Mwl Athumani Ramadhani
JF-Expert Member
- Sep 10, 2022
- 1,282
- 2,508
Kama Taifa tumejijengea mazoea mabaya na yanatuumiza wenyewe!
Mazoea ya kuwa maji ndio chanzo KIKUU cha umeme kwenye Taifa ndio yanatuumiza,ni nani alituloga!!?
HIVI hapa nchini maji pekee ndio chanzo cha umeme!? Ina maana ukame ukitokea tu umeme wa kipimo na hakuna namna nyingine ya kufanya!?
Haiwezekani umeme wa maji pekee ukawa tegemeo kwetu wakati jua linawaka zaidi ya asilimia 90 ya mikoa yote Tanzania,wakati kinyesi cha wanyama kipo kila kona ya nchi ni tatizo la kisheria pekee ndilo linarudisha NYUMA usindikaji wa kinyesi kwa ajili AJILI ya umeme, bado upepo na vyanzo vingine vingi sana.
Kama taifa ni aibu kubwa sana eti kuwe na umeme wa kipimo na wananchi wateseke KWA kukosa umeme!!kuna tatizo mahali hata kama tanesco na serikali wanafanya Biashara Basi hiyo biashara inatakiwa iwe advanced kuendana na mahitaji yaliyopo.
Wenye dhamana na hili waanze kufikiri upya namna ya kutatua changamoto hii ya KILA mwaka nchini!
Mungu ibariki TANZANIA
Mazoea ya kuwa maji ndio chanzo KIKUU cha umeme kwenye Taifa ndio yanatuumiza,ni nani alituloga!!?
HIVI hapa nchini maji pekee ndio chanzo cha umeme!? Ina maana ukame ukitokea tu umeme wa kipimo na hakuna namna nyingine ya kufanya!?
Haiwezekani umeme wa maji pekee ukawa tegemeo kwetu wakati jua linawaka zaidi ya asilimia 90 ya mikoa yote Tanzania,wakati kinyesi cha wanyama kipo kila kona ya nchi ni tatizo la kisheria pekee ndilo linarudisha NYUMA usindikaji wa kinyesi kwa ajili AJILI ya umeme, bado upepo na vyanzo vingine vingi sana.
Kama taifa ni aibu kubwa sana eti kuwe na umeme wa kipimo na wananchi wateseke KWA kukosa umeme!!kuna tatizo mahali hata kama tanesco na serikali wanafanya Biashara Basi hiyo biashara inatakiwa iwe advanced kuendana na mahitaji yaliyopo.
Wenye dhamana na hili waanze kufikiri upya namna ya kutatua changamoto hii ya KILA mwaka nchini!
Mungu ibariki TANZANIA