Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Katibu Mkuu,Ofisi ya Waziri Mkuu(Kazi,Vijana,Ajira na Wenye ulemavu,Mhandisi Cyprian Luhemeja,amesema gharama za fidia zimeongezeka kutoka Sh13.19 bilioni kwa kipindi kilichoishia Juni 2021 hadi...
0 Reactions
0 Replies
570 Views
Napendekeza TAMISEMI wangeanzisha mfumo wa kubadilishana vituo vya kazi yaan kuwe na mfumo ambao unawatambua watumish wote na vituo vyao vya kazi kwa kila idara halafu watumushi waweze kuutumia...
2 Reactions
11 Replies
3K Views
Serikali siku zote imekuwa ikiwambia wananchi maneno matamu kuhusu treni ya umeme lakini hadi sasa utekelezaji wake umekuwa haueleweki, serikali imesubiri wananchi wapige kelele na msigwa aje...
3 Reactions
13 Replies
2K Views
Kinacho endelea Loliondo sina hakika kama kabila la Wamasai wanapewa heshima yao Loliondo ni ardhu ya babu zao ni malalo ya babu zao katika kuondolewa kwao nilitegemea itumike diplomasia zaidi na...
1 Reactions
1 Replies
411 Views
Nina mwamini sana Warioba na nilidhani angefikiria kuhamia Chadema , lakini kupanga mipango ya kuhamia ACT naona atakua anapoteza muda. Siwaelewi chadame lakini kwa significance ya kuhamia...
2 Reactions
31 Replies
4K Views
Huu mtiti wa Wamasai ndio sababu kubwa ya kuzuia Tundu Lissu kuingia tarafa ya Ngorongoro Hii ni Kata ya Enduleni kabla ya kuelekea Ngorongoro . Kilichofuata ni kukusanywa kwa haya majani ya...
22 Reactions
31 Replies
4K Views
Makamu Mwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu , ambaye yuko Ngorongoro kwa ziara ya kikazi , na ambaye amezuiliwa kuendelea na ziara hiyo kinyume cha sheria za nchi , kwa lengo la kuwalinda Waarabu ili...
15 Reactions
57 Replies
7K Views
Mheshimu sana kiongozi anayeongea bila kusoma mahali... Baba wa Taifa alikuwa na maono ya Mbali sana. Nafikiri tutazidi kujifunza kutoka kwake for years. Utafakiri alikuwa analijua hili la DPW...
1 Reactions
6 Replies
500 Views
Nikifuatilia jinsi watanzania wanavyozidi kuichukia ccm basi naamini kuwa ipo siku ccm itashindwa jinsi ya kuiba kura. Ilianza kule Mtwara juzi juzi wananchi wakarudisha kadi zao za ccm na...
8 Reactions
47 Replies
2K Views
It’s 2023 , we have not progress kabisa In infrastructures . Leo kutoka Dodoma Dar ni shida. No buses no nothing . Yani natumia 12 hrs kwa bus . Kweli ? When. Will people work . Serikali hii vipi...
6 Reactions
35 Replies
2K Views
Askari ni Watu, ni binadamu, Wana Watoto na familia Lissu: Mkitaka tuueni hapahapa si mna bunduki, lakini Sisi Hatuendi popote Afande: Njoo tuzungumze hakuna kitakachoharibika sisi sote ni Ndugu...
15 Reactions
22 Replies
2K Views
Mhe. Mpina binafsi nakuvulia kofia kwa hoja zenye mashiko unazozitoa pale Bungeni. Jana wakati wa kupitisha Sheria ya manunuzi Mhe. Mpina alikuwa kinara wa kuishauri Serikali katika vipengele...
13 Reactions
47 Replies
6K Views
Wamemueleza kuwa: 1. Serikali huwa inasogeza mipaka kimyakimya kinyume cha sheria ili kupanua eneo la hifadhi na kuwaminya 2. Serikali huwa inachoma maboma yao ili kuwafrustrate waondoke 3. Na...
4 Reactions
12 Replies
2K Views
Bashe na mama Samia wanafanya kweli, bila longolongo: Dar es Salaam. Serikali imetia saini makubaliano yenye thamani ya dola milioni 400 (kama Sh1 trilioni) yenye thamani ya Benki ya Dunia (WB)...
14 Reactions
124 Replies
7K Views
WAZIRI wa Nishati, January Makamba ameeleza kuwa Ujenzi wa bwawa la kuzalisha umeme la Julius Nyerere (JNHPP) umefikia asimilia 90 huku shughuli ya kufunga mitambo ya kufua umeme pamoja na nyumba...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Summary Danadana zimeendelea kutawala juu ya kukamilika kwa ujenzi wa reli ya kisasa (SGR) kipande cha Dar – Morogoro, baada ya kuahirishwa mara kadhaa kwa majaribio yaliyopangwa kufanyika mwaka...
10 Reactions
62 Replies
8K Views
Na hapa nazungumzia Power endelevu miaka nenda rudi, na angalau idadi iwe inaridhisha sio mtu anakuwa moja tu akiondoka panakuwa kimya. Mara nyingi utaisikia kanda ya pwani, kanda ya ziwa na...
1 Reactions
21 Replies
2K Views
Pita yote usiachie nusu tafadhali 100. Kutoa motisha kwa vijana kwa kila namna inayowezekana kupenda mambo ya msingi. Hii itawezesha kuwafanya wapende kujihusisha na ubunifu, uzalendo...
6 Reactions
23 Replies
1K Views
Usiku mzima wa leo nimeendesha gari kutoka mpaka wa Namanga hapo Kati ya Tanzania na Kenya Kwa shughuli binafsi. Mpaka sasa ninavyoandika nipo mkoani Mwanza, nimefanikiwa kupitia vituo vyote vya...
9 Reactions
14 Replies
2K Views
Nimekumbushia kauli hii tukielekea kwenye maadhimisho. Ni kauli inayoweza kutolewa na mtu ambaye haamini taasisi, aliamini yeye ni zaidi ya taasisi na zaidi ya Kila mtu, Mungu alivyo fundi...
26 Reactions
124 Replies
6K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…