Viongozi Hawataki Kutusikiliza, Wanataka Tuwasikilize tu na Kufanyia Kazi Maagizo yao!

Burkinabe

JF-Expert Member
Feb 12, 2023
1,893
3,200
Ni matumaini yangu nyote mko salama.
Nimeona nilisemee hili maana limeenda!
Hivi kiongozi unatoa wapi ujasiri wa kukataa kuwasikiliza waliokuweka madarakani?
Hivi unavaaga viatu vya wale unaokataa kuwasikiliza?
Hebu fikiria umedhurumiwa na kiongozi fulani, unakwenda kushitaki kwa mamlaka ya juu, hiyo mamlaka inakwambia rudi kwa huyo huyo aliekudhurumu ili akupe haki yako! Hii si sawa kabisa.

Kwa ninavyofahamu, kiongozi wa juu kabisa mfano Rais, anawajibika kwa kazi zote za kuwaletea watu wake ustawi wao pamoja na ustawi wa nchi kwa ujumla. Hao wengine aliowateua au walioajiriwa na serikali yake, wanafanya kazi kwa niaba ya Rais.

Kwa mantiki hiyo, Rais ni Mwalimu, Daktari, Mwanasheria, Hakimu, Jaji, Mbunge, Diwani, Balozi, Mtendaji, Ustawi, n.k.

Hivyo, kwa mtu wa hali ya chini kuwa na ujasiri wa kutaka kusikilizwa na mtu wa hali ya juu, inamaanisha kwamba huku kwengine, kumeshashindikana.

Sasa cha ajabu, anatokea kiongozi anakuambia muda wa kukusikiliza ni mchache, nchi ni kubwa, na ina wananchi wengi sana!

Ama kweli, ngoja mambo yaendelee hivi hivi tuone, maana mwisho wa siku ni sisi hawa hawa ambao hatusikilizwi nao, huwa tunawachagua kuingia madarakani kwa kishindo!

Mwisho tutakapochoshwa na hayo, tutaongea lugha moja.
 
Ni matumaini yangu nyote mko salama.
Nimeona nilisemee hili maana limeenda!
Hivi kiongozi unatoa wapi ujasiri wa kukataa kuwasikiliza waliokuweka madarakani?
Hivi unavaaga viatu vya wale unaokataa kuwasikiliza?
Hebu fikiria umedhurumiwa na kiongozi fulani, unakwenda kushitaki kwa mamlaka ya juu, hiyo mamlaka inakwambia rudi kwa huyo huyo aliekudhurumu ili akupe haki yako! Hii si sawa kabisa.

Kwa ninavyofahamu, kiongozi wa juu kabisa mfano Rais, anawajibika kwa kazi zote za kuwaletea watu wake ustawi wao pamoja na ustawi wa nchi kwa ujumla. Hao wengine aliowateua au walioajiriwa na serikali yake, wanafanya kazi kwa niaba ya Rais.

Kwa mantiki hiyo, Rais ni Mwalimu, Daktari, Mwanasheria, Hakimu, Jaji, Mbunge, Diwani, Balozi, Mtendaji, Ustawi, n.k.

Hivyo, kwa mtu wa hali ya chini kuwa na ujasiri wa kutaka kusikilizwa na mtu wa hali ya juu, inamaanisha kwamba huku kwengine, kumeshashindikana.

Sasa cha ajabu, anatokea kiongozi anakuambia muda wa kukusikiliza ni mchache, nchi ni kubwa, na ina wananchi wengi sana!

Ama kweli, ngoja mambo yaendelee hivi hivi tuone, maana mwisho wa siku ni sisi hawa hawa ambao hatusikilizwi nao, huwa tunawachagua kuingia madarakani kwa kishindo!

Mwisho tutakapochoshwa na hayo, tutaongea lugha moja.
Ni kweli Kiongozi Mkuu anapoamua kumsikiliza mwananchi mmoja huko barabarani kuhusu matatizo yake na huku vyombo vyote vya habari vikionyesha tukio lile hiyo ni njia mujarab sana ya kuwafikishia ujumbe wateule wake popote pale walipo kwamba yeye anawajali hao wanyonge na kwamba ole wenu nyie ambao hamtaki kushughulika na matatizo yao !!
 
