Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Nakumbuka Maxine Mello akitoa tathmini juu ya mchango wa media katika uchaguzi 2015 aliweka wazi kuwa CCM Ilitawala media na kusambaratisha wapinzani. Kuelekea October 2020 sijaona juhudi za...
5 Reactions
35 Replies
3K Views
Hivi sasa ni kawaida kusoma au kusikia maoni ya wana-CCM kuwa wapinzani katika uchaguzi mkuu wa baadae mwaka huu hawatapata chochote huku wakiwalenga zaidi CHADEMA na kwa kiasi fulani...
0 Reactions
1 Replies
986 Views
Wana bodi habari za jioni, Nimetafakari mienendo ya kiutawala ya Rais Magufuli naona ukombozi toka kwa minyiroro ya CCM sasa imewadia. Kama vile FARAO alivyopewa mapigo mbalimbali awaachie wana...
18 Reactions
57 Replies
7K Views
Ni Kama tumekubali matokeo ya October 2020 Kuna dhana ya muda mrefu ya kwamba kimya kingi kimebeba mengi..Kimya kingi kinaweza kua kimebeba uoga,ujasiri,usiri,unyonge au hata umakini hafifu was...
0 Reactions
9 Replies
972 Views
Kada zamani wa Chama cha Mapinduzi Benard Membe ameibuka tena na kuzungumzia masuala ya kikanda na kimataifa. Leo amenukuliwa ni mitandao mbalimbali ukiwemo Jamii Forums akieleza kuwa Tanzania...
1 Reactions
3 Replies
908 Views
Katika Mambo ambayo yana uzunisha moja ni la Upinzan wa Tanzania kuamua kutafuta wadhamin ili Wawa weke madarakan badala ya kujenga urafik na wananch wenye dhamana na nch hii. Upinzan wa Tanzania...
1 Reactions
32 Replies
3K Views
Mada hapo juu yahusika. Nashangaa kuna ukimya sana ilihali uchaguzi upo palepale mwezi October. Dr. Shein anamaliza muda wake, sioni wala sisikii cherekochereko za kumtafuta mrithiwe. Ndiyo maana...
1 Reactions
29 Replies
4K Views
Habari wakuu! Kwa umri wangu mdogo wa miaka takribani 30 nimejifunza mengi, sijabahatika kuvuka mipaka ya Tanzania lakini nimefika karibu mikoa 20 ya Tanzania bara. Hulka na silka za Watanzania...
6 Reactions
68 Replies
6K Views
RAIS TUMTAKAYE 2020 Na, Robert Heriel Mwaka huu Mungu akipenda utakuwa mwaka wa uchaguzi kama ilivyosheria kwa nchi yetu. Huu ni mwaka muhimu sana kwa kila mmoja wetu. Ni Mwaka muhimu kwa...
10 Reactions
23 Replies
2K Views
Pilikapilika za uchaguzi mkuu wa Zanzibar zinaonekana kupamba moto. Rais wa sasa wa visiwa hivyo Dr. Ali Mohammed Shein anamaliza muda wake baada ya kuongoza vipindi viwili kwa mujibu wa katiba ya...
2 Reactions
34 Replies
5K Views
#Tuendelee kunawa mikono kwa maji tiririka ili kujikinga na virusi vya corona
7 Reactions
79 Replies
7K Views
Niliandika makala hii 2017 mnasemaje kuelekea uchaguzi 2020 POLENI SANA VIJANA, MNAKUWA MAJESHI YA MINYUKANO YA KISIASA MWISHO INAKUWA AIBU KWENU. Poleni sana vijana wa ACT - WAZALENDO...
1 Reactions
15 Replies
2K Views
HABARI Mkurugenzi wa Habari, Uenezi na Mahusiano Kwa Umma CUF Eng. Mohamed Ngulangwa ametangaza nia ya kugombea Ubunge Jimbo la Mkuranga.
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Mimi Suphian Juma natangaza NIA ya kugombea Ubunge katika Jimbo la Singida Magharibi kupitia Chama cha ACT wazalendo. Singida Magharibi nitawatanguliza ninyi na Taifa langu mbele daima. Ewe...
5 Reactions
32 Replies
5K Views
Friends of Bernard Membe at the University of Dar-Es-Salaam still believe they have got their man who is heading nowhere but to the state house in replacement of JK comes 2015. This can only...
43 Reactions
773 Replies
82K Views
Ni kwamba kutakuwa na barua zinazodaiwa za chadema zinazoonyesha uteuzi wa wagombea, na wagombea halisi kukataliwa kuchukua fomu. Mfano: Chadema inampitisha John Mnyika kugombea kibamba, anaenda...
8 Reactions
17 Replies
3K Views
Kwa yoyote mwenye kufuatilia mienendo ya kisiasa na kiserikali atakubaliana na mimi kwamba Magufuli siyo mpenzi kihivyo wa demokrasia. Hili siyo tusi wala lawama, ni mtazamo wangu kuhusu mtazamo...
9 Reactions
52 Replies
5K Views
*MWIGULU UMEJIMALIZA MWENYEWE , USITAFUTE MCHAWI GIZANI* Nimefuatilia sana mijadala hapa jukwaani kuhusu Mwigulu Nchemba kuelekea uchaguzi mkuu wa 2020 Mwigulu akitamba kwa kujiita Mamba . Kwa...
5 Reactions
37 Replies
6K Views
Asalam,, Corona itapita . na uchaguzi utafanyika Inshaalah. iwe mwaka huu ama mwaka wowote ule, Allah akinilinda na kunipa uhai huu ndo utakua mustakabali ya kura yangu. SITOMPA KURA YANGU...
8 Reactions
32 Replies
3K Views
Back
Top Bottom