Zack Abdul
JF-Expert Member
- Mar 9, 2026
- 315
- 308
Na Dr. Zack✍️.
Jana mida ya saa moja jioni kaka yangu mmoja Mwalimu,Chuo cha Ualimu Wilayani Rungwe alinipigia.Alikuwa anataka "opinioni-MAONI" yangu kutokana na "kituko" cha Chadema cha KUTEKWA kwa Msaidizi wa Ndugu Lissu.
Swali lake kubwa ilikuwa ni je,hiki TUKIO LA KUTEKWA LA BWANA YULE sio kisa cha kutengenezwa?SIKUTAKA KUMJIBU YES OR NO,Nilijaribu tu kumuambia,inawezekana VIPI "ASKARI" WOTE WATANO waondoke kwenye gari ambayo ndugu Jumbe(MTEKWAJI) alikuwemo na kupambana kupambana na BODABODA?
Kuna "principle-KANUNI" MOJA ya Ulinzi/VITA inaitwa "Concetration to the AIM",Askari wenye mafunzo hawawezi kufanya "UJINGA" AMBAO JUMBE "ANATUJAZA".
Kama ni kweli basi SIO JESHI WALA VYOMBO AMBAO walimteka Jumbe.INAWEZEKANA JUMBE ANA ISHU ZAKE ZA KITAA
Leo wakati nasoma COMMENT YA kaka yangu Mwandambo,nikacheka sana,swali lake ni lile lile👇🏽👇🏽
Inawezekana vipi TARGET ONE" -MKEKWAJI) AACHAWE KWENYE GARI,ILI KWENDA KUPAMBANA NA TARGET 2?(BODABODA)?😅😅😅
Chadema wanafeli sana.HAUWEZI KUMTOA TUNDU LISSU GEREZANI KWA DRAMA ....
.
