Uchaguzi 2020 Hawa ndio watu wanaotegemewa na Upinzani kuchukua nchi

mzalendo iq1

JF-Expert Member
Mar 10, 2020
1,258
1,541
Katika Mambo ambayo yana uzunisha moja ni la Upinzan wa Tanzania kuamua kutafuta wadhamin ili Wawa weke madarakan badala ya kujenga urafik na wananch wenye dhamana na nch hii.

Upinzan wa Tanzania silaha nzuri ya kuiangamiza CCM ni wananch pekee Sio hai watu mnao kaa nao vikao

Pia waambia vijana wenu wanao anzisha Uzi na kupost picha za vikao vya mh tundulisu akiwa amekaa na wazungu na kuandika heading inayo someka

KWA VIKAO HIVI CCM IMEKWISHA
hio Sio nzuri kwa viongoz wa upinzan hata Kama ni kwel nchi inatolewa na wananch so Kama sasaiv wananch hawapo tayar jipen muda na weken Sera nzuri mda ukifika mtaongoza nchi Ila mkikaa vikao na mabeberu mjue imekula kwa CCM pia itakula kwenu pia Kwan nchi itaanza kuongizwa kwa kiongoz kua na offer nzuri mfano mkiitoa CCM kwa njia ya mabeberu CCM na wao wataenda kwa mabeberu wataomba nch watatoa offer Yao pia ivyo nchi itakua haielewek mwenye dau mwenye kisu kikal ndie atae kula nyama


Pia kwenye magroup yenu uko kuwen Makin kutoa picha za vikao vya Sir Kwan Kuna watu wanazitumia vibaya.

1589270213044.png



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna vyama vya upinzani vimetamka hadharani kuwa hawasisamishi mgombea wa uraisi kwani wao wapo na magufuli
 
Back
Top Bottom