Duniahadaa
JF-Expert Member
- Oct 16, 2017
- 336
- 677
Ni kwamba kutakuwa na barua zinazodaiwa za chadema zinazoonyesha uteuzi wa wagombea, na wagombea halisi kukataliwa kuchukua fomu. Mfano: Chadema inampitisha John Mnyika kugombea kibamba, anaenda kwa DED kuchukua fomu, anaambiwa kuna mwanachama alikuja na barua ya uteuzi ya chama anaitwa Asha Ndalandefu. Kwa hiyo John Mnyika anakosa fursa ya kugombea.
Maoni yangu: Huyo DED aburuzwe mahakamani, adaiwe pesa ndefu ashindwe kulipa afungwe il iwe funzo la kudumu.
Maoni yangu: Huyo DED aburuzwe mahakamani, adaiwe pesa ndefu ashindwe kulipa afungwe il iwe funzo la kudumu.