MKWEAMINAZI
JF-Expert Member
- May 28, 2023
- 930
- 1,299
Wadau nawasabahi.Kuna JAMBO nataka nijue juu ya UPATIKANAJI wa Mwekezaji DP WORLD ktk BANDARI yetu.
Je Serikali ilitangaza TENDA ya kutafuta Mwekezaji? Mbona Wananchi hatukuisikia wala kuisoma hiyo TENDA?
Je Makampuni mangapi yaliomba?
Kama haikutangaza DP WORLD amepataje hiyo TENDA hali haikutangazwa?
Kwanini kulifanyika DUBAI TOUR? Nani aliigharamia ?
Na kwanini Waandishi wa Habari Wanasiasa Wabunge Wafanyabiasha na Watu Mashuhuri ndio wahusishwe? Na kwanini iwe SIRI?
Je Serikali ilitangaza TENDA ya kutafuta Mwekezaji? Mbona Wananchi hatukuisikia wala kuisoma hiyo TENDA?
Je Makampuni mangapi yaliomba?
Kama haikutangaza DP WORLD amepataje hiyo TENDA hali haikutangazwa?
Kwanini kulifanyika DUBAI TOUR? Nani aliigharamia ?
Na kwanini Waandishi wa Habari Wanasiasa Wabunge Wafanyabiasha na Watu Mashuhuri ndio wahusishwe? Na kwanini iwe SIRI?