Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Kwa ujumla huku ni kuleta siasa kwenye mpira. Na ni kinyume na misingi ya Fifa inayozuia kuingiza siasa kwenye soccer👇
0 Reactions
16 Replies
146 Views
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, John Heche, amesema tayari amekutana na aliyekuwa Mwenyekiti wa chama hicho, Freeman Mbowe, tangu uchaguzi ulipomalizika na kufanya naye mazungumzo marefu nyumbani...
16 Reactions
31 Replies
607 Views
Wakili wa kujitegemea Peter Madeleka, ameachiwa jioni ya leo, Agosti 17, 2026 bila masharti yoyote. Akizungumza na NipasheDigital, kwa njia ya simu muda mfupi uliopita, Wakili na Mwanaharakati wa...
0 Reactions
12 Replies
360 Views
Waafrica hawaijui ccm aisee. Hii sio TANU iliyowasaidia kupigania uhuru. Hili ni dudu baya. Sasa tume itakuwa imeshikiliwa Mateka, Vikosi kazi vimeandaliwa tayari kuanzisha vurugu ili kuruhusu...
1 Reactions
4 Replies
137 Views
Hakutaka Chadema iwe na misimamo kama hii ya Heche na Lissu. Hapo alipo anafurahia na kuchekelea moyoni. Maana alishazoea siasa za biashara na kuitumia Chadema kama mtaji.
5 Reactions
10 Replies
191 Views
Russia na Marekani zina mgogoro wa siku nyingi sana hata kabla USSR haijasambaratika, Russia na Tanzania zimesaini makubaliano ya ushirikiano wa kijeshi. Kwa mujibu wa makubaliano hayo vyuo vya...
6 Reactions
116 Replies
19K Views
Aachiwe huru mara moja na kisha akamatwe tena hapo hapo baada ya kesi kufunguliwa upya, ili hatimae ushahidi mpya utumike katika kumtia hatiani na apewa haki anayostahili kama watuhumiwa wa uhaini...
-1 Reactions
166 Replies
1K Views
Ili neno nashindwa kuwoelewa usome kama mchina aliyeuliwa ndugu yake mchina pale manzese, SWALI chonganishi, kwa USHAHIDI huu ulio tolewa na mashahidu viiyo, hata taila wa Sheria atajua yakuwa...
3 Reactions
2 Replies
107 Views
Kada wa CCM kachafukwa👇 Pia Soma: Wakili Dkt. Masoud: Video iliyowekwa kichwa cha habari kuwa: 'Kada wa CCM amvaa Samia, hatukuogopi wewe Siyo Mungu' imepotoshwa
15 Reactions
65 Replies
2K Views
Dalili zote zimeshaonyesha CCM itatoka madarakani kwa kumwaga damu ilo halina tena ubishi tena angalia kilichotokea October 29 kwa hiyo wanaosubiri kwamba CCM itaweza kuleta katiba mpya ni...
15 Reactions
46 Replies
608 Views
Watia nia Mpaka sasa 1. Tundu Lissu 2. Freeman Mbowe 3. Lazaro Nyalandu 4. Peter Msigwa, Hawa ni watia nia ambao ninawatenga katika makundi matatu KUNDI A Wanaoonekana kuimiliki chadema...
27 Reactions
66 Replies
5K Views
Museven step down
3 Reactions
10 Replies
293 Views
Baada ya upande wa Jamhuri kuishia njiani kwa kuleta mashahidi 17 tu kati ya 30 waliopaswa kutoa ushahidi wao dhidi ya kesi iliyopewa Jina la "kesi ya uhaini" dhidi Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Mh...
6 Reactions
23 Replies
668 Views
  • Redirect
Ndugu zangu Watanzania, Lissu ni Mtu Mwenye Mdomo na kinywa Kisicho na ustaarabu kabisa . Ni mtu mwenye kuongea bila kupima athari ya maneno yake ,ni mtu asiye na staha wala hekima wala adabu ya...
-2 Reactions
Replies
Views
Huu ndio ukweli mchungu na ksma Mbowe nae angekomaa, huenda hata Lissu yasingemkuta Kwa kifupi, kitendo cha kukomaa mpaka hapa kesi ilipofika, ni ushindi mkubwa kwa Lissu maana walichotaka...
4 Reactions
2 Replies
101 Views
17 August 2026 WASAUDIA WANATAKA KUWA NA HIFADHI YA MAFUTA HAPA TANZANIA / WATAKA KUWEKEZA KWENYE SEKTA ZA MADINI, KILIMO PIA UFUGAJI https://m.youtube.com/watch?v=ZSNh7sy6MD8 Source : Jambo TV...
4 Reactions
11 Replies
164 Views
Najuwa ndani ya CHADEMA hakuna mtu wa kumkosoa. Huyu dogo hapa amempaka za uso. My take: Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA yuko overrated. Anahitaji kuwa adjusted kidogo. Sometimes anakuwa kama...
8 Reactions
67 Replies
984 Views
Naamini wanaJF wengi mtakuwa mnamjua huyu jamaa huko mitandaoni hasa YouTube. Mwalimu google ni nguli mchambuzi wa maswala ya siasa za kimataifa na siasa na Tanzania,haamini katika mfumo wa...
2 Reactions
10 Replies
123 Views
Kila kikao kinachoitwa, Raisi ndio mzungumzaji mkuu. Hili ni hatari sana kama taifa. Wala hawaiti kama makuhani ili wampe ushauri wa kujenga na kulinda tunu za Taifa. Ila kuwafundisha kutulia na...
26 Reactions
72 Replies
1K Views
Jumuiya ya Kifalme ya Afrika imepongeza uamuzi wa Serikali ya Tanzania wa kuwashirikisha wataalamu wa sheria na majaji kutoka nchi nyingine za Afrika katika Tume ya Uchunguzi wa Kijinai...
0 Reactions
7 Replies
120 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…