Baada ya kuzuiliwa kuingia Ngorongoro Tundu Lissu kuhutubia Taifa na Dunia mchana huu

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,752
218,339
Makamu Mwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu , ambaye yuko Ngorongoro kwa ziara ya kikazi , na ambaye amezuiliwa kuendelea na ziara hiyo kinyume cha sheria za nchi , kwa lengo la kuwalinda Waarabu ili waendelee kutesa Wamasai , Mchana huu ATAHUTUBIA TAIFA NA DUNIA ILI KUELEZA KILA KITU KUHUSU MKASA HUO WA KISHENZI

Kuna tetesi kwamba DW na BBC watatoa live Mkutano huo .

Screenshot_2023-09-09-14-47-00-1.png



Taarifa iliyosambazwa na chama chake inaonyesha kwamba atazungumza na vyombo vya habari mchana huu saa 9:30 kwa saa za Tanzania .

Awali , pamoja na kuzuiliwa amefanikiwa kuhutubia Mkutano kwenye kata moja kwa njia ya simu .

Screenshot_2023-09-09-14-29-53-1.png

Usiondoke JF kwa Taarifa zaidi
 
Makamu Mwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu , ambaye yuko Ngorongoro kwa ziara ya kikazi , na ambaye amezuiliwa kuendelea na ziara hiyo kinyume cha sheria za nchi , kwa lengo la kuwalinda Waarabu ili waendelee kutesa Wamasai , Mchana huu ATAHUTUBIA TAIFA NA DUNIA ILI KUELEZA KILA KITU KUHUSU MKASA HUO WA KISHENZI

Kuna tetesi kwamba DW na BBC watatoa live Mkutano huo .

View attachment 2743970


Taarifa iliyosambazwa na chama chake inaonyesha kwamba atazungumza na vyombo vya habari mchana huu saa 9:30 kwa saa za Tanzania .

Awali , pamoja na kuzuiliwa amefanikiwa kuhutubia Mkutano kwenye kata moja kwa njia ya simu .

View attachment 2743968
Usiondoke JF kwa Taarifa zaidi
Huyu mtu ana mahaba mazito kwa Watanzania...

Sala zetu zote Mungu amlinde
 
Back
Top Bottom