Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Kuna baadhi ya Nchi tunaweka nazo urafiki ila hazina maana Wala Msaada Kwa Tanzania. Nchi kama Russia/Urusi kuwa nayo urafiki ni hasara kuliko faida.. Marekani Imewekeza Takribani Tilioni 11...
31 Reactions
529 Replies
25K Views
Sijui ilianza sukari, uhakiki, kodi za hovyo, makinikia, mbaazi, korosho, ndege vyote hivyo Rais wetu anashindwa vibaya sana na hii ni kutokana na one man show. Ngoja niwapeni kuhusu mbaazi...
22 Reactions
98 Replies
10K Views
Katika mjadala rika uliokutanisha wadau mbalimbali wa siasa, Mzee Cheyo akichangia amewaasa vijana kuhakikisha wanapigania sheria nzuri za uchaguzi kwani sasa tumepewa tafsiri mbovu ya uongozi...
1 Reactions
16 Replies
1K Views
Mbunge Dkt. Paulina Nahato Awafunda Wasomi wa Vyuo na Vyuo Vikuu, Dar es Salaam Mbunge wa Viti Maalum aalum Anayewakilisha Makundi ya Wasomi nchini wa Vyuo na Vyuo Vikuu, Mhe. Dkt. Paulina...
0 Reactions
0 Replies
670 Views
Salaam ,Shalom!! Kwa Mfano hapa Dar Es Salaam na maeneo mengine penye uhaba wa maji na shida ya kupatikana maji, Ni HAKI Kweli mbunge wa kuchaguliwa na wananchi kutuuzia wananchi maji kupitia...
1 Reactions
8 Replies
644 Views
Bagamoyo ni Bagamoyo tu na siyo Sehemu nyingine yoyote. Wazee wa Bagamoyo waliwahi kumzuia Magufuli kupitisha barabara kuu inayoelekea Tanga kutokea Dar isipite mjini kwa sababu barabara hiyo...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Zitto Kabwe kwanini anakwepa kuchambua uzembe, ubadhirifu na upigaji mkubwa uliofanywa kwenye Wizara ya Nishati, Wizara ya Mawasiliano, Wizara ya Ujenzi, Wizara ya Maji. Ripoti ya CAG imeibua...
8 Reactions
38 Replies
2K Views
Waziri wa Kilimo mh Bashe amesema kwa msimu wa 2022/23 uzalishaji wa mahindi ulikuwa Tani million 8.1 na mahitaji ya ndani hayazidi Tani million 6 Business partners wetu kwa mahindi ni Kenya...
1 Reactions
10 Replies
933 Views
Umofia kwenu wakuu. Juzi kati kuna uhamisho mkubwa sana umefanyika kwa hasa wakuu wa wilaya, wakurugenzi wa halimashauri na pia kwa wakuu wa Mikoa. Kama mjuavyo report ya CAG iko ukingoni na...
2 Reactions
7 Replies
765 Views
Huwa najiuliza sana kuhusu nini hasa kimesababisha neno Mapinduzi kutamalaki bara na visiwani.Historia ya bara hakuna tukio lolote la kisiasa lililohusisha Mapinduzi tangu wakati wa TAA,TANU na...
4 Reactions
16 Replies
914 Views
Waziri wa TAMISEMI huyu mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru akishirikiana na personal secretary(PS) wake wanawanyanyasa sana watumishi hasa walimu. Huyu PS anaficha barua ya mtumishi...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Thomas Nkola maarufu kama Mkulima afungua kesi 5 ambazo zimesikilizwa jana tar 29/5/2023 katika mahakam ya hakimu Mkazi Kisutu, dhidi ya viongozi mbalimbali ikiwemo Mwigulu, Mkurugenzi PCCB...
5 Reactions
18 Replies
3K Views
Kipenga cha UCHAGUZI MKUU kitakuwa kimepulizwa kimya kimya dalili za kuchukuliana FOMU tumeziona. TAHADHALI kwa VIJANA wataka UBUNGE Kuna aina 2 za wataka Ubunge ambao watawatesa Vijana Wasomi...
2 Reactions
1 Replies
534 Views
Na Mwl Udadis, Nyamagana Kitendo cha serikali chini ya uongozi wa Rais Samia kutenga kiasi cha zaidi ya bilioni 11 kwa ajili ya kuboresha mazingira ya wavuvi moja kwa moja ni kitu cha kihistoria...
0 Reactions
0 Replies
491 Views
Wakuu kwema? Ndio nimeingia sasa kutoka safari mikoa ya Kaskazini mwa Tanzania. Nilivyofika pale mto Wami imebidi nishuke kwenye gari na kupiga magoti chini kumshukuru Mungu kwa maisha ya Rais...
23 Reactions
51 Replies
3K Views
Mnatuaminisha kuwa anaupiga mwingi, anakubalika sana na ameleta maendeleo na hali bora ya maisha. Lakini mbona wakubwa wenu wanatumia nguvu kubwa kuwashawishi wananchi kwa makongamano, makicheni...
12 Reactions
22 Replies
2K Views
Mti wenye Matunda ndio hutupiwa mawe Walioalikwa ni wengi lakini wateule wachache Wewe ndiwe Petro na Juu ya Mwamba huu nitalijenga Kanisa langu Ramadan Kareem 😄🔥
5 Reactions
16 Replies
922 Views
Tatizo kubwa makamanda wenzangu huwa wanawaza pesa tu. Mahesabu sasa ni kurudi mjengoni. Kisa tu ukiwa mbunge kuna pesa lukuki za bure. Badala ya kuwekeza kwa kuanza kujenga imani kwa wanannchi...
0 Reactions
20 Replies
1K Views
Nabii wa Mungu , ambaye pia ndio mbunge ajaye wa Arusha Mjini , Godbless Lema atakuwepo Clouds FM kwenye kile kipindi chao kinachoitwa Power Breakfast . Nabii Lema ambaye hakuna unabii wake ambao...
3 Reactions
22 Replies
2K Views
Mamlaka ya udhibiti wa usafiri ardhini(LATRA), imefanya mabadiliko ya nauli kwa mabasi na daradara siku chache zilizopita, huku ikiwa ni miezi kazaa tangu wafanye hivyo, kitendo kinacho onesha ni...
32 Reactions
121 Replies
11K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…