Ipo siku CCM watakataliwa na kushindwa kuiba kura

Mmawia

JF-Expert Member
Aug 20, 2013
121,947
95,237
Nikifuatilia jinsi watanzania wanavyozidi kuichukia ccm basi naamini kuwa ipo siku ccm itashindwa jinsi ya kuiba kura.

Ilianza kule Mtwara juzi juzi wananchi wakarudisha kadi zao za ccm na kumtupia mwenyekiti wao hapo Mtwara.

Leo hii wamaasai wamerudisha rundo la kadi za ccm tena kwa amani .

CCM wajitafakali na wajue kuwa ipo siku pamoja na wizi wao wa kura siku inakuja watashindwa kuiba.

Wananchi tumewachoka hatuna imani na nyinyi.

 
IMG-20220616-WA0029.jpg

Fikiria watu kama huyu akikutana na kadi ya kijani kwenye mfuko wa shati lako si anakuchania nguo unaondoka kifua wazi
 
Nikifuatilia jinsi watanzania wanavyozidi kuichukia ccm basi naamini kuwa ipo siku ccm itashindwa jinsi ya kuiba kura.
Kwanza sio kweli kuwa CCM huwa inashinda kwa kuiba kura, CCM inashinda kwa kuchaguliwa kwa mazoea kwasababu there is no alternative, siku alternative ikipatikana, CCM inapumzishwa kwa amani ila sio uchaguzi wa 2025, it's a bit too little too late, labda uchaguzi wa 2030!. Uchaguzi mkuu wa mwaka 2030, ndio mwanzo wa mwisho wa CCM! Wajinga karibu wote watakuwa wamemalizika!
Ccm wajitafakali na wajue kuwa ipo siku pamoja na wizi wao wa kura siku inakuja watashindwa kuiba.

Wananchi tumewachoka hatuna imani na nyinyi.
Kama ni CCM kuchokwa ilichokwa siku nyingi!, tatizo ni hakuna chama kingine chochote, hivyo tunaendelea na CCM! CCM Imechokwa, CHADEMA Haijajipanga!

Hizi za kurudisha kadi ni hasira tuu za muda mfupi za hapa na pale, kufikia 2025, wote watakuwa roho kwetu!.
P
 
Kwanza sio kweli kuwa CCM huwa inashinda kwa kuiba kura, CCM inashinda kwa kuchaguliwa kwa mazoea kwasababu there is no alternative, siku alternative ikipatikana, CCM inapumzishwa kwa amani ila sio uchaguzi wa 2025, it's a bit too little too late, labda uchaguzi wa 2030!. Uchaguzi mkuu wa mwaka 2030, ndio mwanzo wa mwisho wa CCM! Wajinga karibu wote watakuwa wamemalizika!

Kama ni CCM kuchokwa ilichokwa siku nyingi!, tatizo ni hakuna chama kingine chochote, hivyo tunaendelea na CCM! CCM Imechokwa, CHADEMA Haijajipanga!

Hizi za kurudisha kadi ni hasira tuu za muda mfupi za hapa na pale, kufikia 2025, wote watakuwa roho kwetu!.
P
Watu wengi wa umri wako mlikuwa katika misingi ya kijinga sana wakati wa Nyerere na ndio maana hata mlipinga kuanzishwa kwa mfumo wa vyama vingi hapa nchini.
 
Nikifuatilia jinsi watanzania wanavyozidi kuichukia ccm basi naamini kuwa ipo siku ccm itashindwa jinsi ya kuiba kura.

Ilianza kule Mtwara juzi juzi wananchi wakarudisha kadi zao za ccm na kumtupia mwenyekiti wao hapo Mtwara.

Leo hii wamaasai wamerudisha rundo la kadi za ccm tena kwa amani .

Ccm wajitafakali na wajue kuwa ipo siku pamoja na wizi wao wa kura siku inakuja watashindwa kuiba.

Wananchi tumewachoka hatuna imani na nyinyi.View attachment 2744289
Naunga mkono hoja ni suala la muda tu!!
 
Kwanza sio kweli kuwa CCM huwa inashinda kwa kuiba kura, CCM inashinda kwa kuchaguliwa kwa mazoea kwasababu there is no alternative, siku alternative ikipatikana, CCM inapumzishwa kwa amani ila sio uchaguzi wa 2025, it's a bit too little too late, labda uchaguzi wa 2030!. Uchaguzi mkuu wa mwaka 2030, ndio mwanzo wa mwisho wa CCM! Wajinga karibu wote watakuwa wamemalizika!

Kama ni CCM kuchokwa ilichokwa siku nyingi!, tatizo ni hakuna chama kingine chochote, hivyo tunaendelea na CCM! CCM Imechokwa, CHADEMA Haijajipanga!

Hizi za kurudisha kadi ni hasira tuu za muda mfupi za hapa na pale, kufikia 2025, wote watakuwa roho kwetu!.
P
Unategemea mfia CCM aandike tofaut na hili? Ukizingatia ndio kwanza anasaka teuzi!! Ni mwendo wa kujizima data mpaka kieleweke!!
 
Chama Cha mapinduzi si kibaya ila wabaya ni wanachama wake, wenye uroho wa madaraka na Mali za wananchi kutumia vibaya.

C.C.M imepata nguvu baadaya tamko la hayati Julius kambarage nyerere, kuwa hakuna chama kingine kuipokea nchi zaidi ya chama tawala TANU - CCM,
chama Cha mapinduzi hakika kidumu milele. Mabadiliko tutegemee 2025.
 
Kwanza sio kweli kuwa CCM huwa inashinda kwa kuiba kura, CCM inashinda kwa kuchaguliwa kwa mazoea kwasababu there is no alternative, siku alternative ikipatikana, CCM inapumzishwa kwa amani ila sio uchaguzi wa 2025, it's a bit too little too late, labda uchaguzi wa 2030!. Uchaguzi mkuu wa mwaka 2030, ndio mwanzo wa mwisho wa CCM! Wajinga karibu wote watakuwa wamemalizika!

Kama ni CCM kuchokwa ilichokwa siku nyingi!, tatizo ni hakuna chama kingine chochote, hivyo tunaendelea na CCM! CCM Imechokwa, CHADEMA Haijajipanga!

Hizi za kurudisha kadi ni hasira tuu za muda mfupi za hapa na pale, kufikia 2025, wote watakuwa roho kwetu!.
P
Nakubaliana na wewe kuwa siyo 2025 na hata 2030 inawezekana isitoke ila ipo siku itafika.

Inawezekana isiwe kizazi chetu lkn kwa jinsi wananchi wanavyozidi kushuhudia matendo ya viongozi wa ccm naamini kuna kitu kinawaingia
 
Nakubaliana na wewe kuwa siyo 2025 na hata 2030 inawezekana isitoke ila ipo siku itafika.

Inawezekana isiwe kizazi chetu lkn kwa jinsi wananchi wanavyozidi kushuhudia matendo ya viongozi wa ccm naamini kuna kitu kinawaingia
Baada ya 2026 CCCm itakuwa historia.
 
Back
Top Bottom