Ni matumaini yangu nyote mko salama.
Nimeona nilisemee hili maana limeenda!
Hivi kiongozi unatoa wapi ujasiri wa kukataa kuwasikiliza waliokuweka madarakani?
Hivi unavaaga viatu vya wale unaokataa kuwasikiliza?
Hebu fikiria umedhurumiwa na kiongozi fulani, unakwenda kushitaki kwa mamlaka ya juu, hiyo mamlaka inakwambia rudi kwa huyo huyo aliekudhurumu ili akupe haki yako! Hii si sawa kabisa.

Kwa ninavyofahamu, kiongozi wa juu kabisa mfano Rais, anawajibika kwa kazi zote za kuwaletea watu wake ustawi wao pamoja na ustawi wa nchi kwa ujumla. Hao wengine aliowateua au walioajiriwa na serikali yake, wanafanya kazi kwa niaba ya Rais.

Kwa mantiki hiyo, Rais ni Mwalimu, Daktari, Mwanasheria, Hakimu, Jaji, Mbunge, Diwani, Balozi, Mtendaji, Ustawi, n.k.

Hivyo, kwa mtu wa hali ya chini kuwa na ujasiri wa kutaka kusikilizwa na mtu wa hali ya juu, inamaanisha kwamba huku kwengine, kumeshashindikana.

Sasa cha ajabu, anatokea kiongozi anakuambia muda wa kukusikiliza ni mchache, nchi ni kubwa, na ina wananchi wengi sana!

Ama kweli, ngoja mambo yaendelee hivi hivi tuone, maana mwisho wa siku ni sisi hawa hawa ambao hatusikilizwi nao, huwa tunawachagua kuingia madarakani kwa kishindo!

Mwisho tutakapochoshwa na hayo, tutaongea lugha moja.
Kuna mtu mmoja ambaye ana viwango vya juu vya kutojitambua yeye amejigeuza dodoki wa kusifia upuuzi wa kiongozi mkuu. Sipepesi namtaja Lucas mwashambwa. Kijana mfano mbaya wa kuigwa

Unaweza kukuta mwananchi ana malalamiko dhidi ya syndicate ya Mbunge, DC, na RC halafu rais badala ya kusikilizq anapuuza na kumwambia mwananchi arudi huko huko walikompuuza eti awaeleze shida yake watampelekea rais.

Tukiwa na rais ambaye anapuuza wananchi wake, ni wazi haoni umuhimu wa kura kwa sababu anajua vyombo vya dola ndo kila kitu hata akikosa kura atasalia madarakani tu
 
Kuna mtu mmoja ambaye ana viwango vya juu vya kutojitambua yeye amejigeuza dodoki wa kusifia upuuzi wa kiongozi mkuu.

Unaweza kukuta mwananchi ana malalamiko dhidi ya syndicate ya Mbunge, DC, na RC halafu rais badala ya kusikilizq anapuuza na kumwambia mwananchi arudi huko huko walikompuuza eti awaeleze shida yake watampelekea rais.

Tukiwa na rais ambaye anapuuza wananchi wake, ni wazi haoni umuhimu wa kura kwa sababu anajua vyombo vya dola ndo kila kitu hata akikosa kura atasalia madarakani tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna mtu mmoja ambaye ana viwango vya juu vya kutojitambua yeye amejigeuza dodoki wa kusifia upuuzi wa kiongozi mkuu.

Unaweza kukuta mwananchi ana malalamiko dhidi ya syndicate ya Mbunge, DC, na RC halafu rais badala ya kusikilizq anapuuza na kumwambia mwananchi arudi huko huko walikompuuza eti awaeleze shida yake watampelekea rais.

