johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,009
- 142,041
Huyu jamaa Tundu Antipas Lissu ukiweka uvyama pembeni ni Mtu Makini sana.
Pamoja na Changamoto zote alizopitia ndio amezidi kuwa mwiba kwa wezi na Mafisadi.
Hakika Jasiri ni Jasiri na kamwe haachi Asili.
Jumaa Mubarak 😀🌟