Msulibasi
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 5,836
- 7,492
Nakumbuka Maxine Mello akitoa tathmini juu ya mchango wa media katika uchaguzi 2015 aliweka wazi kuwa CCM Ilitawala media na kusambaratisha wapinzani. Kuelekea October 2020 sijaona juhudi za dhati za chadema Kukamata kiungo yaani media.
Japo ilionekana kuzidiwa na CCM Chadema walikuwa na nguvu kwenye mitandao mara dufu au zaidi ya sasa.. Ukitazama Facebook ambayo wapiga kura wengi hutumia huoni Amsha Amsha ya Chadema.
CCM Kupitia matawi yao kuanzia kata wilaya MIKOA na jumuiya zao wanafanya juhudi kumjenga mwenyekiti na mgombea wao pamoja na wagombea ubunge kwa kupitia makundi ya mtandaoni. Inawezekana CCM ikawa na utatibu na ugharamiaji wa vijana wao wanaopambana kwenye media.
Chadema bado wana mawazo ya kutumia press conference kitu ambacho hakiwasaidii sana. Press conference zinaingiliwa na Vyombo vya dola na hazidumu kwenye mijadala. Chadema ikishindwa dimba la kati itakuja Lia .
Japo ilionekana kuzidiwa na CCM Chadema walikuwa na nguvu kwenye mitandao mara dufu au zaidi ya sasa.. Ukitazama Facebook ambayo wapiga kura wengi hutumia huoni Amsha Amsha ya Chadema.
CCM Kupitia matawi yao kuanzia kata wilaya MIKOA na jumuiya zao wanafanya juhudi kumjenga mwenyekiti na mgombea wao pamoja na wagombea ubunge kwa kupitia makundi ya mtandaoni. Inawezekana CCM ikawa na utatibu na ugharamiaji wa vijana wao wanaopambana kwenye media.
Chadema bado wana mawazo ya kutumia press conference kitu ambacho hakiwasaidii sana. Press conference zinaingiliwa na Vyombo vya dola na hazidumu kwenye mijadala. Chadema ikishindwa dimba la kati itakuja Lia .