Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Wafanyabiashara wadogo ambao wanapanga kwenye nyumba za mitaani hutozwa Withholding Tax yaani kodi ya zuio! Hapa anayezuiwa ni nani! Hakuna jibu isipokuwa imetengenezwa kuiongezea mapato serikali...
3 Reactions
13 Replies
382 Views
Kaimu Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Kusini, Bele Ponela, amemlipua kiongozi wa kimila, Chifu Songea Mbano, akidai kuwa sio chifu halisi bali ni mwanachama wa CCM na "tapeli" aliyetumiwa kukanusha...
7 Reactions
10 Replies
333 Views
Kumekuwepo na tuhuma zinazomhusisha mtumishi wa umma katika taasisi TAKUKURU na mwenendo unaodaiwa kukiuka maadili ya utumishi wa umma. Ni muhimu mamlaka husika kufanya uchunguzi wa kina ili...
1 Reactions
6 Replies
282 Views
Hii nchi imejaa watu waovu kwa asilimia 70. Hawalitakii mema taifa lao. Ndio maana hayati Magufuli alipodhibiti ufisadi wao walimfanyia fitina za kila namna. Na hata mpaka leo hii hakuna...
13 Reactions
62 Replies
1K Views
Ni aibu kwa mwanasiasa kuuza jina la mwenzake aliyekwisha tangulia mbele ya haki. Lakini naona CCM wanalazimika kuuza jina na uzalendo wa Nyerere hadi nje ya Nchi. Nilianza kuona Waziri wa mambo...
3 Reactions
0 Replies
92 Views
Nina Imani ningeenda kwa Afande Muliro kumsalimia hata chai angenipa, ila huyu OCD ndo kwanza akaishia kunishangaa. Nimefika kwake kituoni nikajitambulisha Mimi ni mgeni wa OCD, nikafika ofisini...
3 Reactions
8 Replies
333 Views
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amefanya uteuzi wa viongozi. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Dkt. Moses Kusiluka, viongozi...
0 Reactions
6 Replies
345 Views
Naona moshi Mweusi huko pwani ya Tanzania. Nchi ipo kuaminisha Dunia uongo kwamba watu wanaishii kwa upendo na amani, halafu anatokea DC anatia kitumbua Mchanga. Na hivi haziivi na uzao wa...
7 Reactions
31 Replies
931 Views
Waliopigwa na Mchina, wamelazwa hosptalini, ili aliyewazuru akamatwe, imewabidi majeruhi kujirekodi huku wakiwa wanalia ndo mpigaji wa kichina alipokamatwa na polisi Hii imekaaje? Mbona yule...
4 Reactions
10 Replies
216 Views
Clemence Mwandambo ametoa kauli kali akidai kuwa baadhi ya Watanzania wamefikia hatua ya kuichoka amani na badala yake wanaelekea kutaka vurugu kwa kusikiliza watu anaowaita wachochezi. Naona...
0 Reactions
12 Replies
262 Views
Professor Mussa J Assad. CAG Mstaafu akifanya mahojiano na Clouds Media Juni 22, 2026 amependekeza umuhimu wa kuwa na kanzidata (database) ya kitaifa itakayofuatilia utekelezaji wa mapendekezo...
2 Reactions
7 Replies
176 Views
Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPPC), Bwana David Kafulila, ameendelea kujijengea sifa kama mmoja wa viongozi wa umma wanaorejesha na kuimarisha...
3 Reactions
9 Replies
271 Views
Hamjambo! Aiseeeh! Hii familia iwe Mfano kwetu. Haipoi na hawataki kumuachia Mungu. Wanapambana aiseeh! Kule Kaka Mtu, kule Mdogo wakiume. Kule Dada Mtu. Hawa watu wanaonyesha upendo, umoja...
24 Reactions
62 Replies
2K Views
Sote ni mashuhuda wa namna ambavyo chadema inavyojipendekeza kwa mabwenyenye ya magharibi na kujiexpose bila kificho kwamba wao ni vibaraka na mamluki wa mabwenyenye ya magharibi. Unadhani ni...
1 Reactions
30 Replies
303 Views
Hili jasusi la bamia ni nabii? Ninashangazwa karibu kila kitu alichotahadharisha kuhusu CHADEMA ndo kinatokea kwa wakati huu. CHADEMA wakampigie magoti ili awavushe. Jamaa ana kipawa kikubwa cha...
0 Reactions
23 Replies
434 Views
Anna Tibaijuka, aliyekuwa Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Makazi, UN-Habitat-Nairobi na Waziri wa Tanzania, anachambua marekebisho ya Sheria ya Fedha 2026 kwenye kifungu cha 69 cha Sheria...
8 Reactions
12 Replies
280 Views
Hapa Duniani tunapita.. Tusivimbe kwa kiburi na tusiache kutenda Mema.. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora Kamishna Msaidizi Mwandamizi Richard Abwao atakumbukwa. ===== Kamanda wa Polisi Mkoa wa...
17 Reactions
175 Replies
5K Views
Hii nchi ngumu sana! Tanganyika ukitaka kuiona basi ni hapo TAMISEMI - ila sasa tumeletewa DC huyu Mohamed Hasan Moyo ambaye kwa mujibu wa taarifa ni mzanzibari! Isitoshe kumbe ni baba watoto wa...
7 Reactions
42 Replies
725 Views
Ndugu zangu, mara nyingi tumekuwa tukilaumu uongozi kwa matatizo mengi yanayoikabili nchi yetu. Ni kweli, kuna changamoto kubwa za kiuongozi. Lakini kadri ninavyoangalia kwa undani, nimegundua...
1 Reactions
10 Replies
249 Views
Back
Top Bottom