Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Hamjambo wote¡ Katika moja ya andiko moja lililopatikana katika falsafa za kitibeli lililosema: "Mfalme huamini kuwa anaitawala dunia. Lakini mara nyingi dunia hutawaliwa na watu ambao mfalme...
0 Reactions
2 Replies
122 Views
Kama kuna jambo kwa sasa ambalo kama Taifa tunakubaliana, ni kuwa UCHAWA ndilo tatizo linalokua kwa kasi zaidi katika siasa zetu na sekta ya utumishi wa umma. Athari za uchawa ni bayana...
6 Reactions
25 Replies
441 Views
Badala ya kusimamiwa na majaji wa Tanzania bara kama ilivyo kwa warioba na majaji waliotangulia, hii ya sasa tuwape wa Zanzibari hakika watatuletea katiba iliyojaa haki kwa kila upande wa muungano...
2 Reactions
16 Replies
199 Views
  • Featured
Wakuu, Tumekuwa na mijadala na taarifa mbalimbali hapa JF na mitandao mingine kuhusu hatima ya ushirikiano kati ya Tanzania na Umoja wa Ulaya (EU). Ili kuweka mambo sawa, Wizara ya Mambo ya Nje...
10 Reactions
64 Replies
3K Views
Imekuwa kawaida kwa watoto wa viongozi hasa marais kuchipukia na kuwa na nafasi karibu na wazazi wao au kuwa na utajiri wa kutisha ndani ya muda mfupi. Bellarmine Mugabe Bellarmine Chatunga...
9 Reactions
10 Replies
767 Views
Mama Samia, Mwigulu, mafisadi marafiki wa Mama, family za kikwete na Samia. Watanzania wengi tumeinamishwa nankupigwa kitu
2 Reactions
6 Replies
146 Views
Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kinapenda kuutaarifu umma kuwa Sekretarieti ya Chama iliyoketi tarehe 10 Juni 2026 kwa mamlaka iliyoikasimisha na Kamati Kuu, imemteua Ndugu Shija...
9 Reactions
18 Replies
347 Views
Mswada upo bungeni kinachosubiriwa ni Trump kuweka sahihi. U.S. Senate Fioreign Relations Committee Chairman, Sen. Jim Risch, R-Idaho alishauri iundwe tume huru ya kimataifa mkampuuza. U.S...
13 Reactions
53 Replies
1K Views
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema kuwa yeyote mwenye kadi ya bima ya NHIF anaweza kupata matibabu Zanzibar katika hospitali zinazopokea bima ya ZHIF, na vivyo hivyo kwa Wazanzibari...
3 Reactions
8 Replies
232 Views
👉Kumekuwa na tabia ya baadhi ya viongozi wastaafu, hususan , kujiona kuwa wao pekee ndiyo wenye hekima na uwezo wa kuamua mustakabali wa taifa letu. Kila jambo linalofanywa na serikali hulikosoa...
3 Reactions
34 Replies
614 Views
Matukio ya Oktoba 29, 2025 yalikuwa mauaji ya kinyama, ya kifashisti na shambulio kubwa dhidi ya raia wengi wasio na hatia. Huu ni ukweli ambao historia itaendelea kuubeba, na hakuna propaganda...
14 Reactions
13 Replies
385 Views
  • Redirect
Haya mawili hayana uhuusiano. MAUAJI ya 29.10.2025 hayana uhusiano na mchakato wa Katiba kuanza leo. Homera akili umeiweka wapi?
0 Reactions
Replies
Views
Siulizi kwa kejeli wala kebehi. Nauliza kimaanani kabisa. Watu walioshinda uchaguzi kwa 98%…. Watu waliopigiwa kura milioni 31+…. Watu ambao serikali yao inawakamata na kuwaweka ‘wahaini’ jela...
7 Reactions
5 Replies
246 Views
  • Featured
Naibu Waziri wa Vijana, Ajira na Uwezeshaji, Zanzibar Hassan Khamis Hafidh, akichangia Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Bajeti ya Vijana katika Baraza la Wawakilishi Juni 6, 2026, alisema licha...
17 Reactions
176 Replies
4K Views
Mpo salama! 1. Nimekuwa miongoni mwa walioiona Clip inayomuonyesha mtu aliyejitambulisha kwa jina la Agustino Polepole. Ambaye mwenye anasema ni ndugu wa Humphrey Polepole. 2. Tangu...
5 Reactions
20 Replies
855 Views
MNYIKA unadai Bajeti ya katika mpya kwenye Serikali Ipi? nyinyi hamuitambui Serikali lakini mnataka bajeti iweke takwa lenu,kwanza mnachopaswa ni kuitambua Serikali halali ya awamu ya sita kisha...
2 Reactions
31 Replies
385 Views
Naomba kusiwe na lelemama kwa mtu yyte anayetukana viongozi mitandaoni, hii tabia imeibuka baada ya chadema kuruhusiwa waanze kufanya shughuli za kisiasa. Tusicheke na hawa vibaka wa chadema...
4 Reactions
181 Replies
2K Views
Wanabodi, Manabii wa Uongo na Tutawatambuaje? Kwa sisi waumini wa dini ya Kikristo, tunayemwamini Bwana wetu Yesu Kristo, kabla hajapaa mbinguni, alituhusia kuwa "kutajitokeza manabii wa uongo...
40 Reactions
1K Replies
180K Views
Mimi nimeguswa sana na ushindi wa Magufuli sana sana, Kwanza ili serikal yake isikwame naomba tu azingatie haya, 1.ateue waziri mkuu hasiyekuwa na Makuu hasiyejulikana kabisa, ambaye...
6 Reactions
25 Replies
2K Views
Back
Top Bottom