Hii ni kwa Sababu Ile kesi Yake ya UONGO imesababisha hasara ya mabilioni ya hela kwa Chadema baada ya Mali nyingi kuharibika kutokana na katazo la kuzitumia baada ya. hukumu ya kipuuzi ya Jaji...
Kwa Tuhuma za kukihujumu CHAMA kwa kushirikiana na Watu wa nje ya CHADEMA (CCM)
Amekirudisha CHAMA nyuma sana kwa hujuma zake za kizushi
Labda kwa wasiomjua Said ni hivi, huyu ni Mtu Duni...
Sijawahi kuelewa hii inayosifiwa sana na kuitwa 5000 years of continous civilization ya wachina au siju persians, swali langu ni kwamba how come chinese hawajawahi kuunda gari, tv, simu, umeme...
Wanajamvi
Kumekuwa na ongezeko kubwa la vyakula kuwa na michanga hasa sukari na unga wa ngano au ugali na sijui shida ni nini
Tunaomba mamlaka zinazohisika zijaribu kulifatilia hili suala kwa...
Naona wanaChadema wameanza kukubaliana na mimi juu namna hayati Magufuli alivyokuwa shujaa na mpambanaji kuzuia uzembe na ufisadi.
Kwanza asingeweza kwenda Urusi na na mtoto wake au delegation...
Rais Samia hayupo nchini..Yupo Ziarani Urusi kwa siku 3..
Katiba ya Tanzania ibara ya 47 c, inatamka hivi " kutakuwa na makamu wa Rais ambaye atafanya kazi zote za Rais kama Rais hayuko kazini au...
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi akihojiwa Juni 8, 2026 Patrobas Katambi alisema; "Kuna ukosoaji hasi na chanya, sasa katika ukosoaji hasi ndio inawezekana kukawa kuna utaratibu wa kuvunja sheria...
Wakuu Jana bungeni Waziri wa diplomasia na mambo ya nje Kombo raia wa Zanzibar anayefanya kazi Tanganyika amesema katiba yetu inataka polisi akirushiwa jiwe ampige risasi haraka raia anayerusha na...
Ndani ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Spika amepewa Mamlaka ya kufuta Mchango wa Mbunge yoyote alioutoa bungeni..
Anaweza fanya hivyo kwa chuki, ubabe, bifu, au kumfurahisha Rais...
Ndugu zangu Watanzania,
Kiufupi Ni Kuwa Rais Samia Anakesha anafanya kazi , anashinda kutwa nzima anafanya kazi, anasafiri na kufanya kazi hadi akiwa angani ndani ya ndege . Rais Samia anafanya...
Wakuu hongereni na poleni sana na harakati za maisha.
Mtaji wa kwanza kwa mwanadamu ni Afya tusiache kulingia afya tuliyonayo maana wapo wenzetu humu na wengine ma hospitalini huko wana pambania...
Mtangazaji wa kipindi cha Jana na Leo cha Wasafi FM, Oscar Oscar, aliwahi kusema Machi 14, 2024 kuwa baadhi ya watendaji wa Serikali badala ya kutekeleza majukumu yao ipasavyo, wamekuwa wakitumia...
As much as I appreciate the efforts of the Ministry of Finance in its pursuit of domestic resource mobilization, I remain concerned about the implementation of the recommendations made by the...
Utendaji kazi wa Mheshimiwa Rais Dr Samia Suluhu Hassan Toka aingie madarakani umedhihirisha kuwa akili ya mwanamke inachanganya haraka sana kuliko akili ya mwanaume
Mh. Rais ameonyesha kuwa...
Nadhani ameamua liwalo na liwe. Alikuwa anamsasema Nchimbi
Msikilize
============
Mwanasiasa Godbless Lema amesema baadhi ya viongozi nchini huanza kujikita katika siasa za uchaguzi mara tu baada...
Rais Samia amesema ziara yake nchini Urusi ni ya kihistoria kwani imefanyika zaidi ya nusu karne tangu ziara ya mwisho ya kiserikali kufanywa na Baba wa Taifa, Julius Nyerere mwaka 1969...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.