MBUNGE ROSE BUSIGA AKABIDHI TUZO YA PONGEZI KWA NAIBU WAZIRI MKUU, MHE. DKT. DOTTO BITEKO
Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Geita, Mhe. Rose Vicent Busiga ametoa Tuzo ya Pongezi kwa Naibu Waziri Mkuu...
Habari zenu wanaJF wenzangu,
Aisee mpaka leo sielewi ni kwanini makamu anashindwa kuaminiwa. Yaani pamoja na jitihada zote anazozionesha kupambana huku na kule, lkn bado anaonekana ni "nothing"...
Naona watu wanataka watumie hii kama njia ya kuitikisa na kuiyumbisha Serikali na Viongozi wake Kwa maslahi binafsi.
Nawakumbusha tuu Serikali haiwezi Kutikishwa na wapuuzi wachache ambao...
Pilikapilika na vishindo vya upinzani nchini vimepoa mno kwa sasa.
Ni aina mpya ya kijipanga ama ni maandalizi ya comeback ya tofauti na kivingine?
Tutegemee muendelezo wa madai yaleyale ya tume...
Shujaa Magufuli alituomba tumkumbuke kwa mazuri yake siyo mabaya na Uteuzi wa makada wa CCM kuwa DED na DAS siyo sehemu ya mambo mazuri aliyoyafanya.
Ni vyema mpendwa wetu Rais Dr. Samia...
Ujio wa Makamba katika Wizara ya Nishati na Maharage Chance pale Tanesco,baadhi ya watu hawakulipenda hilo iwe ndani ya CCM na nje ya CCM,lakini chuki kubwa ilikuwa ndani ya CCM!!
Tatizo kubwa...
Kama Taifa tumejijengea mazoea mabaya na yanatuumiza wenyewe!
Mazoea ya kuwa maji ndio chanzo KIKUU cha umeme kwenye Taifa ndio yanatuumiza,ni nani alituloga!!?
HIVI hapa nchini maji pekee ndio...
Wiki chache zilizopita tulishuhudia mjadala mkali kuhusu bandari, baadaye kukaibuka tetesi za rupia kupenyezwa kwa baadhi ya wakazi wa Ufipa ili wajiondoe katika mjadala huu.
Dkt. Slaa, Dkt...
Mkuu wa wilaya ya Unguja Magharibi amewataka wananchi kupuuza uvumi kwamba kuna mtu asiye na kichwa ameonekana Unguja
DC Hamida Khamis wa Magharibi Unguja amewatoa hofu wananchi kuhusiana na...
Ndugu zangu Watanzania,
Kwa upande wangu nimemsoma na kumuelewa vyema sana Mh Rais Samia juu ya Aina ya uongozi wake na aina ya watu na viongozi ambao angependa kufanya nao kazi Muda Wote. Rais...
Top 10' ya mikoa iliyoongoza kwa matumizi makubwa ya umeme 2022:
1.Dar es Salaam-2,805.9 GWH
2.Pwani-635.7GWH
3.Arusha-413.9 GWH
4.Shinyanga-411.2 GWH
5.Tanga-408.7 GWH
6. Mwanza-344.5 GWH
7...
Mwenyekiti wa CHADEMA Mh. Mbowe alisema CHADEMA haitaingia kwenye mtego wa kuvunja Maridhiano kamwe kwasababu Vikao vya Maridhiano pekee ndio vitaliponya Taifa.
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Mh...
Mbunge Neema Lugangira wa CCM kutoka mkoa wa Kagera amesafiri hadi Vatican Kupata Baraka za Baba Mtakatifu Papa Francisco mwenyewe
Mh Neema amefanikiwa kufika nyumbani kwa Papa Francisco na...
Iko hivi miradi yote ya upigaji ya Tanesico alikuwa anaifanya Maharagwe na January Kipara,mikataba hiyo ilikuwa inasainiwa kwenye chemba ya Bwana Yakobo,huyu Yakobo ni rafiki sana wa Mzee...
Ni jambo la kusikitisha sana kuona baadhi ya walimu wanaunga mkono kitendo cha Mwalimu Maganga kukataliwa ombi lake.
Wanadhani wao watakuwa salama?
Hata kama ana makosa, bado kuna kila sababu ya...
Ni wakati sahihi kwa viongozi wetu wa dini zote kukutana na kujadili juu ya kuitaka serikali isiwe mbabe kwenye suala zima la kutupatia wananchi katiba mpya.
Inashangaza sana kuona serikali ya...
Akizungumza na wakazi wa baadhi ya vijiji mkoani Ruvuma, bi Jenista amesema mahindi Kwa sasa ni zao la biashara linalowapatia wananchi fedha nyingi.
Maana mahindi Kwa sasa si zao la chakula...
Boss wa TANESCO atimuliwa kikaoni. Sioni nyota njema kwake. Siku tatu zinamtosha kweli au ndo wanamkomoa baba wa watu?
Na Biteko akija kujua dili za Luku atamla kichwa mazima.
Kaambiwa nenda...
Mh Raisi mulika na maafisa balozi wamejisahau sana .
hawa tunao ushahidi jinsi wanavyojibu watu, wenye kwenda kuomba msaada wa kihuduma kwenye ofisi za kibalozi huko nchi walizoko,
nafikiri...
Alipata kusema hayati JPM.. Sasa inaonekana wazi kuongoza nchi kwa kuwapapasa papasa watu ni ngumu sana kufanikiwa! Kalemani alikaribia kumaliza tatizo la umeme! Kama ilivyo kawaida ya siasa...