Mjadala: Je, serikali inaweza kuwasaidia vipi vijana kujiajiri?

Newbies

JF-Expert Member
Jul 13, 2018
1,477
2,148
Karibu mdau tujadili nafasi ya serikali katika kuwezesha vijana kujiajiri.
 
Ungepata access ya baadhi ya viongozi serikalini ambao husema vijana tujiajiri,wakupe majibu stahki,japo wao hushtuka pale kunapofanyika mabadiliko ya viongozi serikalini,kwa hofu ya kupoteza nyadhifa zao.
Rejea kauli ya Nchemba.
 
Back
Top Bottom