Mwande na Mndewa
JF-Expert Member
- Feb 26, 2021
- 950
- 2,866
Iko hivi miradi yote ya upigaji ya Tanesico alikuwa anaifanya Maharagwe na January Kipara,mikataba hiyo ilikuwa inasainiwa kwenye chemba ya Bwana Yakobo,huyu Yakobo ni rafiki sana wa Mzee Kinena,mambo yake mengi ya kisheria yanafanywa kwenye chemba ya Bwana Yakubo,
Kwa mara nyingine Mama anathibitisha ya kwamba Hayati Magufuli alikuwa sahihi kuwakataa hao watu kwenye uongozi wake,Hayati Magufuli aliwahi kumtimua bungeni kwa kashfa kubwa ya mabilioni akiwa katibu wa Supika,na alikuwa anaelekea kupiga pesa za Ujenzi wa viwanja,kawaita wakandarasi kakaa nao tena mezani,Mama umemuwahi umemuondoa ahsante sana,
Hili genge limetuumiza sana kwenye Umeme na sasa tunapitia mgao kwa machungu yaliyosababishwa na hilo genge,
Ombi letu kwa Mama Samia;-
Huyu Maharagwe ni royal sana kwa Vodekomu,sasa kumpa tena titisielo ataenda kuliua shirika na kumpa nguvu Vodekomu,jicho lako Mama lipige vizuri hapo,Mwisho nakupongeza sana Mama kwa kulivunja genge hili la Wapigaji.
Kwa mara nyingine Mama anathibitisha ya kwamba Hayati Magufuli alikuwa sahihi kuwakataa hao watu kwenye uongozi wake,Hayati Magufuli aliwahi kumtimua bungeni kwa kashfa kubwa ya mabilioni akiwa katibu wa Supika,na alikuwa anaelekea kupiga pesa za Ujenzi wa viwanja,kawaita wakandarasi kakaa nao tena mezani,Mama umemuwahi umemuondoa ahsante sana,
Hili genge limetuumiza sana kwenye Umeme na sasa tunapitia mgao kwa machungu yaliyosababishwa na hilo genge,
Ombi letu kwa Mama Samia;-
Huyu Maharagwe ni royal sana kwa Vodekomu,sasa kumpa tena titisielo ataenda kuliua shirika na kumpa nguvu Vodekomu,jicho lako Mama lipige vizuri hapo,Mwisho nakupongeza sana Mama kwa kulivunja genge hili la Wapigaji.