Tukiwa na rais ambaye anapuuza wananchi wake, ni wazi haoni umuhimu wa kura kwa sababu anajua vyombo vya dola ndo kila kitu hata akikosa kura atasalia madarakani tu
Anatupuuza kwakuwa hakutuomba kura
 
Ni matumaini yangu nyote mko salama.
Nimeona nilisemee hili maana limeenda!
Hivi kiongozi unatoa wapi ujasiri wa kukataa kuwasikiliza waliokuweka madarakani?
Hivi unavaaga viatu vya wale unaokataa kuwasikiliza?
Hebu fikiria umedhurumiwa na kiongozi fulani, unakwenda kushitaki kwa mamlaka ya juu, hiyo mamlaka inakwambia rudi kwa huyo huyo aliekudhurumu ili akupe haki yako! Hii si sawa kabisa.

Kwa ninavyofahamu, kiongozi wa juu kabisa mfano Rais, anawajibika kwa kazi zote za kuwaletea watu wake ustawi wao pamoja na ustawi wa nchi kwa ujumla. Hao wengine aliowateua au walioajiriwa na serikali yake, wanafanya kazi kwa niaba ya Rais.

Kwa mantiki hiyo, Rais ni Mwalimu, Daktari, Mwanasheria, Hakimu, Jaji, Mbunge, Diwani, Balozi, Mtendaji, Ustawi, n.k.

Hivyo, kwa mtu wa hali ya chini kuwa na ujasiri wa kutaka kusikilizwa na mtu wa hali ya juu, inamaanisha kwamba huku kwengine, kumeshashindikana.

Sasa cha ajabu, anatokea kiongozi anakuambia muda wa kukusikiliza ni mchache, nchi ni kubwa, na ina wananchi wengi sana!

Ama kweli, ngoja mambo yaendelee hivi hivi tuone, maana mwisho wa siku ni sisi hawa hawa ambao hatusikilizwi nao, huwa tunawachagua kuingia madarakani kwa kishindo!

Mwisho tutakapochoshwa na hayo, tutaongea lugha moja.
Mwisho tutakapochoshwa na hayo, tutaongea lugha moja.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sidhani kama Sa100 ataendelea na utaratibu huo mpya aliouanzisha maana anazidi kujiweka mbali na wananchi ambao ni dhahiri wengi hawana imani naye.
Imani yangu ni kwamba atabadulika muda sio mrefu kuanza kualika maswali japo kiusanii.
Chawa watarudi hapa kwa kasi ya ajabu kuanza kunengua Mama ni msikivu🤣🤣🤣
 
Hao viongozi hawako madarakani kwa kuchaguliwa na wananchi, Sasa unataka wawasikilize vipi?

Ni matumaini yangu nyote mko salama.
Nimeona nilisemee hili maana limeenda!
Hivi kiongozi unatoa wapi ujasiri wa kukataa kuwasikiliza waliokuweka madarakani?
Hivi unavaaga viatu vya wale unaokataa kuwasikiliza?
Hebu fikiria umedhurumiwa na kiongozi fulani, unakwenda kushitaki kwa mamlaka ya juu, hiyo mamlaka inakwambia rudi kwa huyo huyo aliekudhurumu ili akupe haki yako! Hii si sawa kabisa.

Kwa ninavyofahamu, kiongozi wa juu kabisa mfano Rais, anawajibika kwa kazi zote za kuwaletea watu wake ustawi wao pamoja na ustawi wa nchi kwa ujumla. Hao wengine aliowateua au walioajiriwa na serikali yake, wanafanya kazi kwa niaba ya Rais.

Kwa mantiki hiyo, Rais ni Mwalimu, Daktari, Mwanasheria, Hakimu, Jaji, Mbunge, Diwani, Balozi, Mtendaji, Ustawi, n.k.

Hivyo, kwa mtu wa hali ya chini kuwa na ujasiri wa kutaka kusikilizwa na mtu wa hali ya juu, inamaanisha kwamba huku kwengine, kumeshashindikana.

Sasa cha ajabu, anatokea kiongozi anakuambia muda wa kukusikiliza ni mchache, nchi ni kubwa, na ina wananchi wengi sana!

Ama kweli, ngoja mambo yaendelee hivi hivi tuone, maana mwisho wa siku ni sisi hawa hawa ambao hatusikilizwi nao, huwa tunawachagua kuingia madarakani kwa kishindo!

Mwisho tutakapochoshwa na hayo, tutaongea lugha moja.
 
