Askofu Gwajima KAZI KAZI jimboni Kawe

JUMA JUMA

JF-Expert Member
Jan 5, 2013
666
835
GWAJIMA KAZI KAZI

Mbunge wa Jimbo la Kawe Askofu Dkt Josephat Gwajima (MNEC) Leo amemaliza kilio Cha wakazi wa Msasani Mtaa wa Bonde la Mpunga Kwa kuzibua mitaro yote na kuiongezea urefu na kujenga mifumo mizuri ya kupokea maji ili kuepuka Mafuriko wakati wa Mvua.

IMG-20230622-WA0001(2).jpg
 
GWAJIMA KAZI KAZI

Mbunge wa Jimbo la Kawe Askofu Dkt Josephat Gwajima (MNEC) Leo amemaliza kilio Cha wakazi wa Msasani Mtaa wa Bonde la Mpunga Kwa kuzibua mitaro yote na kuiongezea urefu na kujenga mifumo mizuri ya kupokea maji ili kuepuka Mafuriko wakati wa Mvua.
Yani Gwaji Boy ndio kazibua mitaro!
 
GWAJIMA KAZI KAZI

Mbunge wa Jimbo la Kawe Askofu Dkt Josephat Gwajima (MNEC) Leo amemaliza kilio Cha wakazi wa Msasani Mtaa wa Bonde la Mpunga Kwa kuzibua mitaro yote na kuiongezea urefu na kujenga mifumo mizuri ya kupokea maji ili kuepuka Mafuriko wakati wa Mvua.
Move nzuri wakati dp world imepamba moto!

Jamaa nae genius sana!!

Operation thunderstorms imeshakamilika nadhani SASA nadhani ni Operation zibua mitaro !!
 
Mwizi Tapeli huyo... Hivi amewanunulia boat za kuvulia samak, amwapeleka vijana ulaya, amefungua chuo cha uvuvi...? Wapumbavu kweli ninyi
 
Niliuliza swali sikupata jibu,

Kikao Cha kupitisha azimio la Bunge kuhusu Bandari ya DP world
Gwajima alikuwemo bungeni?
 
GWAJIMA KAZI KAZI

Mbunge wa Jimbo la Kawe Askofu Dkt Josephat Gwajima (MNEC) Leo amemaliza kilio Cha wakazi wa Msasani Mtaa wa Bonde la Mpunga Kwa kuzibua mitaro yote na kuiongezea urefu na kujenga mifumo mizuri ya kupokea maji ili kuepuka Mafuriko wakati wa Mvua.

View attachment 2665077
Kama ndivyo aache kazi ya uaskofu na ubunge tumuajiri kweye hiyo maana ameifanya kwa ufanisi kwa muda mfupi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom