Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Mtake msitake iko siku isiyo na jina ubalozi wa watu niliowataja hapo juu utafutwa tu. Dr. slaa alipewa kama zawadi ya kumfunga mdomo na kumtoa machoni mwa Watanzania, moja ya dhambi anayotakiwa...
9 Reactions
24 Replies
4K Views
Tangia mme WA TULIA Acksobi kuteuliwa kuwa mkurugenzi WA EWURA sakata la mafuta limekuwa Shida.Je kwanini Bunge lismuazimie nlmkurugenzi husika kuondolewa Kwenye nafasi huska
0 Reactions
2 Replies
526 Views
Kuna kikundi cha Watu Wachache, Wengine wanajiita wana harakati na Wengine wanajiita Wanasiasa wa Vyama vya upinzani, Kikundi hiki kimejipa jukumu la kukosoa na kupinga chochote kinachofanywa na...
2 Reactions
45 Replies
3K Views
Karibu mdau tujadili nafasi ya serikali katika kuwezesha vijana kujiajiri.
0 Reactions
2 Replies
856 Views
Waziri Nape amekiri aliposikia mkeka wa mabadiliko ya Mawaziri umetoka ilibidi aongeze AC kwa hofu aliyokuwa nayo. The same minister wakati wa Magufuli alimtafuta hadi Mama Maria Nyerere amwombee...
3 Reactions
19 Replies
1K Views
Mkoa wa Mbeya kuna viongozi waliopita hawataweza kufutika kwenye vichwa vya watu. Huwezi ukataja viongozi waliacha alama Mbeya ukamsahau Prof. Mark Mwandosya! Sijui amewatendea nini wana Mbeya...
3 Reactions
43 Replies
2K Views
Najikumbusha tu Watu waliowahi kuukataa Ubalozi na Waliowahi kuukataa Ubunge Zitto Kabwe alikataa Ubalozi wa Ujerumani alioahidiwa na Waziri Membe Pius Ngw'andu alikataa Ubalozi wa Japan...
1 Reactions
4 Replies
857 Views
Watawala wanazunguka sana, wanahangaika sana. Kwa muda mrefu Katiba yetu imekua ikitoa kinga kwa rais aliyemaliza muda wake kuja kushitakiwa kwa makosa aliyoyafanya alipokua madarakani. Kinga...
2 Reactions
6 Replies
569 Views
Kwa wachache tuliobarikiwa kuielewa vizuri nchi hii na jamii yake pamoja na siasa zake tunaposimamia jambo kwa maslahi ya taifa naomba tuheshimiwe na tueleweke vizuri. Kwa miezi 2 sasa kuna...
17 Reactions
228 Replies
10K Views
Haya kama mnaweza njooni muutengue na huu Ubalozi wa Kutukuka aliopewa na Rais wa Jamhuri ya wana JamiiForums wote duniani GENTAMYCINE. Kumpiga Teke Chura ni Kumuongezea mwendo hivyo mmemjenga...
16 Reactions
22 Replies
2K Views
Sijui Kiswahili chake fasaha kama ni haiba au hulka, au silka, n.k, ila waliotuletea vitabu wanaiita TEMPERAMENT. Kuna faida kujifahamu na kuwafahamu wengine. Kutakusaidia kuweza kushirikiana na...
0 Reactions
0 Replies
981 Views
Je, wapinzani wajiandae kisaikoloji? Je, CCM imeanza kugawanyika kuanzia viongozi wake hadi wanachama wake?
1 Reactions
13 Replies
1K Views
Fuatilia live yanayojiri kwenye Mkutano huo. https://www.youtube.com/live/y0U2V-2Uv4I?si=Zit9QTAINPq-6D-w
5 Reactions
15 Replies
3K Views
Moto wa petroli una tabia kuu moja, unapoumwagia maji ili kuuzima unaibukia pembeni tena kwa nguvu zaidi ya ule wa mwanzo tena una tabia ya kulipuka. Deusdedith Soka kijana aliyeandamana kupinga...
25 Reactions
28 Replies
2K Views
Nikiwa mdau wa biashara inayotumia dola kwa malipo mbalimbali, nimekuwa mhanga wa upotevu wa dollar. Leo imenibidi nieleze niliyoyaona. Unaweza fika bureau change, na Kuna watu wengi...
4 Reactions
9 Replies
949 Views
Hii ndio Taarifa mpya ya leo kutoka kanda ya ziwa ambako oparesheni 255 inatimua vumbi. Muda wa lugha laini kwenye kudai Katiba mpya umekwisha, sasa lugha kali za kikakamavu zimeanza kutumika...
3 Reactions
8 Replies
1K Views
Haya kelele za Watanzania wengi zimesikilizwa, Wenye sifa waombe kazi hiyo, tupunguze lawama.
20 Reactions
288 Replies
25K Views
"The best is yet to come"(Obama ,2012) ni maneno yaliyotolewa na Rais Obama katika hotuba yake siku aliyotangazwa mshindi kuongoza Taifa hilo kubwa kabisa duniani kijeshi na kiuchumi kwa kipindi...
0 Reactions
0 Replies
936 Views
Huyu jamaa Tundu Antipas Lissu ukiweka uvyama pembeni ni Mtu Makini sana. Pamoja na Changamoto zote alizopitia ndio amezidi kuwa mwiba kwa wezi na Mafisadi. Hakika Jasiri ni Jasiri na kamwe...
28 Reactions
44 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…