britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 15,636
- 30,004
Mpumbavu hawez kujiona kamwe namaanisha nini
Katika kikao cha Umoja wa mataifa huru ya Africa ukianza mjadala wa kuhusu viongozi wa Africa kuacha udictator utayasikia kabisa mawazo mazuri ya watu kuacha udictator yakitoka Kwa
Mugabe, Kagame, Kabila, mpaka mseven,
Kwani nadanganya? Hukumbuki mseven akimsifu Trump Kwa msimamo wake juu ya viongozi wa Africa wanaokaa madarakani Sana??
Hivo hivo ukianza mjadala wa wezi wa rasili mali za umma ,utayapokea mawazo mazuri kutoka Kwa kina E Lowassa, Kina Yona, Mramba ,Mzee lodilofa na Hata Rugemalila wa Escrow,
Linapokuja suala la kujadili demokrasia katika vyama na taasisi mbali mbali Hata nchi,
Utasikia Mbowe anachangia na kuuponda utawala wa Magufuli kwamba ni wa Kiimla, lakin anasahau kwamba yeye ndo amekalia kimabavu Chama cha demokrasia na maendeleo, kuna watoto wamezaliwa wamekuta mbowe ni mwenyekiti mpaka sasa wamemaliza form four kabisa,
Ukianzishwa mjadala wa kukataza vyama vya siasa visivyo na maadili na vinavyokiuka misingi ya ubinadamu , utasikia Chadema wanatoa kauli nzuri na kuiponda CCM lakin wanasahau kwamba Mawazo hatunaye, Wao ndo wanahubiri kumwaga Damu na mengine memgi, wao ndo wanaosema lazima Damu imwagike, lazima afe mtu,
Wanasahau kwamba hawana uwezo huo Bali ni mawazo finyu yafichao upumbavu wa mtu na kuona wa wengine
Katika kikao cha Umoja wa mataifa huru ya Africa ukianza mjadala wa kuhusu viongozi wa Africa kuacha udictator utayasikia kabisa mawazo mazuri ya watu kuacha udictator yakitoka Kwa
Mugabe, Kagame, Kabila, mpaka mseven,
Kwani nadanganya? Hukumbuki mseven akimsifu Trump Kwa msimamo wake juu ya viongozi wa Africa wanaokaa madarakani Sana??
Hivo hivo ukianza mjadala wa wezi wa rasili mali za umma ,utayapokea mawazo mazuri kutoka Kwa kina E Lowassa, Kina Yona, Mramba ,Mzee lodilofa na Hata Rugemalila wa Escrow,
Linapokuja suala la kujadili demokrasia katika vyama na taasisi mbali mbali Hata nchi,
Utasikia Mbowe anachangia na kuuponda utawala wa Magufuli kwamba ni wa Kiimla, lakin anasahau kwamba yeye ndo amekalia kimabavu Chama cha demokrasia na maendeleo, kuna watoto wamezaliwa wamekuta mbowe ni mwenyekiti mpaka sasa wamemaliza form four kabisa,
Ukianzishwa mjadala wa kukataza vyama vya siasa visivyo na maadili na vinavyokiuka misingi ya ubinadamu , utasikia Chadema wanatoa kauli nzuri na kuiponda CCM lakin wanasahau kwamba Mawazo hatunaye, Wao ndo wanahubiri kumwaga Damu na mengine memgi, wao ndo wanaosema lazima Damu imwagike, lazima afe mtu,
Wanasahau kwamba hawana uwezo huo Bali ni mawazo finyu yafichao upumbavu wa mtu na kuona wa wengine