Katika hali ya kipekee leo Rais katika zuara yake Masasi Mkoani Mtwara amepokea kero mbalimbali lakini kero hii ya mahusiano amewataka viongozi wakae. Ni kweli zipo kero nyingi lakini kero...
NA HAJI NASSOR, PEMBA
MKURUGENZI wa Idara ya Katiba na Msaada wa Kisheria Zanzibar Hanifa Ramadhan Said, amesema msako mkali unakuja kuwabaini watu na taasisi, zinazofanyakazi za kutoa elimu...
Tambueni kwamba wananchi ndio wenye nchi, kwahiyo wanachokitaka ndio kinachopaswa kuwa kipaumbele, dharau, kiburi, jeuri havijawahi kuacha salama serikali yoyote ile.
Na wala hakuna serikali...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiweka shada la maua kwenye kaburi la aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tatu Hayati Benjamin William Mkapa, Kata ya Lupaso, Masasi Mkoani...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amesimama njiani kuzungumza na Wananchi wa Nanyumbu Mkoani Mtwara waliosimamisha msafara wake Barabarani kwa ajili ya kutaka...
Ili kuepuka kuwa na Rais ambae hakutokana na kuchaguliwa na wananchi ilipaswa kupewa nafasi yule aliye shika nafasi ya pili.
Alafu Rais Samia angetumika kuongoza nchi kwa kipindi kifupi hadi pale...
Ni matumaini yangu nyote mko salama.
Nimeona nilisemee hili maana limeenda!
Hivi kiongozi unatoa wapi ujasiri wa kukataa kuwasikiliza waliokuweka madarakani?
Hivi unavaaga viatu vya wale unaokataa...
Mitungi ya gesi 71,000 yenye thamani ya Sh3 bilioni inatarajiwa kusambazwa na kugawiwa bure katika mikoa 26 ya Tanzania Bara, lengo likiwa ni kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia...
Msemaji mkuu wa Serikal Gerson Msigwa amesema Wananchi wajenge tabia ya kupata huduma kwenye Vituo vya Afya badala ya kukimbilia kwa wataalam wa Tiba Asilia ambako wanapoteza muda mwingi na...
Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu amewataka wataalamu wa afya nchini kupunguza semina ili kuwa na muda zaidi wa kutoa huduma bora za matibabu kwa wananchi.
Waziri Ummy Mwalimu ameyasema hayo leo Julai...
MKUU wa Wilaya ya Hai, Lengai ole Sabaya, anachunguzwa na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), kutokana na malalamiko yaliyotolewa, kwamba analazimisha wafanyabiashara kumpa...
Kuna rafiki yangu mmoja tulipokuwa kwenye mazungumzo fulani ya kimaendeleo aliniambia kauli kuwa Siasa na Sheria na kitu kimoja kwa kuwa vyote vimejikita kwa kucheza na maneno tu.
wakati watanzania wakifurumushwa ngorongoro kwenye ardhi yao huku raisi wa tanzania akigawa mamilioni ya fedha za walipa kodi bure kwa timu za mpira badala ya kutumia fedha kutatua matatizo ya...
Ili tujiridhishe kama bado wananchi wana Imani na chaguzi za nchi hii, walioko mbarali watupie picha ya misururu ya wapiga kura kwenye vituo vya kupigia kura.
Hiyo pia itatupa picha ya hamasa ya...
Naona sasa ni muda muafaka Serkali itunge sheria kudhibiti Haya matumizi mabaya ya Ofisi maana...
Leo hii nimeona video moja ikimuonyesha Naibu waziri Mkuu Mh Dotto Bitteko akiwa kajimilikisha...
Kauli za ney wa mitego ni ngumu kuliko za sifa. Sifa boniventure anaonewa. Aachiwe haraka.
Hivi hiki kiwimbo Cha sifa kina maneno mazito Kama nyimbo ya amkeni ya ney? Kama sio why ney yupo nje...
Kama tulivyoahidi hapo awali, kwamba pamoja na kuwaletea taarifa za mikutano ya hadhara ya Chadema huko Kanda ya Nyasa, lakini yapo matukio Muhimu sana na Tuvituvitu fulani kwenye ziara hii ambato...
Tukionee huruma hiki chama cha harakati
Kwa sasa dawa ya kuwamaliza imepatikana
Uhuru walipewa wanadhihirisha mbele ya watanzania kuwa wao ni wahuni na watapuuzwa wakijiangamiza wenyewe.
Kati ya vitu sielewi ni kwanini hakuna utambulisho rasmi wa Tanganyika kwenye muungano wetu. Wakati Zanzibar bado iko vilevile Tanganyika ndo imekuwa Tanzania.
Kwanini Tanganyika haitambulishwi...
Hayo yamejiri baada baada ya mamlaka ya kusimamia nishati ya Zambia ERB kukutana na EWURA mamlaka ya Tanzania.
Bomba la TAZAMA lina urefu wa kilometa 1710 na lilikamilika ujenzi wake zaidi ya...