Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), Deodatus Balile akizungumza Novemba 5, 2025 katika Mjadala wa Nafasi ya Vyombo vya habari katika uchaguzi wa Tanzania na DW ameelezea kuhusu...
1 Reactions
29 Replies
1K Views
Sisi wazalendo wa kweli tulimkubali John Joseph Pombe Magufuli mapema sana na tulimtetea kadri inavyowezekana dhidi ya kundi la wahuni.Yoyote anayejidai kumpenda Magufuli sasa ni mnafiki...
3 Reactions
0 Replies
77 Views
The issue centers around a proposed U.S. Senate bill called the "Reassessing the United States–Tanzania Bilateral Relationship Act", introduced by U.S. Senators Jeanne Shaheen and Ted Cruz in May...
3 Reactions
10 Replies
399 Views
Wanabodi, Hili ni makala yangu kwenye gazeti la Mwananchi la leo, nikitoa pongezi kwa Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Tanzania, TEF, Deodatus Balile, kwa uzalendo wake kuhusu kile kilichotokea...
4 Reactions
12 Replies
283 Views
Naomba comments fupi fupi kama unayo ama huna, bila hasira chuki na mihemko najua wengine hamjapata hata chai. Hizo ni takwimu za mwaka huu.
1 Reactions
4 Replies
75 Views
Kiukweli PM unafanya kazi nzuri sana za kutatua kero za wananchi.. Ukitangaza tu ziara sehemu yoyote kiukweli watendaji wa serikali wanawajibika kwa wananchi 100%..juzi ulitangaza kwenda mkoa X...
1 Reactions
25 Replies
328 Views
Huenda hawakujua kwamba wanajiandalia mateso makali na mahangaiko yasiyo na faida wanayopitia hivi sasa kisiasa. Halafu mbaya zaidi, nonsense ya No reform No elections ndio inawaathiri na...
1 Reactions
22 Replies
260 Views
Hatuna wasi kuhusu Saba Saba. Lakini October 29 pia hatukuwa na wasiwasi, lakini ikatokea balaa iliyotokea. Mpaka sasa watu wanaongea tu inaonekana hawajaamua wafanye nini Saba Saba. Tunasubiri...
1 Reactions
2 Replies
112 Views
Daa maisha yanabadilika sana ila Nimecheka sana hapo anaposema Waliofahamiana Wakiwa Watumishi wameblock namba zake isipokuwa RC mmja tuu 😁😁😁😁. Maisha ya Watanzania ndio yalivyo yanazungukwa na...
41 Reactions
180 Replies
13K Views
Hizi mambo zichunguzwe aiseeeeee Huu ujumbe naona una circulate kwenye makundi kadhaa huko whatsap nadhan huyu ndo britanicca wa hapa au wapo tofauti ?
26 Reactions
95 Replies
3K Views
RPC wa mkoa wa Pwani, ACP Salim Morcase amezuia shughuli za Chadema za uzinduzi wa vizimba iliyokuwa ifanywe na Katibu Mkuu John Mnyika asubuhi ya leo Jumamosi, Juni 13, 2026. RPC huyo...
4 Reactions
20 Replies
366 Views
Swali dogo, kama ambavyo tunaona CCM imeshaingia mikonon mwa mtu mmoja, Chama kikuu Cha upinzani kina Kina ubavu wa kumwondoa mwenyekiti wake madarakani kama ANC ya Afrika Kusini ilichomfanyia...
2 Reactions
20 Replies
2K Views
Naanza na ushauri Kwa msajili wa vyama USITHUBUTU KUIFUTA CHADEMA, WAACHE WACHOKE WENYEWE KAMA ILIVYOKUWA NCCR NA CUF Sisi ni nchi ya utawala wa kidemokrasia Kwa makosa yanayoshabihiana na ugaid...
13 Reactions
82 Replies
9K Views
Mpumbavu hawez kujiona kamwe namaanisha nini Katika kikao cha Umoja wa mataifa huru ya Africa ukianza mjadala wa kuhusu viongozi wa Africa kuacha udictator utayasikia kabisa mawazo mazuri ya watu...
5 Reactions
37 Replies
4K Views
Habari za usiku , wengine habari za asubuhi na wengine habari za mchana, Nasema hivo kwasababu wasomaji wa nyuzi hapa Jf wako sehem mbali mbali Nina uhakika tunao wamarekani, wa Sweden cc Wilbroad...
12 Reactions
71 Replies
7K Views
Mheshimiwa magufuli mtetezi wa wanyonge tunatambua kiu ulokuwa nayo ya kuwatumikia watanzania na kuwatoa misiri kuwapeleka kanaani lakin kwa maoni ya watanzania inaonekana kama vile kanaani...
17 Reactions
82 Replies
10K Views
Hivi chama tawala cha siasa kinaweza kufata amri ya chombo cha usalama( Polisi, Jeshi au Magereza) au chombo cha usamala i.e Polisi, Jeshi, Magereza ndo kinafata amri ya chama tawala cha...
3 Reactions
26 Replies
3K Views
Salaam Wakuu, Kwa roho iliyooneshwa 29 Oct 2025 na Samia Suluhu Hassan, Mwenyeji wa huko Zanzibar ambaye anapenda kutembelea maeneo ya Tunguu.. Hakika damu ya Watanzania ipo mikononi mwake. Bado...
3 Reactions
7 Replies
349 Views
  • Redirect
Saa kumi na mbili kasoro, Wasira yupo kwa mangura, Rais mwinyi yupo anamzika msanii onyango. Kenani kihongosi anatangazia UMMA yakuwa vyanzo vya TAARIFA vya kuaminika vinasema CHADEMA inapanga...
1 Reactions
Replies
Views
Huyu si alikuwa mtetezi wa haki za binadamu! Jela imemnyioosha. Kumbe likuwa ni minyama tu, kichwani ni funza! Labda ni AI😳😳😳
5 Reactions
18 Replies
620 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…