Ukimya uliogubikwa na kupoa kwa upinzani nchini

Sep 13, 2023
35
46
Pilikapilika na vishindo vya upinzani nchini vimepoa mno kwa sasa.

Ni aina mpya ya kijipanga ama ni maandalizi ya comeback ya tofauti na kivingine?

Tutegemee muendelezo wa madai yaleyale ya tume huru ya uchaguzi, katiba mpya au bandari? Ama kuna jingine jipya? Ni matokeo ya reporti ya CAG au?

Takwa la siku 30 dhidi ya serikali kufuta mkataba wa bandari walizotoa akina dr slaa, Adv. mwambukusi na nyagali zinayoyoma tayari.

Upinzani watajipanga nyuma ya hawa wangwana na kuichachafya serikali kuja na majawabu na majibu muafaka juu ya wanachodai na kukipambania?
 
Upinzani sio watu ni Ideology mkuu, Upinzani upo hata kule Farume za Kiarabu wabapingana ndani kwa ndani. Upinzani sio mtu mmoja mmoja kama mnavyo aminishana.
 
Upinzani sio watu ni Ideology mkuu, Upinzani upo hata kule Farume za Kiarabu wabapingana ndani kwa ndani. Upinzani sio mtu mmoja mmoja kama mnavyo aminishana
Na kwa kweli kila chama kina administartive Ideology yake.

Nazungumzia upinzani katika ujumla wake, sio mpizani fulani moja labada unaemdhani wewe.

Ndio maana najiuliza wapinzani wengine watajiunga na hawa waliotoa makataa ya siku 30 dhidi ya srikali kuhusu bandari?

Maana hili la bandari kwa kiasi fulani wanazungumza kwa tone inayofanana na hapo inawezekana ni mwanzo wa kua na ideology ya pamoja kama wapinzani kuelekea mbele.
 
Nchi hii mpinzani wa kweli ni mmoja tu, wengine ni fursanists
Screenshot_20230925_095955_Chrome.jpg
 
....matokeo yake ni matusi na khasr bin ghadhaab, khasa kama mtu hakulelewa vizuri kimaadili. Tulianza na mikutano, ikaisha ikaja tumehuru. Ikaisha ikaanza katiba mpya as of tunatoka ukoloni au Apartheid. Kugundua kumbe katiba tunayo ndicho kinasinamisha makashkash ya wapinzani. Wakahamia kwa Wamasai wakakuta kumbe wala sio wengi, wako Chalinze, Ifakara na Handeni. Tunamsubiria Mdude Nyagali ajitose.
 
Pilikapilika na vishindo vya upinzani nchini vimepoa mno kwa sasa.

Ni aina mpya ya kijipanga ama ni maandalizi ya comeback ya tofauti na kivingine?

Tutegemee muendelezo wa madai yaleyale ya tume huru ya uchaguzi, katiba mpya au bandari? Ama kuna jingine jipya? Ni matokeo ya reporti ya CAG au?

Takwa la siku 30 dhidi ya serikali kufuta mkataba wa bandari walizotoa akina dr slaa, Adv. mwambukusi na nyagali zinayoyoma tayari.

Upinzani watajipanga nyuma ya hawa wangwana na kuichachafya serikali kuja na majawabu na majibu muafaka juu ya wanachodai na kukipambania?
Jamani ile mikutano mfululizo sio jambo dogo
Watu wanachoka na kuhitaji mapumziko
Kuna bajeti zinahitaji pesa
Kuna kufanya tathmini
Kuna magari yanahitaji service nknk

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pilikapilika na vishindo vya upinzani nchini vimepoa mno kwa sasa.

Ni aina mpya ya kijipanga ama ni maandalizi ya comeback ya tofauti na kivingine?

Tutegemee muendelezo wa madai yaleyale ya tume huru ya uchaguzi, katiba mpya au bandari? Ama kuna jingine jipya? Ni matokeo ya reporti ya CAG au?

Takwa la siku 30 dhidi ya serikali kufuta mkataba wa bandari walizotoa akina dr slaa, Adv. mwambukusi na nyagali zinayoyoma tayari.

Upinzani watajipanga nyuma ya hawa wangwana na kuichachafya serikali kuja na majawabu na majibu muafaka juu ya wanachodai na kukipambania?
Kwanza upinzani siyo chama cha Chadema tu, maana ndicho chama kilicho onyesha kishindo baada ya kuondolewa ile amri ya mabavu ya kupiga marufuku mikutano ya adhara.

Mikutano ni gharama, ni vigumu chama kuzunguka nchi zima kufanya mikutano bila kupumzika.

Bila strategy chama kinaweza kupoteza njia. Lazima kuwe na retreat kufanya tathimini na kuangalia frusa na njia mpya au kuboresha.

Hakuna kilichopoa, Ila wamewachia muda wapinzani wao waendelee kujikanyaga na kuboronga zaidi. Hilo la katiba mpya jibu unalo toka kwa mwenyekiti wa wapinzani wao, kwamba Watanzania bara wote hamjui kitu kuhusu katiba, mnaitaji elimu miaka mitatu. Kule visiwani walitunga katiba miaka 10 iliyopita, hivo wao wana elimu na uzoefu hawakuitaji elimu.




Sent from my TECNO CD7 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom