Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, John Heche, amesema tayari amekutana na aliyekuwa Mwenyekiti wa chama hicho, Freeman Mbowe, tangu uchaguzi ulipomalizika na kufanya naye mazungumzo marefu nyumbani...
Wakili wa kujitegemea Peter Madeleka, ameachiwa jioni ya leo, Agosti 17, 2026 bila masharti yoyote.
Akizungumza na NipasheDigital, kwa njia ya simu muda mfupi uliopita, Wakili na Mwanaharakati wa...
Waafrica hawaijui ccm aisee. Hii sio TANU iliyowasaidia kupigania uhuru. Hili ni dudu baya.
Sasa tume itakuwa imeshikiliwa Mateka, Vikosi kazi vimeandaliwa tayari kuanzisha vurugu ili kuruhusu...
Hakutaka Chadema iwe na misimamo kama hii ya Heche na Lissu.
Hapo alipo anafurahia na kuchekelea moyoni.
Maana alishazoea siasa za biashara na kuitumia Chadema kama mtaji.
Russia na Marekani zina mgogoro wa siku nyingi sana hata kabla USSR haijasambaratika,
Russia na Tanzania zimesaini makubaliano ya ushirikiano wa kijeshi.
Kwa mujibu wa makubaliano hayo vyuo vya...
Aachiwe huru mara moja na kisha akamatwe tena hapo hapo baada ya kesi kufunguliwa upya, ili hatimae ushahidi mpya utumike katika kumtia hatiani na apewa haki anayostahili kama watuhumiwa wa uhaini...
Ili neno nashindwa kuwoelewa usome kama mchina aliyeuliwa ndugu yake mchina pale manzese,
SWALI chonganishi, kwa USHAHIDI huu ulio tolewa na mashahidu viiyo, hata taila wa Sheria atajua yakuwa...
Kada wa CCM kachafukwa👇
Pia Soma: Wakili Dkt. Masoud: Video iliyowekwa kichwa cha habari kuwa: 'Kada wa CCM amvaa Samia, hatukuogopi wewe Siyo Mungu' imepotoshwa
Dalili zote zimeshaonyesha CCM itatoka madarakani kwa kumwaga damu ilo halina tena ubishi tena angalia kilichotokea October 29 kwa hiyo wanaosubiri kwamba CCM itaweza kuleta katiba mpya ni...
Watia nia Mpaka sasa
1. Tundu Lissu
2. Freeman Mbowe
3. Lazaro Nyalandu
4. Peter Msigwa,
Hawa ni watia nia ambao ninawatenga katika makundi matatu
KUNDI A
Wanaoonekana kuimiliki chadema...
Baada ya upande wa Jamhuri kuishia njiani kwa kuleta mashahidi 17 tu kati ya 30 waliopaswa kutoa ushahidi wao dhidi ya kesi iliyopewa Jina la "kesi ya uhaini" dhidi Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Mh...
Ndugu zangu Watanzania,
Lissu ni Mtu Mwenye Mdomo na kinywa Kisicho na ustaarabu kabisa . Ni mtu mwenye kuongea bila kupima athari ya maneno yake ,ni mtu asiye na staha wala hekima wala adabu ya...
Huu ndio ukweli mchungu na ksma Mbowe nae angekomaa, huenda hata Lissu yasingemkuta
Kwa kifupi, kitendo cha kukomaa mpaka hapa kesi ilipofika, ni ushindi mkubwa kwa Lissu maana walichotaka...
17 August 2026
WASAUDIA WANATAKA KUWA NA HIFADHI YA MAFUTA HAPA TANZANIA / WATAKA KUWEKEZA KWENYE SEKTA ZA MADINI, KILIMO PIA UFUGAJI
https://m.youtube.com/watch?v=ZSNh7sy6MD8
Source : Jambo TV...
Najuwa ndani ya CHADEMA hakuna mtu wa kumkosoa. Huyu dogo hapa amempaka za uso.
My take:
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA yuko overrated. Anahitaji kuwa adjusted kidogo. Sometimes anakuwa kama...
Naamini wanaJF wengi mtakuwa mnamjua huyu jamaa huko mitandaoni hasa YouTube.
Mwalimu google ni nguli mchambuzi wa maswala ya siasa za kimataifa na siasa na Tanzania,haamini katika mfumo wa...
Kila kikao kinachoitwa, Raisi ndio mzungumzaji mkuu. Hili ni hatari sana kama taifa. Wala hawaiti kama makuhani ili wampe ushauri wa kujenga na kulinda tunu za Taifa. Ila kuwafundisha kutulia na...
Jumuiya ya Kifalme ya Afrika imepongeza uamuzi wa Serikali ya Tanzania wa kuwashirikisha wataalamu wa sheria na majaji kutoka nchi nyingine za Afrika katika Tume ya Uchunguzi wa Kijinai...