Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Tundu Lissu akiambatana na Naibu Katibu Mkuu Bara ndugu Amani Golugwa leo wamemtembelea Waziri Mkuu Mstaafu Jaji Joseph Warioba ofisini kwake. Katika ziara hiyo...
32 Reactions
142 Replies
7K Views
Guys Tusipoteze muda sana. Presidential candidates 2030 washajulikana mpaka muda huu. Sasa itakuwa ni watanganyika kunyoa au kusuka aidha mpokee vipande vya pesa nchi iuzwe au mchague mtu...
10 Reactions
49 Replies
925 Views
Anonymous
Nawapongeza TAKUKURU Wilaya ya Mlele halmashaur ya Mpimbwe kwa kazi kubwa wanayoendelea kuifanya katika kuchunguza tuhuma mbalimbali za ubadhirifu na matumizi mabaya ya rasilimali za umma katika...
0 Reactions
1 Replies
126 Views
BURIANI BABA, RAFIKI NA MZUNGUMZAJI WANGU BALOZI ABBAS KLEIST SYKES Mwezi October 1999 nilikuwa Dubai na nikikaa Carlton Hotel. Siku moja jioni simu yangu ikalia. Walikuwa BBC London Idhaa ya...
44 Reactions
315 Replies
29K Views
Nchi zilizoendelea hutamani kuwa na watu wa akili kama ya Lissu, akili ya kusaidia kuandika mikataba, akili ya kuandika Katiba akili ya kurekebisha ubora wa sheria. Hii akili anaijua Anna...
10 Reactions
36 Replies
481 Views
Naomba nianze kwa kusema kwamba Nchi ya Tanzania haina Udini. Salaam wakuu, Rais Magufuli, katika teuzi zako usimsahau jicho la Vijana Saada Mkuya Salum Mwasisi wa Uchumi wa kati Saada Mkuya...
3 Reactions
96 Replies
9K Views
Tunakiwanja chetu . Tuna doc zote lililipia hati toka 2019 tukawa tunafuatilia hati tunaambiwa file letu halionekani 2024 tukaenda kuchukua kibali cha ujenzi ili tuanze kujenga tukapewa kibali...
6 Reactions
25 Replies
519 Views
Ni obvious, upinzani Tanzania kuhusu urais, watausikia tu kwenye bomba tu, kwasababu, kwanza hawana mgombea mwenye kaliba ya urais, lakini pia, hawana agenda zenye kugusa maisha halisi ya wa...
0 Reactions
14 Replies
175 Views
My Take Jarida Maarufu la Habari za Intelijensia na Usalama Afrika "The African Report" limechapisha habari hii kuhusu Wakuu wetu. Kama sio ukweli na chokochoko za kibeberu kutia chumvi basi ni...
7 Reactions
16 Replies
515 Views
Kabla ya maandamano ya MO29 kulikuwa na propaganda nyingi hasa kutoka kwa chawa wa mama kuwa hakuna mtanzania atakayejitokeza siku ya maandamano kwa kuwa Watanzania ni waoga. Propaganda hizo...
23 Reactions
55 Replies
2K Views
Kwasababu kinachoendelea kwa sasa ni kukomoana na sio kufuata kanuni, taratibu na sheria, naomba wadau wajiandae kisaikolojia endapo hilo litatokea. Hata hivyo, msikate tamaa iwapo wataamua...
12 Reactions
22 Replies
464 Views
Wenyeviti wa Mamlaka ya mji mdogo mjini Maswa mkoani Simiyu wamegomea agizo la Mkuu wa wilaya ya Maswa,Dkt Vicent Anney la kuwataka kutotumia mihuri katika kutekekeza majukumu yao wakidai...
2 Reactions
7 Replies
230 Views
Mabalozi wa Nchi Wanachama wa Umoja wa Ulaya (EU) leo Juni 8, 2026 wamefanya mazungumzo ya kisiasa ya ngazi ya juu na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mahmoud...
4 Reactions
32 Replies
676 Views
TAARIFA KWA UMMA Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Kanda ya Pemba kinaujanisha umma na wanachama wake kuwa Kamati Tendaji ya Kanda ya Pemba iliketi katika kikao chake cha dharura tarehe...
26 Reactions
78 Replies
1K Views
Watanzania tuache drama na kushabikia hadithi za watawala kwamba maandamano ya October 29 yaliratibiwa na kufadhiliwa na wanaharakati. Hizo ni propoganda za viongozi kutaka kukuza kitu ambacho...
4 Reactions
16 Replies
224 Views
Kama Isreal na Marekani wanafanya watakavyo katika dunia hii hakuna kuulizwa, sio Fifa, sio UNO Wasitegemee Chadema kupata haki katika dunia hii ambayo imejaa double standard
1 Reactions
3 Replies
82 Views
Wanabodi, Kama kawaida ya wewe mwana JF, pata ile the JF advantage, ya be the first to know!, Kuna breaking news ya good news Chadema, yule mwanamke wao wa shoka, shupavu, shujaa na chuma cha pua...
12 Reactions
125 Replies
2K Views
Taarifa ikufikie Popote ulipo Kwamba , Makamu Mwenyekiti wa Chadema , Tundu Lissu , amefika nyumbani kwa Mzee James Lembeli , ambapo lengo la ziara hiyo ya ghafla bado halijajulikana Na wala...
9 Reactions
22 Replies
4K Views
..Lissu amefanya jambo kubwa sana kuitembelea familia ya Balozi Kasanga Tumbo. ..sijui ni wangapi wanajua Balozi Christopher Kasanga Tumbo ni nani. ..Na kwanini Tundu Lissu ameamua kutembelea...
12 Reactions
39 Replies
6K Views
Mitandao ya kijamii imefungua milango mikubwa kwa mawasiliano na uhuru wa kujieleza, lakini Tanzania inakabiliwa na hatari halisi inapoteza udhibiti wa jinsi vijana wanavyotumia jukwaa hili...
2 Reactions
24 Replies
320 Views
Back
Top Bottom