Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

MBUNGE ROSE BUSIGA AKABIDHI TUZO YA PONGEZI KWA NAIBU WAZIRI MKUU, MHE. DKT. DOTTO BITEKO Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Geita, Mhe. Rose Vicent Busiga ametoa Tuzo ya Pongezi kwa Naibu Waziri Mkuu...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari zenu wanaJF wenzangu, Aisee mpaka leo sielewi ni kwanini makamu anashindwa kuaminiwa. Yaani pamoja na jitihada zote anazozionesha kupambana huku na kule, lkn bado anaonekana ni "nothing"...
4 Reactions
12 Replies
954 Views
Naona watu wanataka watumie hii kama njia ya kuitikisa na kuiyumbisha Serikali na Viongozi wake Kwa maslahi binafsi. Nawakumbusha tuu Serikali haiwezi Kutikishwa na wapuuzi wachache ambao...
5 Reactions
17 Replies
997 Views
Pilikapilika na vishindo vya upinzani nchini vimepoa mno kwa sasa. Ni aina mpya ya kijipanga ama ni maandalizi ya comeback ya tofauti na kivingine? Tutegemee muendelezo wa madai yaleyale ya tume...
1 Reactions
17 Replies
1K Views
Shujaa Magufuli alituomba tumkumbuke kwa mazuri yake siyo mabaya na Uteuzi wa makada wa CCM kuwa DED na DAS siyo sehemu ya mambo mazuri aliyoyafanya. Ni vyema mpendwa wetu Rais Dr. Samia...
16 Reactions
60 Replies
4K Views
Ujio wa Makamba katika Wizara ya Nishati na Maharage Chance pale Tanesco,baadhi ya watu hawakulipenda hilo iwe ndani ya CCM na nje ya CCM,lakini chuki kubwa ilikuwa ndani ya CCM!! Tatizo kubwa...
15 Reactions
124 Replies
8K Views
Kama Taifa tumejijengea mazoea mabaya na yanatuumiza wenyewe! Mazoea ya kuwa maji ndio chanzo KIKUU cha umeme kwenye Taifa ndio yanatuumiza,ni nani alituloga!!? HIVI hapa nchini maji pekee ndio...
2 Reactions
15 Replies
1K Views
Wiki chache zilizopita tulishuhudia mjadala mkali kuhusu bandari, baadaye kukaibuka tetesi za rupia kupenyezwa kwa baadhi ya wakazi wa Ufipa ili wajiondoe katika mjadala huu. Dkt. Slaa, Dkt...
1 Reactions
5 Replies
714 Views
Mkuu wa wilaya ya Unguja Magharibi amewataka wananchi kupuuza uvumi kwamba kuna mtu asiye na kichwa ameonekana Unguja DC Hamida Khamis wa Magharibi Unguja amewatoa hofu wananchi kuhusiana na...
10 Reactions
43 Replies
5K Views
Ndugu zangu Watanzania, Kwa upande wangu nimemsoma na kumuelewa vyema sana Mh Rais Samia juu ya Aina ya uongozi wake na aina ya watu na viongozi ambao angependa kufanya nao kazi Muda Wote. Rais...
3 Reactions
55 Replies
6K Views
Top 10' ya mikoa iliyoongoza kwa matumizi makubwa ya umeme 2022: 1.Dar es Salaam-2,805.9 GWH 2.Pwani-635.7GWH 3.Arusha-413.9 GWH 4.Shinyanga-411.2 GWH 5.Tanga-408.7 GWH 6. Mwanza-344.5 GWH 7...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Mwenyekiti wa CHADEMA Mh. Mbowe alisema CHADEMA haitaingia kwenye mtego wa kuvunja Maridhiano kamwe kwasababu Vikao vya Maridhiano pekee ndio vitaliponya Taifa. Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Mh...
5 Reactions
18 Replies
2K Views
Mbunge Neema Lugangira wa CCM kutoka mkoa wa Kagera amesafiri hadi Vatican Kupata Baraka za Baba Mtakatifu Papa Francisco mwenyewe Mh Neema amefanikiwa kufika nyumbani kwa Papa Francisco na...
7 Reactions
31 Replies
3K Views
Iko hivi miradi yote ya upigaji ya Tanesico alikuwa anaifanya Maharagwe na January Kipara,mikataba hiyo ilikuwa inasainiwa kwenye chemba ya Bwana Yakobo,huyu Yakobo ni rafiki sana wa Mzee...
3 Reactions
29 Replies
3K Views
Ni jambo la kusikitisha sana kuona baadhi ya walimu wanaunga mkono kitendo cha Mwalimu Maganga kukataliwa ombi lake. Wanadhani wao watakuwa salama? Hata kama ana makosa, bado kuna kila sababu ya...
3 Reactions
14 Replies
1K Views
Ni wakati sahihi kwa viongozi wetu wa dini zote kukutana na kujadili juu ya kuitaka serikali isiwe mbabe kwenye suala zima la kutupatia wananchi katiba mpya. Inashangaza sana kuona serikali ya...
3 Reactions
9 Replies
825 Views
Akizungumza na wakazi wa baadhi ya vijiji mkoani Ruvuma, bi Jenista amesema mahindi Kwa sasa ni zao la biashara linalowapatia wananchi fedha nyingi. Maana mahindi Kwa sasa si zao la chakula...
3 Reactions
7 Replies
1K Views
Boss wa TANESCO atimuliwa kikaoni. Sioni nyota njema kwake. Siku tatu zinamtosha kweli au ndo wanamkomoa baba wa watu? Na Biteko akija kujua dili za Luku atamla kichwa mazima. Kaambiwa nenda...
93 Reactions
264 Replies
27K Views
Mh Raisi mulika na maafisa balozi wamejisahau sana . hawa tunao ushahidi jinsi wanavyojibu watu, wenye kwenda kuomba msaada wa kihuduma kwenye ofisi za kibalozi huko nchi walizoko, nafikiri...
10 Reactions
60 Replies
5K Views
Alipata kusema hayati JPM.. Sasa inaonekana wazi kuongoza nchi kwa kuwapapasa papasa watu ni ngumu sana kufanikiwa! Kalemani alikaribia kumaliza tatizo la umeme! Kama ilivyo kawaida ya siasa...
2 Reactions
4 Replies
788 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…