Hakuchaguliwa na wananchi hivyo Hana shida. Pia anajua kwa katiba hii na sheria batili za uchaguzi, hata msipomchagua atapindua matokeo.
 
Ni matumaini yangu nyote mko salama.
Nimeona nilisemee hili maana limeenda!
Hivi kiongozi unatoa wapi ujasiri wa kukataa kuwasikiliza waliokuweka madarakani?
Hivi unavaaga viatu vya wale unaokataa kuwasikiliza?
Hebu fikiria umedhurumiwa na kiongozi fulani, unakwenda kushitaki kwa mamlaka ya juu, hiyo mamlaka inakwambia rudi kwa huyo huyo aliekudhurumu ili akupe haki yako! Hii si sawa kabisa.

Kwa ninavyofahamu, kiongozi wa juu kabisa mfano Rais, anawajibika kwa kazi zote za kuwaletea watu wake ustawi wao pamoja na ustawi wa nchi kwa ujumla. Hao wengine aliowateua au walioajiriwa na serikali yake, wanafanya kazi kwa niaba ya Rais.

Kwa mantiki hiyo, Rais ni Mwalimu, Daktari, Mwanasheria, Hakimu, Jaji, Mbunge, Diwani, Balozi, Mtendaji, Ustawi, n.k.

Hivyo, kwa mtu wa hali ya chini kuwa na ujasiri wa kutaka kusikilizwa na mtu wa hali ya juu, inamaanisha kwamba huku kwengine, kumeshashindikana.

Sasa cha ajabu, anatokea kiongozi anakuambia muda wa kukusikiliza ni mchache, nchi ni kubwa, na ina wananchi wengi sana!

Ama kweli, ngoja mambo yaendelee hivi hivi tuone, maana mwisho wa siku ni sisi hawa hawa ambao hatusikilizwi nao, huwa tunawachagua kuingia madarakani kwa kishindo!

Mwisho tutakapochoshwa na hayo, tutaongea lugha moja.
Ni kweli unachoandika ni sahihi kabisa. Katika kanuni za sheria mtu hawezi kuwa hakimu katika kosa ambalo amelisababisha au anahusika. Ukweli huu hata hauhitaji kwenda shule ili uujue. Kwa hiyo mlalamikaji kurudishwa kwa watu waliokudhulumu wakakusikilize ni dalili ya ama kutokuwa kiongozi makini au kwa mwana siasa ni dalili ya kuonesha kuwa hategemei kushinda uongozi kwa mujibu wa kura halisi za wananchi. Lakini watu hao ndiyo wanataka sisi tufundishwe Katiba na pia wanataka tuamini kuwa kuna demokrasia ya Ki-Tanzania au ya Kiafrika peke yake, bila shaka na hesabu pia. Mimi siyo mwanasiasa, lakini nakataa ujinga na hata upumbavu kuitwa hekima na busara.
 
Kabisa Mkuu
Ni kweli unachoandika ni sahihi kabisa. Katika kanuni za sheria mtu hawezi kuwa hakimu katika kosa ambalo amelisababisha au anahusika. Ukweli huu hata hauhitaji kwenda shule ili uujue. Kwa hiyo mlalamikaji kurudishwa kwa watu waliokudhulumu wakakusikilize ni dalili ya ama kutokuwa kiongozi makini au kwa mwana siasa ni dalili ya kuonesha kuwa hategemei kushinda uongozi kwa mujibu wa kura halisi za wananchi. Lakini watu hao ndiyo wanataka sisi tufundishwe Katiba na pia wanataka tuamini kuwa kuna demokrasia ya Ki-Tanzania au ya Kiafrika peke yake, bila shaka na hesabu pia. Mimi siyo mwanasiasa, lakini nakataa ujinga na hata upumbavu kuitwa hekima na busara.
Hakuchaguliwa na wananchi hivyo Hana shida. Pia anajua kwa katiba hii na sheria batili za uchaguzi, hata msipomchagua atapindua matokeo.
Nadhani kizazi kinabadilika, taratibu lakini kwa uhakika.
 
Back
Top Bottom