Uchaguzi 2020 Asante DED kutufumbua macho: Alichofanya DED wa Ubungo Beatrice Rest Dominic ndicho kitakachofanyika wakati wa uchaguzi Mkuu

Duniahadaa

JF-Expert Member
Oct 16, 2017
336
677
Ni kwamba kutakuwa na barua zinazodaiwa za chadema zinazoonyesha uteuzi wa wagombea, na wagombea halisi kukataliwa kuchukua fomu. Mfano: Chadema inampitisha John Mnyika kugombea kibamba, anaenda kwa DED kuchukua fomu, anaambiwa kuna mwanachama alikuja na barua ya uteuzi ya chama anaitwa Asha Ndalandefu. Kwa hiyo John Mnyika anakosa fursa ya kugombea.

Maoni yangu: Huyo DED aburuzwe mahakamani, adaiwe pesa ndefu ashindwe kulipa afungwe il iwe funzo la kudumu.
 
Nani kakwambia mahakama ni muhimili unaojitegemea kwa nchi hii ya Tanzania?? Labda uingereza na sio hapa.
 
Ni kwamba kutakuwa na barua zinazodaiwa za chadema zinazoonyesha uteuzi wa wagombea, na wagombea halisi kukataliwa kuchukua fomu. Mfano: Chadema inampitisha John Mnyika kugombea kibamba, anaenda kwa DED kuchukua fomu, anaambiwa kuna mwanachama alikuja na barua ya uteuzi ya chama anaitwa Asha Ndalandefu. Kwa hiyo John Mnyika anakosa fursa ya kugombea.

Maoni yangu: Huyo DED aburuzwe mahakamani, adaiwe pesa ndefu ashindwe kulipa afungwe il iwe funzo la kudumu.
Unazungumzia Mahakama zipi Mkuu?
 
Ni kwamba kutakuwa na barua zinazodaiwa za chadema zinazoonyesha uteuzi wa wagombea, na wagombea halisi kukataliwa kuchukua fomu. Mfano: Chadema inampitisha John Mnyika kugombea kibamba, anaenda kwa DED kuchukua fomu, anaambiwa kuna mwanachama alikuja na barua ya uteuzi ya chama anaitwa Asha Ndalandefu. Kwa hiyo John Mnyika anakosa fursa ya kugombea.

Maoni yangu: Huyo DED aburuzwe mahakamani, adaiwe pesa ndefu ashindwe kulipa afungwe il iwe funzo la kudumu.
Kwani huyo DED ametambulishwa Viongozi wa Chadema au nyege zako za mchana. Yule Jamaa aliandika barua kweli kwa cc wanazengo, ila baada ya Meya kuomba msaha wametengeneza movie Mpya ya kumruka Mkurugenzi ๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€.
Kwa kweli Chadema wamechoka kwelikweli
 
Ni kwamba kutakuwa na barua zinazodaiwa za chadema zinazoonyesha uteuzi wa wagombea, na wagombea halisi kukataliwa kuchukua fomu. Mfano: Chadema inampitisha John Mnyika kugombea kibamba, anaenda kwa DED kuchukua fomu, anaambiwa kuna mwanachama alikuja na barua ya uteuzi ya chama anaitwa Asha Ndalandefu. Kwa hiyo John Mnyika anakosa fursa ya kugombea.

Maoni yangu: Huyo DED aburuzwe mahakamani, adaiwe pesa ndefu ashindwe kulipa afungwe il iwe funzo la kudumu.
Mahakama gani itamfunga? Bunge lenyewe umesikia jana mzee kasema ameliagiza lisimpe mtu posho kwani hjaifanyia kazi.
 
Kwani huyo DED ametambulishwa Viongozi wa Chadema au nyege zako za mchana. Yule Jamaa aliandika barua kweli kwa cc wanazengo, ila baada ya Meya kuomba msaha wametengeneza movie Mpya ya kumruka Mkurugenzi ๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€.
Kwa kweli Chadema wamechoka kwelikweli
Nani aliyemruka mkurugenzi? Kwani yeye mkurugenzi hawajui viongozi wa Chadema akina Mnyika, Mbowe, n.k?
 
Ni kwamba kutakuwa na barua zinazodaiwa za chadema zinazoonyesha uteuzi wa wagombea, na wagombea halisi kukataliwa kuchukua fomu. Mfano: Chadema inampitisha John Mnyika kugombea kibamba, anaenda kwa DED kuchukua fomu, anaambiwa kuna mwanachama alikuja na barua ya uteuzi ya chama anaitwa Asha Ndalandefu. Kwa hiyo John Mnyika anakosa fursa ya kugombea.

Maoni yangu: Huyo DED aburuzwe mahakamani, adaiwe pesa ndefu ashindwe kulipa afungwe il iwe funzo la kudumu.
Hayo ndiyo MECCO kajifungia huko anapanga mikakati
 
Kwani huyo DED ametambulishwa Viongozi wa Chadema au nyege zako za mchana. Yule Jamaa aliandika barua kweli kwa cc wanazengo, ila baada ya Meya kuomba msaha wametengeneza movie Mpya ya kumruka Mkurugenzi ๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€.
Kwa kweli Chadema wamechoka kwelikweli
Hebu fikiria unakufa leo kwa corona alafu dawa inapatikana kesho

Kwa ghadhabu unaweza kujinyonga
 
Kwani huyo DED ametambulishwa Viongozi wa Chadema au nyege zako za mchana. Yule Jamaa aliandika barua kweli kwa cc wanazengo, ila baada ya Meya kuomba msaha wametengeneza movie Mpya ya kumruka Mkurugenzi ๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€.
Kwa kweli Chadema wamechoka kwelikweli
We kweli lipapai la chattle ujinga gani huu
 
Huo Ni mpango, kinachoshangaza wenye chama wanasema hawajamfukuza MTU wao, mkurugenzi analazimisha I we kafukuzwa.
 
Back
Top Bottom