utu hata kidogo basi.
Hizo ni ofisi tu Ndugu zangu na mtaziacha, msifikiri mtakaa humo milele. Utaratibu wa hovyo sana huo. Yaani watu wanawapigia simu, nyie mnakua mnaziangalia tu huku mkipiga story ofisini.
NAMBA ZA SIMU HIZI: 0262961500 na 0262961501 HAZIPOKELEWI KABISA HAPO CHAMWINO IKULU DODOMA.