figganigga
Platinum Member
- Oct 17, 2010
- 27,509
- 61,919
Naona moshi Mweusi huko pwani ya Tanzania.
Nchi ipo kuaminisha Dunia uongo kwamba watu wanaishii kwa upendo na amani, halafu anatokea DC anatia kitumbua Mchanga.
Na hivi haziivi na uzao wa Kizimkazi sio kama safari hii atavuka salama
Pia soma Video: Waliojitambulisha kuwa ni Askari wamvamia Mwananchi usiku wa manane