Kuna nini kati ya Magufuli na Wasoviet?

britanicca

JF-Expert Member
May 20, 2015
15,636
30,004
Russia na Marekani zina mgogoro wa siku nyingi sana hata kabla USSR haijasambaratika,

Russia na Tanzania zimesaini makubaliano ya ushirikiano wa kijeshi.
Kwa mujibu wa makubaliano hayo vyuo vya kijeshi chini ya wizara ya ulinzi ya Russia vitatoa mafunzo kwa wanajeshi wa Tanzania.

Makubaliano hayo yalisainiwa jana mjini Moscow na waziri wa ulinzi wa Russia Bw. Sergey Shoigu na waziri wa ulinzi na jeshi la kujenga Taifa Hussein Mwinyi ambaye aliongoza ujumbe wa Tanzania kwenye ziara nchini Russia.

Hatua Hii itakuwa na madhara gani hasi na chanya?

Au ndo mambo ya Kim Jon Gufuli kupelekea kuegemea zaid jeshi hata kwenye shughuli za wananchi wa kawaida?

Ngoja tuone japo mapema


0b8ea1b34e0bba80378104e68addb986.jpg
1473313489462.jpg
1473313495197.jpg
 
Elimu mtu anaruhusiwa kusoma popote duniani.Kuna hadi wamarekani wanasoma vyuo vya urusi na wako warusi wanasoma vyuo vya marekani.Elimu ziko nyingi kuna za kawaida au za kijeshi.Waweza soma popote au kufundishwa na yeyote.Hilo hata wamarekani wanajua.Hata wewe uko huru kwenda kusoma urusi au marekani ukitaka.Au kusoma hapa hapa ukifundishwa na mwalimu wa kirusi au kimarekani elimu yoyote ya kawaida au kijeshi
 
Elimu mtu anaruhusiwa kusoma popote duniani.Kuna hadi wamarekani wanasoma vyuo vya urusi na wako warusi wanasoma vyuo vya marekani.Elimu ziko nyingi kuna za kawaida au za kijeshi.Waweza soma popote au kufundishwa na yeyote.Hilo hata wamarekani wanajua.Hata wewe uko huru kwenda kusoma urusi au marekani ukitaka.Au kusoma hapa hapa ukifundishwa na mwalimu wa kirusi au kimarekani elimu yoyote ya kawaida au kijeshi
Kwanini tusichague German
 
Elimu mtu anaruhusiwa kusoma popote duniani.Kuna hadi wamarekani wanasoma vyuo vya urusi na wako warusi wanasoma vyuo vya marekani.Elimu ziko nyingi kuna za kawaida au za kijeshi.Waweza soma popote au kufundishwa na yeyote.Hilo hata wamarekani wanajua.Hata wewe uko huru kwenda kusoma urusi au marekani ukitaka.Au kusoma hapa hapa ukifundishwa na mwalimu wa kirusi au kimarekani elimu yoyote ya kawaida au kijeshi
toka uwe mshabiki wa ccm akili zote zimekutoka hayo ni mafunzo ya kijeshi ww leo hii urusi akifanya madunzo ya kijeshi na nchi yyte ya NATO au U.K utasema hiyo ni mafunzo tu
anachokizungumza jamaa kina ukweli sema ti impact yake ni ndogo sababu taifa letu si kubwa kijeshi na kiuchumi
tunafahamu tanzania haifungamani na upande wwte lakini hii seta ni ya ki makarayasi na sio uhalisia
 
Russia na Marekani zina mgogoro wa siku nyingi sana hata kabla USSR haijasambaratika,

Russia na Tanzania zimesaini makubaliano ya ushirikiano wa kijeshi.

Kwa mujibu wa makubaliano hayo vyuo vya kijeshi chini ya wizara ya ulinzi ya Russia vitatoa mafunzo kwa wanajeshi wa Tanzania.

Makubaliano hayo yalisainiwa jana mjini Moscow na waziri wa ulinzi wa Russia Bw. Sergey Shoigu na waziri wa ulinzi na jeshi la kujenga Taifa Hussein Mwinyi ambaye aliongoza ujumbe wa Tanzania kwenye ziara nchini Russia.

Hatua Hii itakuwa na madhara gani hasi na chanya?


0b8ea1b34e0bba80378104e68addb986.jpg
View attachment 396057View attachment 396059


Ondoa neno 'Wasoviet' na weka Russia....Soviet Union ilisambaratika mwaka 1991...Lakini fahamu tu kuwa Tanzania na iliyokuwa Soviet Union zilikuwa na ushirikiano mkubwa sana ukiwemo wa kijeshi...Na kumbuka kuwa 'mambo' mengi ya Soviet union yamechukuliwa na Russia...
 
mkuu hii ni kwenye makaratasi na sio uhalisia mfano tanzania inapokea misaada mingi kitoka USA na chi za ulaya ambazo zipo ktktumoja wa NATO leo ukishirikiana na mpinzani wa hizo nchi zenye msaada kwako utaonekana vp?
Umeona ilo hasa ndo nawaza
 
Ondoa neon 'Wasoviet' na weka Russia....Soviet Union ilisambaratika mwaka 1991...Lakini fahamu tu kuwa Tanzania na iliyokuwa Soviet Union zilikuwa na ushirikiano mkubwa sana ukiwemo wa kijeshi...Na kumbuka kuwa 'mambo' mengi ya Soviet union yamechukuliwa na Russia...
Ok vipi sasa ushirika wetu na wamarekani
 
Kuanzisha nyuzi ni moja ya kazi zako ulizojipa ama ulizopewa. Kujadiliana na wewe kwa hoja ni kupoteza muda, maana hoja sio nia yako.
... Bora nitazame 'kishoka' nikimaliza nijichue.
Hehe
 
At least hawatatufungia mambo ya hao wengine.
Russians wanatoa mafunzo mazuri na utaalamu pia, ni vizuri wakaleta na meli zao kabisa wakawa based hapa na zingine ndogo wakaziweka lake Nyasa
 
Back
Top Bottom