Mambo yanaendelea kutokota

Mambo yanaendelea kutokota

MakinikiA

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2017
Posts
5,683
Reaction score
7,835
Chadema shikilia hapo hapo kama Iran pale Homz.
Kusikilizwa kabla ya makubaliano ndio jambo la msingi.
Mioyo ya wanachadema imejaa makovu waombwe msamaha kwanza ndipo wahitajike .
Toa boriti kwenye mboni yako kwanza .
 
Chadema shikilia hapo hapo kama Iran pale Homz.
Kusikilizwa kabla ya makubaliano ndio jambo la msingi.
Mioyo ya wanachadema imejaa makovu waombwe msamaha kwanza ndipo wahitajike .
Toa boriti kwenye mboni yako kwanza .
Atakayewaomba msamaha Chadema nani? Kwa lipi la kuombwa msamaha? CCM na Serikali yake ninayoijua Mimi sidhani kama wanaweza kufikiria kufanya huo ujinga. SIDHANI!
 
Back
Top Bottom