Kuna baadhi ya Nchi tunaweka nazo urafiki ila hazina maana Wala Msaada Kwa Tanzania.
Nchi kama Russia/Urusi kuwa nayo urafiki ni hasara kuliko faida..
Marekani Imewekeza Takribani Tilioni 11...
Sijui ilianza sukari, uhakiki, kodi za hovyo, makinikia, mbaazi, korosho, ndege vyote hivyo Rais wetu anashindwa vibaya sana na hii ni kutokana na one man show.
Ngoja niwapeni kuhusu mbaazi...
Katika mjadala rika uliokutanisha wadau mbalimbali wa siasa, Mzee Cheyo akichangia amewaasa vijana kuhakikisha wanapigania sheria nzuri za uchaguzi kwani sasa tumepewa tafsiri mbovu ya uongozi...
Mbunge Dkt. Paulina Nahato Awafunda Wasomi wa Vyuo na Vyuo Vikuu, Dar es Salaam
Mbunge wa Viti Maalum aalum Anayewakilisha Makundi ya Wasomi nchini wa Vyuo na Vyuo Vikuu, Mhe. Dkt. Paulina...
Salaam ,Shalom!!
Kwa Mfano hapa Dar Es Salaam na maeneo mengine penye uhaba wa maji na shida ya kupatikana maji,
Ni HAKI Kweli mbunge wa kuchaguliwa na wananchi kutuuzia wananchi maji kupitia...
Bagamoyo ni Bagamoyo tu na siyo Sehemu nyingine yoyote.
Wazee wa Bagamoyo waliwahi kumzuia Magufuli kupitisha barabara kuu inayoelekea Tanga kutokea Dar isipite mjini kwa sababu barabara hiyo...
Zitto Kabwe kwanini anakwepa kuchambua uzembe, ubadhirifu na upigaji mkubwa uliofanywa kwenye Wizara ya Nishati, Wizara ya Mawasiliano, Wizara ya Ujenzi, Wizara ya Maji.
Ripoti ya CAG imeibua...
Waziri wa Kilimo mh Bashe amesema kwa msimu wa 2022/23 uzalishaji wa mahindi ulikuwa Tani million 8.1 na mahitaji ya ndani hayazidi Tani million 6
Business partners wetu kwa mahindi ni Kenya...
Umofia kwenu wakuu.
Juzi kati kuna uhamisho mkubwa sana umefanyika kwa hasa wakuu wa wilaya, wakurugenzi wa halimashauri na pia kwa wakuu wa Mikoa.
Kama mjuavyo report ya CAG iko ukingoni na...
Huwa najiuliza sana kuhusu nini hasa kimesababisha neno Mapinduzi kutamalaki bara na visiwani.Historia ya bara hakuna tukio lolote la kisiasa lililohusisha Mapinduzi tangu wakati wa TAA,TANU na...
Waziri wa TAMISEMI huyu mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru akishirikiana na personal secretary(PS) wake wanawanyanyasa sana watumishi hasa walimu.
Huyu PS anaficha barua ya mtumishi...
Thomas Nkola maarufu kama Mkulima afungua kesi 5 ambazo zimesikilizwa jana tar 29/5/2023 katika mahakam ya hakimu Mkazi Kisutu, dhidi ya viongozi mbalimbali ikiwemo Mwigulu, Mkurugenzi PCCB...
Kipenga cha UCHAGUZI MKUU kitakuwa kimepulizwa kimya kimya dalili za kuchukuliana FOMU tumeziona.
TAHADHALI kwa VIJANA wataka UBUNGE
Kuna aina 2 za wataka Ubunge ambao watawatesa Vijana Wasomi...
Na Mwl Udadis, Nyamagana
Kitendo cha serikali chini ya uongozi wa Rais Samia kutenga kiasi cha zaidi ya bilioni 11 kwa ajili ya kuboresha mazingira ya wavuvi moja kwa moja ni kitu cha kihistoria...
Wakuu kwema?
Ndio nimeingia sasa kutoka safari mikoa ya Kaskazini mwa Tanzania.
Nilivyofika pale mto Wami imebidi nishuke kwenye gari na kupiga magoti chini kumshukuru Mungu kwa maisha ya Rais...
Mnatuaminisha kuwa anaupiga mwingi, anakubalika sana na ameleta maendeleo na hali bora ya maisha.
Lakini mbona wakubwa wenu wanatumia nguvu kubwa kuwashawishi wananchi kwa makongamano, makicheni...
Mti wenye Matunda ndio hutupiwa mawe
Walioalikwa ni wengi lakini wateule wachache
Wewe ndiwe Petro na Juu ya Mwamba huu nitalijenga Kanisa langu
Ramadan Kareem 😄🔥
Tatizo kubwa makamanda wenzangu huwa wanawaza pesa tu.
Mahesabu sasa ni kurudi mjengoni. Kisa tu ukiwa mbunge kuna pesa lukuki za bure.
Badala ya kuwekeza kwa kuanza kujenga imani kwa wanannchi...
Nabii wa Mungu , ambaye pia ndio mbunge ajaye wa Arusha Mjini , Godbless Lema atakuwepo Clouds FM kwenye kile kipindi chao kinachoitwa Power Breakfast .
Nabii Lema ambaye hakuna unabii wake ambao...
Mamlaka ya udhibiti wa usafiri ardhini(LATRA), imefanya mabadiliko ya nauli kwa mabasi na daradara siku chache zilizopita, huku ikiwa ni miezi kazaa tangu wafanye hivyo, kitendo kinacho onesha ni...