Hitler na viongozi waandamizi

Hitler na viongozi waandamizi

Poppy Hatonn

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2021
Posts
3,904
Reaction score
6,452
Hawa SS walikuwa ni kitengo cha Chama.
SS maana yake "protectors". Hawa ndio walifanya mauaji sana.
Wao ndio walikuwa wakiziongoza Concentration camps.

Walikuwa wanaongozwa na Himmler.
High Command. Juttner
Railways,Post and Telecommunication. Berger
Personnel. Fischer
Chief Medical Officer. Grawtz
Concentration Camps. Glucks
Corps Commanders. Hauser - Steiner
Divisional Commanders and other higher leaders Simon- Phlebs-Bittric-Kruger-Kleinheisterkemp-Demelhuber-Priess-Puckler.

Serikali ilikuwa inaongozwa na Hitler.
"Crown Prince" alikuwa ni Goring.
Hazina-Meissner na Doehle

Ilikuwepo
Secret Cabinet Council
President. Neurath
Secretary - Lammer
Members -Ribbentrop- Goring -Goebbels-Raeder-Keltle

Baada ya hapo ilikuwepo
War Cabinet
Chairman - Goring
Secretary - Lammer
Plenipotentiary for Administration
Plenipotentiary for Economics
Representative of the Armed Forces- Keitel
Representative of the Party - Borman

Baada ya hapo ndio ilikuwepi serikali ya Ujerumani ikiongozwa na Chancellor Hitler pamoja na Cabinet.
 
Hatimae na sisi Tanzania tunaishi Kama zama za kina hitila chini ya mkizimu kazi na nyiramba katili sana
 
Warusi walipokinukisha hiltler alikipata cha moto hadi kukimbia kusikojulikana.NA SISI TUNATAKIWA TUKINUKISHE TENA AWAMU YA PILI ILI KUMDHIBITI HUYU MZIMUKAZI.
 
Ilikuwepo hii Thule Society.
Hawa watu walikuwa racists. Wanasema Wazungu,ndio wanapaswa kuitawala Dunia. Tena,siyo Wazungu wowote, isipokuwa wale ambao wana pure Nordic blood. Kwa sababu hawa watu wana fabulous looks na high intelligence.

Yaani tumeshindwa World War One kwa sababu tunachanganya inferior stocks among our people. Tujitakase,tuanzishe tena vita,tuone kama hawa habithi watatushinda tena vita.

Kwa hiyo falsafa ya Wanazi ndiyo hivyo kwamba ilikuwa mostly genetics. Kwamba baba akiwa biologically corrupt na mtoto pia anakuwa corrupt.
 
Wako wapi sasa? Na hawa nao wanaofikiri watatawa milele kwa mkono wa chuma, wanajidanganya tu.
 
Hawa Nazi walikuwa wanapenda kufanya occultism.
But I notice some of their beliefs are Egyptian,the religion of the pharaohs.
So we have all these people in the world calling themselves Freemasons, Illuminati,and all the time they are practicing an African religion.
The Hebrews got their knowledge from the Egyptians, and Egyptians got their knowledge from Atlantis.
And the Atlantians were Africans.
And yet search engines tell you that Atlantis is fiction.
Atlantis is not fiction.
It is a nuclear bomb which caused the wonderful Sahara desert and also the Arabian desert.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom